Ubachelor unaboa sanaaa!

Tatizo umeweka makazi mengi halafu mengine yanatisha tisha kama nguo za wiki mbili sijui😀
Ungesema tu vitu simple kama nikiwa napika chai naungua vidole hivyo nahitaji usaidizi.Ungeshawaomba mods wafunge hili tangazo lako mapema.
 
Vigezo must....

Miaka: 22-25 ikizidi sio mbaya ilimradi anishawishi Tu
Urefu: Kawaida
Rangi: Yoyote
Weka vigezo vyako na unayemuhitaji sasa

Ama unataka yoyote anayejua kufua na kupika mboga?
 
Kuna watu huwa unawalipa wanakusaidia kufanya usafi nyumbani kila weekend.
 
Unataka mke au dada wa kukusaidia usafi ?
 
House maid sina pesa za kumlipa, nataka mke wa kusaidiana nae chores zote....

Khaa!! Huna pesa ya kumlipa House Maid, kwahio unataka mtu wa kukufanyia kazi za ndani bure kwa kisingizio cha ndoa 😂😂
Wanawake tunafanya huo usafi kwa mapenzi yetu na huruma yetu sio kwamba ni SHERIA eti tunaolewa ili kua house girl wako Eboh!!!
 
Hapana sio nataka kuoa ili tu mwanamke aje kufanya usafi kwangu NO, tusaidiane shughuli zote za nyumbani baada nafikiri na kulea familia pia...
 
Njia rahisi ni kutafuta housegirl azoee hizo kazi, kabla ya kumlipa tangaza kumuoa, hatokudai malipo tena
 
Bachela sugu nipo

Hapa nimetoka kazini nimepika Wali mchafu na nyama za kurosti toka kwenye friji

Hii ni mahesabu ya siku 2 yaani kesho kazi yangu ni kupasha tu viporo vya mboga na huu wali mchafu

Sipendi kula viporo Ila Sina namna [emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…