RoadLofa
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 1,509
- 3,313
MKuna jamaa hajui kusoma wala kuandika lakini anapesa mingi sana sasa sijui uandishi sahihi unasaidia nini kwenye dunia hii ya kila kitu pesa.
Sa mtu hajui Kusoma na kuandika,na kuhesabu anajua sasa😀😀si umuibie tuWanamdharau jamaa ilihali akaunt zao hao wasomi hazisomi hata 1m.
Mimi siwezi zarau mtu asiye jua kuandika na kusoma kwasababu anaye nipa madili za mamilion ni jamaa yangu mkongomani nayeye hajui kusoma wala kuandika