Si ndiyo maana unaona mapacha wa marehemu Mzee Mengi wanasoma pale.Huendi pale kama una pesa ya mawazo.Huku kwa kina Braeburn,HOPAC,ISM,FIS huko ndiko wabongo wanajitutumua walau.Ada ya IST kwa mwaka ni ada ya miaka miwili ya hizi shule nilizotaja hapo juuMmhhh...Kwa mwaka?!!!!duhhhh..si balaa hiliii
Ndo maana wanasoma watoto wa vigogo na matajiri tu pale
Wengi pale ni watoto wa Diplomats au Wakurugenzi wa Makampuni haya makubwa ya kigeni,wahindi kwa uchache sana na waafrika wa kuhesabu.I.S.T sio mchezo ada tuu 60m ukiongeza na charges zingine ndo inafikia huko 70m+
Pale wanaenda watoto wa watu wanaojiweza kweli kweli
🤣🤣🤣🙌Huyu kweli alikuwa mlisha Ng'ombe wa kwa waziri mkuu.Maana angekuwa mpwa basi angepelekwa hata Memkwa.
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Sijaelewa hata kitu,kumbe!Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
King Kong III Zamaradi ni nani huko mjini?
Halafu Ruge aliacha watoto wengine wawili mmoja ni mkubwa ambaye mama yake ni mke wa RDj Rommy
Uko sahihi mkuu.Sawa baba yako ni mjinga na kakuzaa mjinga[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hongera kwa hela za uchawi[emoji1787][emoji1787]
Kwema kabisa,busy natafuta ela nisije tegemea ulisi[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Jamani kilugha cha wapi hiki [emoji3][emoji3]Kataka kumsola Meggy ,Yu meggy nae kalemwaa,kaenda kumsola Kwa Mange Kwa uchunguu
angekaa atulie tungemsifu kwa kupeleka ugali mwingi mezani,[emoji16][emoji16].Kwani elimu inaleta ugali mezani?
Yaani wanaume mnakaa kumsimanga mwanaume mwenzenu eti hajui kuandika[emoji849]namashaka na uanaume wenu.
Mnawivu utazani hamna wanawake zenu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni ajabu kwakweli.
Bora wivu tuwe nao sisi wanawake.
Zamaradi kaamua kuchagua njia yake nanyie chagueni zenu.
Auntie ukipata ulisi usinisahau
Mbna mabwakuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Millard hayo mwenyewe hana degree
Kozi ambazo zinahitaji ulazima wa kuwa na degree ili uzifanye ni chache sana.
Kozi hizo ni zile za Engineering, medicine, law, kidogoo na accounting.. kozi zingine zote zilizobaki mtu yeyote anaweza akafanya kazi akifundishwa.
Ndio maana mbunge kishimba alishangaa na kucheka mtu anakaa chuo miaka mitatu anasomea manunuzi.. hivi mtu gani hawezi kununua akifundishwa
[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu achezee upande wake. Uwiiiih[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndo maana hawajiamini wanakua na makasirikio Wana Ile Kiko wapi sasaa..sijasoma nna Hela!!!
Jamanii watu wana pesaa woiiii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mbona rahisi wale Wa braeburn na IST wanaolipa almost 30m hukooo dadaa[emoji3526][emoji3526][emoji3526][emoji3526]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] dyadyaa nimechekaa.Mijanaume inaroga balaa ...bara na pwani siku hzi hakuna afadhali
Una uhakika na hilo?...jibu basi hata kule pmWanaume wa bara wanaroga hakunaga, wa pwani wengi msingi kiuno