Ubachelor unaboa sanaaa!

👏👏 Bora wewe
 
[emoji851] Una muda gani ndani ya ubachelor mzee mpaka ukapewa cheo cha usugu ktk ubachelor.....
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaaah jamani
 
kazii nyingine zakujitakia mtoto wakiume tena bachela unaunga mboga kweli😂😂

weweunaweza kua hata na ungo geto kwako 😂😂
🤣🤣🤣🤣Kwahiyo bachela anatakiwa kula mchemsho sio?
 
🤣🤣🤣🤣Kwahiyo bachela anatakiwa kula mchemsho sio?
Swali zuri chief...
kuwa bachelor sio lazima kula ovyo au kula migahawani kila siku.....
 
🤣🤣🤣🤣Kwahiyo bachela anatakiwa kula mchemsho sio?
mchemsho unachemshia wapi na jiko huna😂😂😂
yan unakuta bachela ana mwiko ndani sijui anatumia kuchomekea shati au
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…