Wajinga wajinga hawaHivi Kuna watu bado mna nguvu ya kufuatilia ulipaji kodi? Nchi hopeless hili unajishughulisha na nini mkuu? Wacha nao wale kwa urefu wa kamba yao!
Kusajiriwa VAT ni mpk uwe umefika mauzo ya m200 kwa mwakaaMaduka mengi ya electronics kariakoo Hayana usajili wa VAT.
Ukionyesha msimamo, wanakwenda kuku chukulia "duka la pili"
Duka la pili=Muuzaji wa hizo efd risiti. Ndio kazi yake
Risiti yoyote ya TRA unayoi verify online lazima iwe na saa, dakika na sekunde. Hivi utaweka Kwa mfumo wa RisitiNumber_hhmmss. Mfano A284849D_170446 kumaanisha kua risiti yenye code A284849D iliyotolewa saa 11 jioni, dakika 04 na sekunde 46.Hivi karibuni kumeibuka Hoja nyingi juu ya uhalali wa Risiti za EFD, kwa sasa EFD ndio risiti maalumu ya Bidhaa kuuza na kununua popote pale Nchini. Lakini risiti hizi zina utata kutokana na uhalali wake.
View attachment 2779752
TRA wana tovuti ya kuhakiki risiti hizi za EFD ambayo ni TRA RISITI lakini asilimia 80% ya risiti ukijaribu kuzi-hakiki hazionekani kwenye mfumo wa TRA. hasahasa risiti za Mabasi ya Mikoni, risiti za bidhaa madukani(baadhi) risiti za huduma mbalimbali.
Je, huu ni ubadhirifu au upigaji pesa ambazo hazipo kwenye rekodi ya Mapato katik ataifa letu, kama risiti unayo na haipo TRA inamaanisha haijakatwa VAT na hivyo taifa linaingia hasara. tunaomba TRA Tanzania mtusaidie tupate uelewa zaidi kwenye issue hiii.
Mdau kama unarisiti ya EFD hapo ulipo angalie ilipoandikwa RECEIPT VERIFICATION CODE kisha ingia kwenye link hapo juu ya ku verify utupe screenshort inachokuambia
View attachment 2779753
Wajinga wajinga hawa
Unafatilia kodi kunehemesha familia za watuuu
Pyuuuuuu
Shangaa na wewe mkuu! Siwezi hata kupoteza muda wangu!+Wajinga wajinga hawa
Unafatilia kodi kunehemesha familia za watuuu
Pyuuuuuu
Kwa uwezo wa labanaHahaha jahazi litafika Kwa uwezo wa Rabuka..
Risiti yoyote ya TRA unayoi verify online lazima iwe na saa, dakika na sekunde. Hivi utaweka Kwa mfumo wa RisitiNumber_hhmmss. Mfano A284849D_170446 kumaanisha kua risiti yenye code A284849D iliyotolewa saa 11 jioni, dakika 04 na sekunde 46.
Kwenye picha uliyoweka hapa juu hujaweka hivyo vitu. Hapo hutopata verification kamwe, hata kama risiti ni halali.
Sio kila mauzo yanayofanywa yana VAT. VAT ni kwa wafanyabiashara wenye vigezo waliosajiliwa tu. Mtoa mada utakua umekaririshwa vibaya na wanasiasa wako kwamba kila risiti serikali inapiga helaHivi karibuni kumeibuka Hoja nyingi juu ya uhalali wa Risiti za EFD, kwa sasa EFD ndio risiti maalumu ya Bidhaa kuuza na kununua popote pale Nchini. Lakini risiti hizi zina utata kutokana na uhalali wake.
View attachment 2779752
TRA wana tovuti ya kuhakiki risiti hizi za EFD ambayo ni TRA RISITI lakini asilimia 80% ya risiti ukijaribu kuzi-hakiki hazionekani kwenye mfumo wa TRA. hasahasa risiti za Mabasi ya Mikoni, risiti za bidhaa madukani(baadhi) risiti za huduma mbalimbali.
Je, huu ni ubadhirifu au upigaji pesa ambazo hazipo kwenye rekodi ya Mapato katik ataifa letu, kama risiti unayo na haipo TRA inamaanisha haijakatwa VAT na hivyo taifa linaingia hasara. tunaomba TRA Tanzania mtusaidie tupate uelewa zaidi kwenye issue hiii.
Mdau kama unarisiti ya EFD hapo ulipo angalie ilipoandikwa RECEIPT VERIFICATION CODE kisha ingia kwenye link hapo juu ya ku verify utupe screenshort inachokuambia
View attachment 2779753
Umeshawahi kufanya biasharaPole sana kaka hapo kuna mtu kapiga 1M tayari
EFD za TRA ndio zina hiyo water mark, EFD za mashirika mengine hazihitaji hiyo watermarkAny EFD risiti yenye Nembo za TRA nyuma kama Watermark inapaswa kuwa halali ila sio halali
Hakuna mtu aliyempiga hapo, ila shida inakuja kama angeuziwa kwa full VAT asingeweza kununuaPole sana kaka hapo kuna mtu kapiga 1M tayari
Wewe nawe huelewi. Usichangie topic iliyokuzidi uwezo. Kua na EFD na mambo ya VAT ni vitu viwili tofauti.Sio kila mauzo yanayofanywa yana VAT. VAT ni kwa wafanyabiashara wenye vigezo waliosajiliwa tu. Mtoa mada utakua umekaririshwa vibaya na wanasiasa wako kwamba kila risiti serikali inapiga hela
Mkuu kuna kitu kinaitwa Z-Report, ni kama processing ya data from your device kwenda TRA. Ukiwa na EFD ambayo muuzaji haja "run" Z-Report basi EFD yako itakua haisomi TRA.Mkuu, system ya TRA ni kimeo. Wiki mbili zilizopita nilitakiwa kuverify risit za mafuta. Nilihangaika sana kuingiza hizo details (risiti namba na muda) muda mrefu bila mafanikio. Kwa mbinde sana nikafanikiwa kuverify risiti 1 kati ya 3.
Nay hiyo nilivoirudia tena ikagoma.
TRA Tanzania mna kazi ya kufanya kwenye mfumo wenu wa kuverify