Uasi mkubwa unakuja CCM

Uasi mkubwa unakuja CCM

Hawa watu hawajui magu aliharibu mifumo kwa upande flan japo alikula mfupa uliowashinda wengine.. Kuna wkt magu aliharibu mtake msitake.

Kwa mfano, kujitenga na magharib ni kosa.

Kutengeneza makundi ni kosa gang hizi ni upuuzi.

Kutoshinikiza katiba na kuilinda yye aliikiuka kuivunja

Kutengeneza wahuni..wakina sabay na makonda...

Kuua upinzani ni kosa kubwa sana
Ila nikukumbushe upinzani hakuua ila aliuimarisha🤔.na ndio unao watesa nduguzake, ule wa nje uliokuwa hatari zaidi na unaomea chumbani kwao hii Leo 🤸 .
 
Kushindwa kutaja kundi hili kwa jina lake halisi ni dhahiri upo upande gani!
Huyo ni chadema, anajaribu kuchochea kuni,, sasa birika likichemka sijui ndugu zake huko kijijini atawahamishia wote UK..
Ujue mijitu mingine huwa haiwezi ku focus mbele,,, yaani hapo njaa tu zinamsumbua, anatamani chadema hata wapindue nchi ili apate hata uofisa tarafa tu,. [emoji1745]
 
Kuibomoa nchi kongwe na tajiri kama Ujerumani inachukua hata karne na Angela Merkel ameanzisha hilo tayari, miaka michache ijayo Ujerumani itakuwa siyo Christian Country tena na hiyo yote ni sababu ya Angela Merkel, lkn sitaki kuzamia sana huko kwenye mada ya Ujerumani turudi hapa kwetu, tuna kazi kubwa ya kufanya …
Tatizo wanaume wa ujerumani hawazai,, nchi inakuwa underpopulated,, kama sio kuwakaribisha waarabu kukaaa germany ingebaki mahame tu.
Of course inayowakuta ni karma, waliharibu syria na iraq sasa nchi yao automatically inakuwa arabised
 
Huyo ni chadema, anajaribu kuchochea kuni,, sasa birika likichemka sijui ndugu zake huko kijijini atawahamishia wote UK..
Ujue mijitu mingine huwa haiwezi ku focus mbele,,, yaani hapo njaa tu zinamsumbua, anatamani chadema hata wapindue nchi ili apate hata uofisa tarafa tu,. [emoji1745]
Aisee I never expected this..! Especially from you!
 
Hakuna kitu kinaitwa sukuma gang ni conspiracy tu kuharibu reputation ya watu fulani

Kuhusu ccm maji ndio kwanza yanachemka
Naamini lile tamko la jeshini halijatoka bahati mbaya
Tuombe busara itawale wastaafu wasitumie nguvu zao vibaya

Wastaafu wako overrated sana kutokana na ujinga wa jamii ya kitanzania.
Mtu hana say kwenye Jeshi la Ulinzi wala Intelligence service ya nchi zaidi ya kutegemea connection za maneno na majungu majungu ili mradi kulinda maslahi ya watu wake

Sisi watanzania ni watu wa hovyo sana haijalishi tuko nafasi gani katika uongozi na kwenye dola.
Matumbo yetu na ubinafsi vimetutawala kiasi kwamba mwenye connection ndiye anayefaidi nchi hata kama hana dhiki ila atahakikisha mnateseka iwe kwa bei ya mafuta, nauli n.k
 
Raia wa Tz wasio na meno ni kama mazombi,ata mkiambiwa cha kufanya hamtofanya maana kuandamana tu kunawashinda.
Wabongo sio wa kuwategemea,ukijidai kukomaa utanyooka mwenyewe,Mbowe yupo huko anateseka hakuna anaejali.
 
Remember Samson? Who destroyed him? They’re destroyers!!
Mfano hauakisi hali halisi, wakati wa samsoni, israel ilikua hajawa nchi walikuwa wanaishi chini ya utawala wa filistine, walikuwa hawajawa hata na mfalme wao, kwa maana saul alikua hajawa mfalme
 
USA haijawahi kujengwa na Mwanamke, kwanza hata kupiga kura Wanawake wameanza kuruhusiwa miaka ya 60‘ hata Ulaya pia Wanawake walikuwa hawaruhusiwi kupiga kura.

Labda nikuulize ulishaona General wa Jeshi Mwanamke Dunia hii anayeongoza vita dhidi ya Adui ?
Golda Meir,. Israel woman commander in chief... [emoji851][emoji851]
 
Wataje tu Mkuu January na Nape ( Kigogo )

Wanajiona wana hatimiliki ya hii Nchi
How?, Sio nyie jf, enzi za chuma, mkawa mnamsifia january kuwa ni kiongozi mzuri? [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Whatever Is Coming, Let It Be.
Usiwe na wasiwasi, hata huko ethiopia baada ya tigray kupoteza madaraka, wakaanza figisu, wakidhani bado wanacontrol system,,, lakini drone za mchina na iran zilipoanza kuwatia displine, hawaaamini mpaka saa hii na watachakaa kweri kweri[emoji38][emoji38]
 
Wanaifanya nchi yakwao peke Yao nasisi watanzania tunakenua tu kama mingese vile, tupaze sauti rasilimali za nchi zinatafunwa na wachache, kila siku machawa wa SSH wanaongezeka kulinda matumbo Yao wanatufanya watanzania maiti manina

Zanzibar sio Tanzania ninkanch flani hivi kalishajitenga kitambo sana sema kalikosa mtu wa kuwakingia kifua....Bibi Tozo keshaanza kuonyesha Dalili
 
Ndio maana waliona waanze kumtoa tumbo tumbo then wafate na stone hili kwenye chama abakie mmoja mwenye nguvu, maana yule mwenye miaka 90 akili isharudi utotoni......lakini yote kwa yote huyu bi mdashi hasifikiri kundi jipya kukaa kwake kimya ni kwamba wamefyata.......jeshi la wananchi limetoka kutoa kauli majuzi na hiyo sio kawaida, that means huko juu wameshindwa kupata mapatano.
Jeshi limetoa kauli la KUHESHIMU KATIBA NA KUMLINDA RAIS
 
Watu waongee weee ila magufuli alikuwa mtu nimejumlisha na mabaya yake. Yule ni bora sana na hapatatokea wa kumpita. Kuwepo kwa ridhiwan kunaendelea kuakisi ubora wa magufuli. Licha ya matatizo yake.
 
How?, Sio nyie jf, enzi za chuma, mkawa mnamsifia january kuwa ni kiongozi mzuri? [emoji23][emoji23][emoji23]


Nyie kina Nani ?! Husiunganishe mawazo ya watu wengine na ya kwangu tafadhali

JF kila mtu anajua anapotoka na kuja kucomment hapa hatukai kikao kwa ajili ya kuja kutoa Maoni Jf
 
Mfano hauakisi hali halisi, wakati wa samsoni, israel ilikua hajawa nchi walikuwa wanaishi chini ya utawala wa filistine, walikuwa hawajawa hata na mfalme wao, kwa maana saul alikua hajawa mfalme
Jibu haliendani na mfano niliotoa. Hapa nazumgumzia jinsi Samson alivyokuwa victim kwasababu ya mwanamke!!
 
Shaka👇

Screenshot_20220116-084006.png
 
Jibu haliendani na mfano niliotoa. Hapa nazumgumzia jinsi Samson alivyokuwa victim kwasababu ya mwanamke!!
We ndo hujaelewa samsoni alikamatwa kwasababu aliua watu lukuki ili apate magovi ya kulipa mahali, alichoma mashamba ya watu moto,
Homicide&Arson,
Huyo anakuaje victim?
Alikamatwa na serikali wakampeleka mahakamani na huko akafanya suicide mission.
In short, Samsoni ndio gaidi wa kwanza kabisa hapa duniani
 
We ndo hujaelewa samsoni alikamatwa kwasababu aliua watu lukuki ili apate magovi ya kulipa mahali, alichoma mashamba ya watu moto,
Homicide&Arson,
Huyo anakuaje victim?
Alikamatwa na serikali wakampeleka mahakamani na huko akafanya suicide mission.
In short, Samsoni ndio gaidi wa kwanza kabisa hapa duniani
Aliyedanganywa aka toa Siri ya nguvu zake alikuwa nani? Unamfahamu?
 
Back
Top Bottom