Uasi mkubwa unakuja CCM

Uasi mkubwa unakuja CCM

We ndo hujaelewa samsoni alikamatwa kwasababu aliua watu lukuki ili apate magovi ya kulipa mahali, alichoma mashamba ya watu moto,
Homicide&Arson,
Huyo anakuaje victim?
Alikamatwa na serikali wakampeleka mahakamani na huko akafanya suicide mission.
In short, Samsoni ndio gaidi wa kwanza kabisa hapa duniani
Lakini biblia inasema Samson alikuwa jaji yaani mwamuzi kabla wayahudi hawajapata mfalme.Kwa maani hiyo yeye akipambana na wafilist dhidi ya taifa la Mungu.
 
Miaka yote unasema hivyo ila kijani Bado wanadunda TU. Anguko la ccm litatokea kiwango Cha ujinga na njaakitakapopungua Kwa zaidi ya nusu ya watanzania
 
Lakini biblia inasema Samson alikuwa jaji yaani mwamuzi kabla wayahudi hawajapata mfalme.Kwa maani hiyo yeye akipambana na wafilist dhidi ya taifa la Mungu.
Wewe hujaelewa,, wayahudi walipofika caanan walikuta wafilisti ndio watawala sa eneo lile ,, wayahudi wakaaanza kwanza kuishi hapo kama immigrants, na walikuwa chini ya utawala wa wafilisti,, mfalme saul(finctional character),amekuja kuanza kutawala miaka mingi baada ya waahudi kutoka misri,, hivyo mahakama ilikuwa ni ya wafilisti
 
Miaka yote unasema hivyo ila kijani Bado wanadunda TU. Anguko la ccm litatokea kiwango Cha ujinga na njaakitakapopungua Kwa zaidi ya nusu ya watanzania
Nipe rekodi ya miaka yote na mada zake
 
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao.

Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia CCM ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani.

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akanaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana.

Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..

Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!

Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..

Hapo nimewaelewa chawa tu hapo
 
Siku SUKUMA GANG wakirudi madarakani mimi na familia tutahamia CANADA [emoji1063]
 
Wewe hujaelewa,, wayahudi walipofika caanan walikuta wafilisti ndio watawala sa eneo lile ,, wayahudi wakaaanza kwanza kuishi hapo kama immigrants, na walikuwa chini ya utawala wa wafilisti,, mfalme saul(finctional character),amekuja kuanza kutawala miaka mingi baada ya waahudi kutoka misri,, hivyo mahakama ilikuwa ni ya wafilisti
Wayahudi walikuwa wanaongozwa na Mungu kama unaiamini biblia.Iweje watu wa Mungu wawe watawaliwa wakati nchi wamepewa na Mungu.
 
Ni uasi ambao haujapata kutokea ndani ya chama cha mapinduzi CCM.. Baada ya kukaa madarakani muda mrefu sana ni kama kuna kikundi ndani yake kimejikuta kinajiona wao ndio ELITES wa hii nchi, na lolote ama chochote kinachofanyika ni lazima kipate kibali chao.

Imefika mahali kikundi hicho kilichojitengenezea ukwasi na mtandao wa ajabu wenye ufadhili mkubwa wa matajiri waliojatajirikia CCM ambao si watanzania asilia kwa asilimia 100. Kina uwezo wa nani awe nani kwenye nafasi gani.

Ujio wa mwendazake ulifanikiwa kwa kiasi chake kuudhoofisha huu mtandao wa hiki kikundi lakini naye akanaza kuharibu kwa kuanza kutengeneza himaya nyingine mpya ya upande mmoja tena kwa ukatili mkubwa sana.

Hapa kitisho kilikuwa wazi ni vita kati ya himaya mpya ya mwendazake vs mtandao kongwe THE ELITES ... Halafu sasa hiki kirusi kipya cha visiwani chenye vinasaba vingi na The elites! Hili linakolezwa na fununu zisizothibitishwa kwamba Taifa la Tz liko chini ya watoto wa familia moja.. 'Baba mmoja'... Ni TUHUMA!

Yaliyotokea ya mhimili mwingine mpaka kupelekea kujiuzulu, kauli ya mkuu wa kaya kuhusiana na 2025, uteuzi wa baraza jipya la mawaziri na makatibu wakuu pamoja na wengine wote kuna tafsiri moja tuu... Uasi ujao na vita mpya kati ya sukuma gang, mtandao wa the elites , visiwani na bara na chawa wenye maslahi kwa kila upande..

Kila kundi liko chimbo likijiandaa kivyake... Ni mchezo wa kuwindana...uasi mkubwa waja...na ndio nafasi pekee ya walio nje ya mfumo ku take cover!
Mungu ibariki Tanzania...!!!
 
Back
Top Bottom