👏👏 Bora weweBachela sugu nipo
Hapa nimetoka kazini nimepika Wali mchafu na nyama za kurosti toka kwenye friji
Hii ni mahesabu ya siku 2 yaani kesho kazi yangu ni kupasha tu viporo vya mboga na huu wali mchafu
Sipendi kula viporo Ila Sina namna [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Bachela sugu nipo
Hapa nimetoka kazini nimepika Wali mchafu na nyama za kurosti toka kwenye friji
Hii ni mahesabu ya siku 2 yaani kesho kazi yangu ni kupasha tu viporo vya mboga na huu wali mchafu
Sipendi kula viporo Ila Sina namna [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 9[emoji851] Una muda gani ndani ya ubachelor mzee mpaka ukapewa cheo cha usugu ktk ubachelor.....
Dini sichagui....
Sifa zangu:
Urefu: foot 5.5
Rangi: Mweusi
Miaka: 26
Kazi: Muajiriwa
Dini: Kristo
Kabila: ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah jamaniBachela sugu nipo
Hapa nimetoka kazini nimepika Wali mchafu na nyama za kurosti toka kwenye friji
Hii ni mahesabu ya siku 2 yaani kesho kazi yangu ni kupasha tu viporo vya mboga na huu wali mchafu
Sipendi kula viporo Ila Sina namna [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani km anakosa gunia LA mkaa huyukazii nyingine zakujitakia mtoto wakiume tena bachela unaunga mboga kweli😂😂
weweunaweza kua hata na ungo geto kwako 😂😂
🤣🤣🤣🤣Kwahiyo bachela anatakiwa kula mchemsho sio?kazii nyingine zakujitakia mtoto wakiume tena bachela unaunga mboga kweli😂😂
weweunaweza kua hata na ungo geto kwako 😂😂
mchemsho unachemshia wapi na jiko huna😂😂😂🤣🤣🤣🤣Kwahiyo bachela anatakiwa kula mchemsho sio?
😂😂mavi tenaHuo ni ubachelor mavi....
😆😆😆Kabisa cuz huwezi kuwa na mwiko au sufulia moja ndani alafu unakula kwa mama ntilie kila siku...