Ubabe wa Israel Kijeshi

Ubabe wa Israel Kijeshi

TAIFA Teule La Allah!
[emoji116][emoji116]
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

(AL - BAQARA - 47)
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo.
That is not my concern.

Mfano hiyo ndo argument unaweza kwenda nayo mfano UN ukasema ndo sababu ya kuhalalisha genocide?
 
Hizo takwimu ni kwa mujibu wa nani au umetoa kichwani mwako ili kujifurahisha?

Kwa hiyo unakataa kuwa Israel haiishi kwa misaada ya wamagharibi?

Israel wangekuwa watu wenye akili kama mnavyo tuaminisha kwa hiyo misaada anayo pewa na nchi za Magharibi alitakiwa awe mbali zaidi ya mara mbili ya alivyo sasa.
takwimu ni kulingana na word bank
msaada inaopewa ni kidogo sana haiwez fanya chochote sasa marekan amempa usd 3bili kwenye bilion 400 ni kitu gani?
 
IDF wameizunguka Gaza wanadai Hamas wapo kwenye mashimo sasa wanashindwa vipi kujua mateka walipo? Je Israel army ipo overrrated?
kuna tunnel chini kwa chini zina urefu wa kilomita 600 yan karibia umbali wa dar to mbeya, wewe ungeweza kweli kujua?
 
Kwani Hezbollah inachukua command kwa nani na ipo backed na nani? Hezbollah si hii hapo imeanzisha mashambulizi Israel, Hezbollah ipo wazi ni kundi La Iran, Sasa Iran iingie vitani mara ngapi?
iran anamback hezbola sio kwamba ndo yeye, ni vitu viwili tofauti mzee.. ukimdamini mtu sio kwamba ndo wewe, na pia ni kwamba hadi sasa hivi hezbola kila shambulizi wanalofanya wanapigwa, na pia kumbuka kwamba hadi sasa hezbolah haija declare vita yeyote na israel, inaogopa mziki
 
mleta mada umedhihirisha upeo wako mdogo katika historia ya dunia kwa ujumla.
 
Mlaumu allah!
[emoji116][emoji116]
يَا بَنِي إِسْرَائِيلَ اذْكُرُوا نِعْمَتِيَ الَّتِي أَنْعَمْتُ عَلَيْكُمْ وَأَنِّي فَضَّلْتُكُمْ عَلَى الْعَالَمِينَ

(AL - BAQARA - 47)
Enyi Wana wa Israili! Kumbukeni zile neema zangu nilizo kuneemesheni, na nikakuteuweni kuliko wote wengineo.
Quran Al-Maidah
5:12 - Na Mwenyezi Mungu alifanya agano na Wana wa Israili. Na tukawateulia kutokana nao wakuu kumi na mbili. Na Mwenyezi Mungu akasema: Kwa yakini Mimi ni pamoja nanyi. Mkisali, na mkatoa Zaka, na mkawaamini Mitume wangu, na mkawasaidia, na mkamkopesha Mwenyezi Mungu mkopo mwema, hapana shaka nitakufutieni maovu yenu na nitakuingizeni katika mabustani yapitayo mito kati yake. Lakini atakaye kufuru miongoni mwenu baada ya hayo bila ya shaka atakuwa amepotea njia iliyo sawa.


5:13 - Basi kwa sababu ya kuvunja agano lao tuliwalaani, na tukazifanya nyoyo zao kuwa ngumu. Wanayabadilisha maneno kutoka pahala pake, na wamesahau sehemu ya yale waliyo kumbushwa. Na huachi kuvumbua khiana kutokana nao, isipo kuwa wachache miongoni mwao. Basi wasamehe na waache. Hakika Mwenyezi Mungu huwapenda wafanyao wema.


5:70 - Tulifanya agano na Wana wa Israili, na tukawatumia Mitume. Kila alipo wajia Mtume kwa wasio yapenda nafsi zao wengine waliwakanusha na wengine wakawauwa.


5:78 - Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka.
 
kuna tunnel chini kwa chini zina urefu wa kilomita 600 yan karibia umbali wa dar to mbeya, wewe ungeweza kweli kujua?
Lakini lakini tunaambiwa IDF wana jeshi imara lenye teknolojia ya hali ya juu
 
Kwa akili hizi bora ungetolewa chooni ni hasara kwa wavaa kobazi
 
takwimu ni kulingana na word bank
msaada inaopewa ni kidogo sana haiwez fanya chochote sasa marekan amempa usd 3bili kwenye bilion 400 ni kitu gani?
Kumbe naongea na mtu asiye kuwa na uwelewa wowote zaidi ya mihemko?

Eti msaada ni kidogo ,hizo $3bilion ni msaada wa kijeshi tu tena kutoka nchi moja tu ambayo ni Marekani bado kuna misaada mingi ya kijeshi kutoka nchi za Ulaya hasa Ujerumani na Uingereza.

Pia Israel inapokea mabilion ya dora ya msaada wa kiuchumi kutoka kwa Marekani , nchi za Ulaya na Canada kila mwaka, pia bidhaa zote za Israel zinaingia barani Ulaya, Marekani na Canada bila kulipiwa ushuru wowote ule hivyo makampuni na viwanda vya Israel vibapata faida kubwa.
Kiufupi Israel ina bebwa na vitu vingi sio sawa kiilinganisha na mataifa yanayo pambana yao wenyewe bila misaada kutoka mataifa mengine tena wakiwa na vikwazo kama Iran.
 
Vile vi operation uchwara kupaisha yale mabati kwenda kupiga vinu vya nuclear kule Syria na Iraq viko wapi? vile vi covert operation vya kipuuzi ambavyo vinapigiwa chapuo miaka na miaka kwenda kuua watu iko wapi? Vistory vya kijinga toka miaka ya 60 vya six days war😂.

Hio six days war kashindwa kuidhihirisha pale Gaza, kaeneo km square 369, Kigamboni hio ina 578km square. Kuna vitu vinachekesha, nchi inapigana na wilaya hadi inaomba poo😂, ni aibu.

Israel ni mtori, tena mlenda kabisa, ona sasa askari 3000 wamelamba mchanga, tanks zaidi ya 300 zimepigwa. Wananchi full kuandamana.

Wakajifanya kuingia Gaza kutafuta mateka kuionyesha dunia wao ni wababe, matokeo yake wamelambishwa mchanga hadi wakaomba mazungumzo. Na mateka hata mmoja hajapatikana. Kinacho shangaza zaidi mateka wapo pale pale Gaza. 😂 , wazee wa intelligence duniani, Mossad akina kidon wako wapi? Ile unit ya vijana hackers hatari sana duniani iko wapi ile unit 8200😂, dah propaganda mbaya sana.

Israel ina propaganda sana, na katika watu wanajua kuji brand hilo nawasifu, wanajua kujisifu na kujipigia chapuo na kuaminisha wengine ambao ni vilaza, wakifanya kitu kidogo kelele kibao wakati kuna watu wanafanya vitu vya hatari kuliko.

Hizo intelligence na highest tech kwenye military viko wapi? mnashindwa kutumia umwamba wenu kupambana na vijana wamevaa viatu vya adidas na track suit tena kwenye kaeneo kama Gaza, nyie mmevaa full gear na magloves yenu, boots na gogles na bullet proof, badala yake mnapigika hadi aibu. Misaada toka ulaya yote na USA viko wapi?

Mmejipanga msururu na vifaru, magari ya deraya, airforce lakini mwishoni mmeishia kuua watu 14000 kati yao watoto ni nusu yake. Na raia wasio na hatia.

Yaani unaua vitoto karibu 7000 havijui chochote, ugaidi wa kutisha kabisa.

I bet Israel hata South Africa haiwezi pambana nayo, usiende Iran wala Korea huko atachapika apotee.

Israel imeonyesha uchovu wa hali ya juu, sasa wazee wa kazi Hezbollah wameingia kazini, hapo Netanyau lazima akubali tu, kwa sababu hadi sasa wananchi wanawatukana viongozi wao hawana akili.
https://twitter.com/WarMonitors


Details regarding the operations today according to Hezb-Allah:- Eastern sector

:1- At 11:00, a house in which Israeli soldiers were stationed in Al-Manara settlement was targeted with two guided missiles, and it was directly hit.

2- At 11:05, a gathering of Israeli soldiers was targeted in Harsh Ramim with appropriate weapons, causing direct casualties

.3- At 12:45, positions of Israeli soldiers in the vicinity of the Al-Marj site were targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.

4- At 13:50, the Ruwaisat Al-Alam site in the occupied Lebanese Shebaa Farms was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.

5- At 14:50, four soldiers in an Israeli force were targeted after careful monitoring of their entry into a house in the Al-Manara colony with focused and special guided missiles, which led to the killing of all of them and the destruction of the house above their heads.

6- At 16:35, targeting the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of the Reservoir Hill site near the Yiftah Barracks (the occupied Lebanese village of Quds) with appropriate weapons and causing direct hits.

- Western sector:
1- At 8:30, an infantry gathering of Israeli soldiers was targeted at the Al-Dhahira site with appropriate weapons, causing direct casualties.

2- At 8:30, an infantry gathering of Israeli soldiers at the Jal al-Alam site was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.

3- At 8:30, the Birkat Risha site was targeted with appropriate weapons, causing direct hits.

4- At 9:00, a deployment of Israeli infantry soldiers in the vicinity of the Sa’sa’ settlement was targeted with appropriate weapons, causing direct hits.

5- At 9:15, a Merkava tank was targeted after it was monitored and its position was revealed among the trees in the monk’s position with a guided missile, and it was directly hit. The infantry force that came to the tank’s location was targeted with guided weapons, and its members were killed or wounded.

6- At 9:30, the Khirbet Maar site and its positions were targeted with missile weapons, and it was directly hit.

7- At 10:15, the Ein Zeitim base near the city of Safed (headquarters of the 3rd Infantry Brigade of the 91st Division) was targeted with forty-eight (48) Katyusha missiles, causing a direct hit.

8- At 11:00, a gathering of Israeli soldiers in the vicinity of the Al-Raheb site and Tal Shaar was targeted with appropriate weapons, causing direct casualties.
9- At 13:55, the Ramya site was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.

10- At 14:27, the Jal al-Alam site was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.

11- At 14:50, soldiers’ positions in the vicinity of the Hadab Al-Bustan site were targeted with appropriate weapons, causing direct hits.

12- At 15:25, soldiers’ positions in the vicinity of the Birkat Risha site were targeted with appropriate weapons, causing direct hits.

13- At 15:30, targeting the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of the Raheb site with appropriate weapons, causing direct hits.

14- At 15:35, the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of Zarit Barracks were targeted with a Burkan missile, causing direct hits.

15- At 15:35, targeting the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of the Hadab Al-Bustan and Birkat Risha sites with appropriate weapons, achieving direct hits.

16- At 16:45, the Al-Malikiyah site was targeted while Israeli soldiers were moving inside it with appropriate weapons, causing direct hits.
 
Weww kweli unajitambua kweli Hamas hawana hata kombora la kutungulia ndege wana mabomu ya kienyeji tu hawaruhusiwi kuingiza chochote yaaani yale mabomu yao yanafumua vifaru vya dola milioni 3 wanatengeneza Tabata ya gaza kwa gharama ya dola 200 ndiyo maana dunia imeshangaa Israel ina kila aina silaha na msaada wa Marekani na Ulaya lakini wamekwama Gazza Sehemu ndogo kama Kigamboni miezi mitatu wameshindwa kukomboa mateka.
Kwanini hawana uwezo sasa,kosa la nani.
 
Huu uzi wafuasi wa munyazimungu wanajifariji kweli kweli!
 
Kumbe naongea na mtu asiye kuwa na uwelewa wowote zaidi ya mihemko?

Eti msaada ni kidogo ,hizo $3bilion ni msaada wa kijeshi tu tena kutoka nchi moja tu ambayo ni Marekani bado kuna misaada mingi ya kijeshi kutoka nchi za Ulaya hasa Ujerumani na Uingereza.

Pia Israel inapokea mabilion ya dora ya msaada wa kiuchumi kutoka kwa Marekani , nchi za Ulaya na Canada kila mwaka, pia bidhaa zote za Israel zinaingia barani Ulaya, Marekani na Canada bila kulipiwa ushuru wowote ule hivyo makampuni na viwanda vya Israel vibapata faida kubwa.
Kiufupi Israel ina bebwa na vitu vingi sio sawa kiilinganisha na mataifa yanayo pambana yao wenyewe bila misaada kutoka mataifa mengine tena wakiwa na vikwazo kama Iran.
msaada inaopata israel inachangia asilimia ngapi ya pato lake?
 
Kumbe naongea na mtu asiye kuwa na uwelewa wowote zaidi ya mihemko?

Eti msaada ni kidogo ,hizo $3bilion ni msaada wa kijeshi tu tena kutoka nchi moja tu ambayo ni Marekani bado kuna misaada mingi ya kijeshi kutoka nchi za Ulaya hasa Ujerumani na Uingereza.

Pia Israel inapokea mabilion ya dora ya msaada wa kiuchumi kutoka kwa Marekani , nchi za Ulaya na Canada kila mwaka, pia bidhaa zote za Israel zinaingia barani Ulaya, Marekani na Canada bila kulipiwa ushuru wowote ule hivyo makampuni na viwanda vya Israel vibapata faida kubwa.
Kiufupi Israel ina bebwa na vitu vingi sio sawa kiilinganisha na mataifa yanayo pambana yao wenyewe bila misaada kutoka mataifa mengine tena wakiwa na vikwazo kama Iran.
msaada inaopata israel inachangia asilimia ngapi ya pato lake?
 
Back
Top Bottom