Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Mmhhh...Kwa mwaka?!!!!duhhhh..si balaa hiliii
Ndo maana wanasoma watoto wa vigogo na matajiri tu pale
Si ndiyo maana unaona mapacha wa marehemu Mzee Mengi wanasoma pale.Huendi pale kama una pesa ya mawazo.Huku kwa kina Braeburn,HOPAC,ISM,FIS huko ndiko wabongo wanajitutumua walau.Ada ya IST kwa mwaka ni ada ya miaka miwili ya hizi shule nilizotaja hapo juu
 
Kwa nini uendelee kusikia dadangu!!?
Kuona ni kuamini..
Jitahidi umpate mmoja uone ili uamini.
 
Sijaelewa hata kitu,kumbe!
 
Kwani elimu inaleta ugali mezani?
Yaani wanaume mnakaa kumsimanga mwanaume mwenzenu eti hajui kuandika[emoji849]namashaka na uanaume wenu.
Mnawivu utazani hamna wanawake zenu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni ajabu kwakweli.
Bora wivu tuwe nao sisi wanawake.
Zamaradi kaamua kuchagua njia yake nanyie chagueni zenu.
 
Kataka kumsola Meggy ,Yu meggy nae kalemwaa,kaenda kumsola Kwa Mange Kwa uchunguu
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani kilugha cha wapi hiki [emoji3][emoji3]
 
angekaa atulie tungemsifu kwa kupeleka ugali mwingi mezani,[emoji16][emoji16].

wewe ni mwanaume mwenye pesa,lakini unajua udhaifu wako ni kuongea kiingereza,kwanini unalazimisha kuongea??
 
Mbna mabwakuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndo maana hawajiamini wanakua na makasirikio Wana Ile Kiko wapi sasaa..sijasoma nna Hela!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu achezee upande wake. Uwiiiih
 
Mbona rahisi wale Wa braeburn na IST wanaolipa almost 30m hukooo dadaa[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
Jamanii watu wana pesaa woiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…