Tuttie
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,263
- 1,304
👏👏 Bora weweBachela sugu nipo
Hapa nimetoka kazini nimepika Wali mchafu na nyama za kurosti toka kwenye friji
Hii ni mahesabu ya siku 2 yaani kesho kazi yangu ni kupasha tu viporo vya mboga na huu wali mchafu
Sipendi kula viporo Ila Sina namna [emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app