Vile vi operation uchwara kupaisha yale mabati kwenda kupiga vinu vya nuclear kule Syria na Iraq viko wapi? vile vi covert operation vya kipuuzi ambavyo vinapigiwa chapuo miaka na miaka kwenda kuua watu iko wapi? Vistory vya kijinga toka miaka ya 60 vya six days war😂.
Hio six days war kashindwa kuidhihirisha pale Gaza, kaeneo km square 369, Kigamboni hio ina 578km square. Kuna vitu vinachekesha, nchi inapigana na wilaya hadi inaomba poo😂, ni aibu.
Israel ni mtori, tena mlenda kabisa, ona sasa askari 3000 wamelamba mchanga, tanks zaidi ya 300 zimepigwa. Wananchi full kuandamana.
Wakajifanya kuingia Gaza kutafuta mateka kuionyesha dunia wao ni wababe, matokeo yake wamelambishwa mchanga hadi wakaomba mazungumzo. Na mateka hata mmoja hajapatikana. Kinacho shangaza zaidi mateka wapo pale pale Gaza. 😂 , wazee wa intelligence duniani, Mossad akina kidon wako wapi? Ile unit ya vijana hackers hatari sana duniani iko wapi ile unit 8200😂, dah propaganda mbaya sana.
Israel ina propaganda sana, na katika watu wanajua kuji brand hilo nawasifu, wanajua kujisifu na kujipigia chapuo na kuaminisha wengine ambao ni vilaza, wakifanya kitu kidogo kelele kibao wakati kuna watu wanafanya vitu vya hatari kuliko.
Hizo intelligence na highest tech kwenye military viko wapi? mnashindwa kutumia umwamba wenu kupambana na vijana wamevaa viatu vya adidas na track suit tena kwenye kaeneo kama Gaza, nyie mmevaa full gear na magloves yenu, boots na gogles na bullet proof, badala yake mnapigika hadi aibu. Misaada toka ulaya yote na USA viko wapi?
Mmejipanga msururu na vifaru, magari ya deraya, airforce lakini mwishoni mmeishia kuua watu 14000 kati yao watoto ni nusu yake. Na raia wasio na hatia.
Yaani unaua vitoto karibu 7000 havijui chochote, ugaidi wa kutisha kabisa.
I bet Israel hata South Africa haiwezi pambana nayo, usiende Iran wala Korea huko atachapika apotee.
Israel imeonyesha uchovu wa hali ya juu, sasa wazee wa kazi Hezbollah wameingia kazini, hapo Netanyau lazima akubali tu, kwa sababu hadi sasa wananchi wanawatukana viongozi wao hawana akili.
https://twitter.com/WarMonitors
Details regarding the operations today according to Hezb-Allah:- Eastern sector
:1- At 11:00, a house in which Israeli soldiers were stationed in Al-Manara settlement was targeted with two guided missiles, and it was directly hit.
2- At 11:05, a gathering of Israeli soldiers was targeted in Harsh Ramim with appropriate weapons, causing direct casualties
.3- At 12:45, positions of Israeli soldiers in the vicinity of the Al-Marj site were targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.
4- At 13:50, the Ruwaisat Al-Alam site in the occupied Lebanese Shebaa Farms was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.
5- At 14:50, four soldiers in an Israeli force were targeted after careful monitoring of their entry into a house in the Al-Manara colony with focused and special guided missiles, which led to the killing of all of them and the destruction of the house above their heads.
6- At 16:35, targeting the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of the Reservoir Hill site near the Yiftah Barracks (the occupied Lebanese village of Quds) with appropriate weapons and causing direct hits.
- Western sector:
1- At 8:30, an infantry gathering of Israeli soldiers was targeted at the Al-Dhahira site with appropriate weapons, causing direct casualties.
2- At 8:30, an infantry gathering of Israeli soldiers at the Jal al-Alam site was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.
3- At 8:30, the Birkat Risha site was targeted with appropriate weapons, causing direct hits.
4- At 9:00, a deployment of Israeli infantry soldiers in the vicinity of the Sa’sa’ settlement was targeted with appropriate weapons, causing direct hits.
5- At 9:15, a Merkava tank was targeted after it was monitored and its position was revealed among the trees in the monk’s position with a guided missile, and it was directly hit. The infantry force that came to the tank’s location was targeted with guided weapons, and its members were killed or wounded.
6- At 9:30, the Khirbet Maar site and its positions were targeted with missile weapons, and it was directly hit.
7- At 10:15, the Ein Zeitim base near the city of Safed (headquarters of the 3rd Infantry Brigade of the 91st Division) was targeted with forty-eight (48) Katyusha missiles, causing a direct hit.
8- At 11:00, a gathering of Israeli soldiers in the vicinity of the Al-Raheb site and Tal Shaar was targeted with appropriate weapons, causing direct casualties.
9- At 13:55, the Ramya site was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.
10- At 14:27, the Jal al-Alam site was targeted with appropriate weapons and direct hits were achieved.
11- At 14:50, soldiers’ positions in the vicinity of the Hadab Al-Bustan site were targeted with appropriate weapons, causing direct hits.
12- At 15:25, soldiers’ positions in the vicinity of the Birkat Risha site were targeted with appropriate weapons, causing direct hits.
13- At 15:30, targeting the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of the Raheb site with appropriate weapons, causing direct hits.
14- At 15:35, the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of Zarit Barracks were targeted with a Burkan missile, causing direct hits.
15- At 15:35, targeting the assembly and deployment points of Israeli soldiers in the vicinity of the Hadab Al-Bustan and Birkat Risha sites with appropriate weapons, achieving direct hits.
16- At 16:45, the Al-Malikiyah site was targeted while Israeli soldiers were moving inside it with appropriate weapons, causing direct hits.