Tumuombee tu Kwa kweli
Ila Zamaradi alikua ktk mgogoro na familia yake haswaa wa kiimani ujue maana Jasiri hakua Muslim halafu kingine uhuni mwee yule baba nuksii,Sasa kuoa haoi anakula mzigo tu Ndo maana Alipotokea nnemba wa kukaya hakulaza Damu nadhani kigezo ni dini na Ndo maana walioana ghafla sana,Zama anahama Kwenye nyumba ya Ruge nadhani a week before Ndoa au alihama siku anaolewa akahamia Kule kwake kungine...!!!
Uzuri wa zama sio mtu wa kuongea madhaifu ya mmewe ujue ht km akishindwa ataondoka tu ila Mimi siombei waachane mwenzenu avumilie tu