MKuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Sa mtu hajui Kusoma na kuandika,na kuhesabu anajua sasa😀😀si umuibie tuWanamdharau jamaa ilihali akaunt zao hao wasomi hazisomi hata 1m.
Mimi siwezi zarau mtu asiye jua kuandika na kusoma kwasababu anaye nipa madili za mamilion ni jamaa yangu mkongomani nayeye hajui kusoma wala kuandika
Duuuh kumbe hata Degree hana, sasa Yale magazeti na essay zake zile kwioooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hawa wanaume watuache buana, mbona wao wanamshambulia Sana January Makamba na hatusemi wanaume hawapendani!Tunampenda sana na hatuna haja ya kumchukia Wala Nini ila kama kakosea ataambiwa tu...Aishi maisha yake Wala hakuna MTU atamuuliza kitu
Umepotea sana best,kwemaDuh aiseee
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndo maana hawajiamini wanakua na makasirikio Wana Ile Kiko wapi sasaa..sijasoma nna Hela!!!Duuuh kumbe hata Degree hana, sasa Yale magazeti na essay zake zile kwioooo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona rahisi wale Wa braeburn na IST wanaolipa almost 30m hukooo dadaa[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]Hadi nimestukaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji38][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie waja, mumpuzishee mume wa Zama.
Hahahahahahah haki ya Mungu jf kama umeboreka ingia humuSawa baba yako ni mjinga na kakuzaa mjinga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera kwa hela za uchawi[emoji1787][emoji1787]
Kwahiyo Diva ni mke wa piliMganga ilibidi afanye yote Ili asipoteze wateja na akafaulu Kwa hiloo...Tena diva Kawa mpoleee balaaa!!!![emoji1][emoji1][emoji1]na wako wawili na yule wa Arusha
Mijanaume inaroga balaa ...bara na pwani siku hzi hakuna afadhaliLimbwata siku hizi wanawekewa wanawake, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usizubaee shogaaa.
Umeona ehhhh....wanaume baadhi wanaafiki sanaHawa wanaume watuache buana, mbona wao wanamshambulia Sana January Makamba na hatusemi wanaume hawapendani!
Kama zama anamafanikio na mama Samia asemaje?
Ndio ingawa ana kataa ana bwa mganga ana jimama lake kingine Chuganian huko laitwa Fatma ni MD sijui wa niniHahahahahahah haki ya Mungu jf kama umeboreka ingia humu
Wanaume wa bara hatulogi wanawake bwanaMijanaume inaroga balaa ...bara na pwani siku hzi hakuna afadhali
Wanaume wa bara hatulogi wanawake bwana
Nani kasemaaa!!! asubutuuuuuuuuWanaume wa bara hatulogi wanawake bwana
IST inakwenda almost 70M+.Pale ni parefu haswa ndiyo maana wabongo wachache sana wanapeleka hapo watoto.Mbona rahisi wale Wa braeburn na IST wanaolipa almost 30m hukooo dadaa[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Mmhhh...Kwa mwaka?!!!!duhhhh..si balaa hiliiiIST inakwenda almost 70M+.Pale ni parefu haswa ndiyo maana wabongo wachache sana wanapeleka hapo watoto.
I.S.T sio mchezo ada tuu 60m ukiongeza na charges zingine ndo inafikia huko 70m+Mmhhh...Kwa mwaka?!!!!duhhhh..si balaa hiliii
Ndo maana wanasoma watoto wa vigogo na matajiri tu pale
Umepotea sana best,kwema