Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jinsi msivopenda kuongozwa na mwenzenuWanawake hatukuumbwa kubeba majukumu makubwa.
Sie chetu kuzaa na kumtunza mume.
Mengine tunayalazimisha tu
hivyo hivyo hatupendagiJinsi msivopenda kuongozwa na mwenzenu
Empty set ni wengi sana siku hizi.Mradi ana simu na ela ya bando kwake imetosha kupoyoya mtandaoni bila kuelewa chochote.Uelewa wa mada rahisi kabisa JF ni tatizo sugu sana
MaguNani
CHADEMA na msoga wanatajwa sana mtaaniKafa na zake.. Hakuna kifo kinakosa sababu
Mkuu unajifanya hujui? au huishi hii Tz?Kundi gani la kikabila aliliunda. Na ww umekuwa carried na conspiracy iliyokuzwa na elites. Utajua hujui
Wewe ni muongo- ACHA CHOYO, AKILI MBOVU NA TAMAANi uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao.
Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia CCM ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani.
Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akanaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana.
Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!
Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..
Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
Kaka mungu akubariki sanaA woman never builds a nation, haijawahi kutokea katika Historia ya Dunia yetu hii, a Woman destroys a nation!
Mkwe wa Nani?Umesahau kuwa mzee wa msonga ni mkwe wa baba mwenye watoto wawili marais