Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Uandishi wa mume wa Zamaradi Mketema 'says it all'

Mmhhh...Kwa mwaka?!!!!duhhhh..si balaa hiliii
Ndo maana wanasoma watoto wa vigogo na matajiri tu pale
Si ndiyo maana unaona mapacha wa marehemu Mzee Mengi wanasoma pale.Huendi pale kama una pesa ya mawazo.Huku kwa kina Braeburn,HOPAC,ISM,FIS huko ndiko wabongo wanajitutumua walau.Ada ya IST kwa mwaka ni ada ya miaka miwili ya hizi shule nilizotaja hapo juu
 
Kwa nini uendelee kusikia dadangu!!?
Kuona ni kuamini..
Jitahidi umpate mmoja uone ili uamini.
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
 
Halafu hapo kwenye waraka wake kaisema familia ya Ruge,eti hawajawahi kuleta hata chupi,kamsema Kusaga alikataa kutoa ada na kamsema Ruge alikufa bila kuacha mambo sawa. Kasahau kuwa anaishi kwenye nyumba iliyojengwa na marehemu Ruge. Ila sema ninasikia wanaume wa kutoka Lindi na Mtwara wapo vizuri sana kwenye bed.
Sijaelewa hata kitu,kumbe!
 
Kwani elimu inaleta ugali mezani?
Yaani wanaume mnakaa kumsimanga mwanaume mwenzenu eti hajui kuandika[emoji849]namashaka na uanaume wenu.
Mnawivu utazani hamna wanawake zenu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni ajabu kwakweli.
Bora wivu tuwe nao sisi wanawake.
Zamaradi kaamua kuchagua njia yake nanyie chagueni zenu.
 
Kwani elimu inaleta ugali mezani?
Yaani wanaume mnakaa kumsimanga mwanaume mwenzenu eti hajui kuandika[emoji849]namashaka na uanaume wenu.
Mnawivu utazani hamna wanawake zenu[emoji3][emoji3][emoji3]
Hii ni ajabu kwakweli.
Bora wivu tuwe nao sisi wanawake.
Zamaradi kaamua kuchagua njia yake nanyie chagueni zenu.
angekaa atulie tungemsifu kwa kupeleka ugali mwingi mezani,[emoji16][emoji16].

wewe ni mwanaume mwenye pesa,lakini unajua udhaifu wako ni kuongea kiingereza,kwanini unalazimisha kuongea??
 
Millard hayo mwenyewe hana degree

Kozi ambazo zinahitaji ulazima wa kuwa na degree ili uzifanye ni chache sana.

Kozi hizo ni zile za Engineering, medicine, law, kidogoo na accounting.. kozi zingine zote zilizobaki mtu yeyote anaweza akafanya kazi akifundishwa.

Ndio maana mbunge kishimba alishangaa na kucheka mtu anakaa chuo miaka mitatu anasomea manunuzi.. hivi mtu gani hawezi kununua akifundishwa
Mbna mabwakuu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]ndo maana hawajiamini wanakua na makasirikio Wana Ile Kiko wapi sasaa..sijasoma nna Hela!!!
[emoji23][emoji23][emoji23] kila mtu achezee upande wake. Uwiiiih
 
Back
Top Bottom