Uasi mkubwa unakuja CCM

Uasi mkubwa unakuja CCM

Mkuu tangia lini UJERUMANI IKAWA CHRISTIAN COUNTRY...

Tangia mwanzo, Ujerumani ndiyo baba wa Western Civilization ambayo ni christianity, western christianity at least, kwanza Western Europe yote ni Christian.

Martin Luther reformer mwanzilishi wa Protestants alikuwa Mjerumani !
 
Watu mmlimsema jpm leo mnamlilia baada ya kurudishwa kwenye mgao wa umems[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Baada ya mabadiliko madogo kwenye Baraza la Mawaziri, Hangaya ajiandae kisaikolojia.
 
Tangia mwanzo, Ujerumani ndiyo baba wa Western Civilization ambayo ni christianity, western christianity at least, kwanza Western Europe yote ni Christian.

Martin Luther reformer mwanzilishi wa Protestants alikuwa Mjerumani !
Kama ndio hivyo basi ISRAEL haihusiani na UKRISTO kwa namna yoyote.
 
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao.

Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia CCM ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani.

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akanaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana.

Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..

Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
ona sasa[emoji848]
Screenshot_20220110-102844.jpg
 
Kama ndio hivyo basi ISRAEL haihusiani na UKRISTO kwa namna yoyote.

Unachanganya mambo, Isarel siyo Wakristo ni Wayahudi, isitoshe nimeongelea Western Christianity, kuna ukristo wa aina nyingi mfano Orthodox ambao uko Urusi na Eastern Europe wao hata Christmas hawasherehekei 25/12 bali husherehekea tarehe Januari 7 na Mwaka mpya kwao ni Januari 14 na siyo Januari 1 kama western, hata Ethiopia wana Ukristo wao ambao siyo Western, Misri wana ukristo wao wanaoitwa Coptic n.k.

Ukristo wa Ujerumani na Ulaya ndio huu tulionao na ulikuja na Ukoloni …
 
Mi ntaunga mkono sukuma gang. Bora ujiunge na kundi shupavu lenye nia ovu kuliko kujiunga na kundi dhaifu lenye nia ovu.
Rudi Msoga Gang wewe haraka ili uendelee kula mema ya nchi! Huko Sukuma Gang utakufa njaa, au uishi kama digidigi!

Huwaoni Sukuma Gang wenzako? Hawajulikani hata waliko kwa sasa! Jeuri na tambo zao zote, kwishaa!!
 
Katiba mpya ndio mchawi hapa maana anaweza tokea makamu wa rais mchawi akamroga Rais ili aukwae U-Rais.
 
Ccm Ina wenyewe bushmen waliingia kichwa kichwa wameliwa kichwa
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao.

Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia CCM ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani.

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akanaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana.

Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..

Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
 
Mfumo wa ccm Mwenyekiti ndie mmiliki wa chama nae umpa maisha yeyeto amtakae.
Naona chawa wa mwendazake, sukuma gang,waunga juhudi na covid hawana chao.
Waungane waanzishe chama magufuli part ichuane na ccm msajili si ndugu yao atawapa usajili.
 
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao.

Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia CCM ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani.

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akanaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana.

Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..

Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
Wanaccm hawaachiani maji ya kunywa mezani - Kikwete
 
Back
Top Bottom