Ubabe wa Israel Kijeshi

Ubabe wa Israel Kijeshi

Mbona kama wanawavimbia hawavai Tena usongo kichwani wanabaki Kujichanganya Kwa Raia Na Jamaa Walivyo Na Roho Mbaya Wanapiga Humo Humo Kwenye Mshono Watu Wanaisha huko Nyie Mnabaki Hamas Wanaume Wakati Watu Wanaomba Poo
 
Hawa wengi ni mashoga angalia [emoji23]


View: https://www.instagram.com/p/Cz9HNpVNrNU/?igshid=MzRlODBiNWFlZA==

Hapo Zbar 99% ni waumini wa dini ya haqi ila ndio kunaongoza kwa vitendo vya sodoma na gomora.
giphy.gif
 
askari wa usa aingie gaza je kwani hujui kwamba wapo Israel kutoa assistance?
au we hujui vita vya kisasa adui anakupiga akiwa remotely?

Iraan alisema israel akiingia tu gaza na yeye anakinukisha haya kiko wapi mana sa ivi israel solders wameweka kambi misikitini huko gaza ndo wanapoishi tena wanalala na viatu duh si zarau hizo?

Iran ni mbwa anayebweka akiwa ndani ya banda hana makali yeyote kwani mara ngapi keshachimba mabiti kwamba wataingia vitani kama israel asipositisha vita? hezbola mara ngapi wamesema kwamba wataingia vitani? mbona hawajaingia? haya kwan israel walisitisha vita? hao wameweka mipasho mbele hawana lolote
Kwani Hezbollah inachukua command kwa nani na ipo backed na nani? Hezbollah si hii hapo imeanzisha mashambulizi Israel, Hezbollah ipo wazi ni kundi La Iran, Sasa Iran iingie vitani mara ngapi?
 
US waliwasaidia Mujahideen wa Afghanistan kupambana na Ussr sio Isis, Isis imeanzishwa baada ya uvamizi wa Marekani huko Iraq.

Kwa Sasa Russia anafanya ugaidi huko Ukraine.


Waasi waliomuua Gaddafi walisaidiwa sana na UK na France, isitoshe Gaddafi alikuwa na mahusiano mazuri na serikali ya Sarkozhy ( aliyekuwa Rais wa Ufaransa) Ila baadae walimsaliti.

Sio US pekee, hata nchi kama Uturuki, Qatar, Saud Arabia zote ziliunga mkono waasi wa Syria....

Hao waarabu walishiriki kumhujumu mwarabu mwenzao.
Nimekuelezea chimbuko la ISIS mzee, tuache story nyingi, kasome chimbuko la ISIS, ISIS ilitaka kuichukua SYria, baada ya Russia, Iran na Hezbollah kuingia ndipo wakawamaliza, hakuna cha US wala ushenzi wa US, mwaka mzima anapambana badala ya kupunguza ISIS wanaongezeka
 
Vile vi operation uchwara kupaisha yale mabati kwenda kupiga vinu vya nuclear kule Syria na Iraq viko wapi? vile vi covert operation vya kipuuzi ambavyo vinapigiwa chapuo miaka na miaka kwenda kuua watu iko wapi? Vistory vya kijinga toka miaka ya 60 vya six days war[emoji23].

Hio six days war kashindwa kuidhihirisha pale Gaza, kaeneo km square 369, Kigamboni hio ina 578km square. Kuna vitu vinachekesha, nchi inapigana na wilaya hadi inaomba poo[emoji23], ni aibu.

Israel ni mtori, tena mlenda kabisa, ona sasa askari 3000 wamelamba mchanga, tanks zaidi ya 300 zimepigwa. Wananchi full kuandamana.

Wakajifanya kuingia Gaza kutafuta mateka kuionyesha dunia wao ni wababe, matokeo yake wamelambishwa mchanga hadi wakaomba mazungumzo. Na mateka hata mmoja hajapatikana. Kinacho shangaza zaidi mateka wapo pale pale Gaza. [emoji23] , wazee wa intelligence duniani, Mossad akina kidon wako wapi? Ile unit ya vijana hackers hatari sana duniani iko wapi ile unit 8200[emoji23], dah propaganda mbaya sana.

Israel ina propaganda sana, na katika watu wanajua kuji brand hilo nawasifu, wanajua kujisifu na kujipigia chapuo na kuaminisha wengine ambao ni vilaza, wakifanya kitu kidogo kelele kibao wakati kuna watu wanafanya vitu vya hatari kuliko.

Hizo intelligence na highest tech kwenye military viko wapi? mnashindwa kutumia umwamba wenu kupambana na vijana wamevaa viatu vya adidas na track suit tena kwenye kaeneo kama Gaza, nyie mmevaa full gear na magloves yenu, boots na gogles na bullet proof, badala yake mnapigika hadi aibu. Misaada toka ulaya yote na USA viko wapi?

Mmejipanga msururu na vifaru, magari ya deraya, airforce lakini mwishoni mmeishia kuua watu 14000 kati yao watoto ni nusu yake. Na raia wasio na hatia.

Yaani unaua vitoto karibu 7000 havijui chochote, ugaidi wa kutisha kabisa.

I bet Israel hata South Africa haiwezi pambana nayo, usiende Iran wala Korea huko atachapika apotee.

Israel imeonyesha uchovu wa hali ya juu, sasa wazee wa kazi Hezbollah wameingia kazini, hapo Netanyau lazima akubali tu, kwa sababu hadi sasa wananchi wanawatukana viongozi wao hawana akili.
Kama Israe ni mtori kama ulivosema mbona hatuoni Waarabu wakienfa front kusadia HAMAS?
 
Dunia imebadilika siku hizi sema mafan boys hawataki kukubali.
Yale madrone yaliyokuwa anayo marekna us na ufaransa na israel siki hizi iran, china, uturuki wanayafyatua kama mitoy yanawafikia hao mgambo pia.
Vitu vingi ambavyo zaman walikuwa wanavitumia kunyanyasa watu hata hao nao wanavyo so vita aliyopigana na waarab kipindi kole akawashinda ikipiganwa leo hawezi kutoboa
Yes itskuwa very expensive war ,zamani niliposikia ndege zisizo na rubani nilishangaa sana .kwa sasa karobu kila nchi inamiliki kasoro tz tu . Hi tech kama wwngekuwa nayo hamasi mbona maisha yao yangekuwa magum sana

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Kama Israe ni mtori kama ulivosema mbona hatuoni Waarabu wakienfa front kusadia HAMAS?
Wanaendaje kusaidia hali ya kuwa Hamas pekee inamshinda, Israel kama mbabe kwa nini anashindwa kuchukua mateka Gaza hadi anakubali kuachia wafungwa 150? Gaza imezungukwa na Israel.

Ngoja nikuoneshe ramani unielewe hio nyekundu ndogo ndio Gaza ambapo kuna wafungwa na hao Hamas, Israel imeshindwa kuwapata, ni kituko cha karne.
skynews-israel-map_6315253.jpg
 
Mkuu Yaani umeandika kishabiki kweli kweli!
Kutokana na jinsi ambavyo karibu dunia nzima wanafuatilia vita hivi,data ulizotoa siyo za ukweli.
Israel haikuomba poo! Hii ni kutokana na shinikizo la Jumuia ya Kimataifa ikiwemo na Marekani kuitaka Israeli isitishe mashambulizi ya kijeshi ambayo yamegharimu maisha ya Wapalestina wengi sana tangu vita ianze.Hiki ndicho kimepelekea Makubaliano ya kubadilishana mateka na wafungwa wa kipalestina kadhaa.
Lakini Mkuu unashangilia nini wakati Gaza imeachwa ni Magofu na Wapalestina wengi wamekufaa?
Ndo alitoa zile 3.7b usd na kwa sasa zimebaki 1.3usd pekee na uchumi unaendeela kudorora

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Vile vi operation uchwara kupaisha yale mabati kwenda kupiga vinu vya nuclear kule Syria na Iraq viko wapi? vile vi covert operation vya kipuuzi ambavyo vinapigiwa chapuo miaka na miaka kwenda kuua watu iko wapi? Vistory vya kijinga toka miaka ya 60 vya six days war[emoji23].

Hio six days war kashindwa kuidhihirisha pale Gaza, kaeneo km square 369, Kigamboni hio ina 578km square. Kuna vitu vinachekesha, nchi inapigana na wilaya hadi inaomba poo[emoji23], ni aibu.

Israel ni mtori, tena mlenda kabisa, ona sasa askari 3000 wamelamba mchanga, tanks zaidi ya 300 zimepigwa. Wananchi full kuandamana.

Wakajifanya kuingia Gaza kutafuta mateka kuionyesha dunia wao ni wababe, matokeo yake wamelambishwa mchanga hadi wakaomba mazungumzo. Na mateka hata mmoja hajapatikana. Kinacho shangaza zaidi mateka wapo pale pale Gaza. [emoji23] , wazee wa intelligence duniani, Mossad akina kidon wako wapi? Ile unit ya vijana hackers hatari sana duniani iko wapi ile unit 8200[emoji23], dah propaganda mbaya sana.

Israel ina propaganda sana, na katika watu wanajua kuji brand hilo nawasifu, wanajua kujisifu na kujipigia chapuo na kuaminisha wengine ambao ni vilaza, wakifanya kitu kidogo kelele kibao wakati kuna watu wanafanya vitu vya hatari kuliko.

Hizo intelligence na highest tech kwenye military viko wapi? mnashindwa kutumia umwamba wenu kupambana na vijana wamevaa viatu vya adidas na track suit tena kwenye kaeneo kama Gaza, nyie mmevaa full gear na magloves yenu, boots na gogles na bullet proof, badala yake mnapigika hadi aibu. Misaada toka ulaya yote na USA viko wapi?

Mmejipanga msururu na vifaru, magari ya deraya, airforce lakini mwishoni mmeishia kuua watu 14000 kati yao watoto ni nusu yake. Na raia wasio na hatia.

Yaani unaua vitoto karibu 7000 havijui chochote, ugaidi wa kutisha kabisa.

I bet Israel hata South Africa haiwezi pambana nayo, usiende Iran wala Korea huko atachapika apotee.

Israel imeonyesha uchovu wa hali ya juu, sasa wazee wa kazi Hezbollah wameingia kazini, hapo Netanyau lazima akubali tu, kwa sababu hadi sasa wananchi wanawatukana viongozi wao hawana akili.
Kelele za nini? Chukueni Tel Aviv na muwafute Yahudi kwenye uso WA duniani...
 
Nimekuelezea chimbuko la ISIS mzee, tuache story nyingi, kasome chimbuko la ISIS, ISIS ilitaka kuichukua SYria, baada ya Russia, Iran na Hezbollah kuingia ndipo wakawamaliza, hakuna cha US wala ushenzi wa US, mwaka mzima anapambana badala ya kupunguza ISIS wanaongezeka
Sio kweli, sikubaliani na ulichokiandika maana hakina uhalisia zaidi ya propaganda tupu.

Aliyeishinda Isis ni US na Western coalition yaani UK France, Belgium n.k kwa kushirikiana na wakurdi (YPG).

 
Back
Top Bottom