Mzee23
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 1,731
- 3,628
Kinana mwenyewe si kasema hakuna mwenye hakimiliki ya mawazo huko CCM? au yeye Ndug. Bulembo alipitiwa usingizi kikaoni hakuipata hiyo kauli?Abdallah Bulembo ataka rungu la CCM limshukie Luhaga Mpina kwa kwenda kinyume na maadili ya chama
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdallah Bulembo, amekiomba Chama hicho kumhoji na kumchukulia hatua za kinidhamu Mbunge wa Kisesa, Luhaga Mpina kwa kile alichokiita kwenda kinyume na maadili ya chama. Bulembo ambaye ni Mwenyekiti mstaafu wa Jumuiya ya Wazazi ya Chama hicho, ametoa ushauri...www.jamiiforums.com