kumbe mnachukia ubaguzi? nyie humu huwa hamuachi kuaneza chuki za udini na mtoa mada mnaona sawa....ona sasa zenji karibia 99 ni waislam lakini wakaona haiwezi tosha kujibagua wakagunduz kuwa kati ya hao waislam kuna machora na wazenji halisi.....ubaguzi mbaya mjifunzeCha kushangaza hao viongozi wote wa CCM karibia wote wake zao ni machotora na watoto wa ni machotora.
...
Tatizo lako wewe umeangalia athari ya ubaguzi kwenye siasa tu! Hilo ni dogo ndugu! Tatizo ni kubwa zaidi ya hapo mara elfu kumi!
Wanawajua na kuijua zanzibari vizuri wanafahamu.
Huu ni zaidi ya uzandiki ni fitina na ubaguzi uliopitiliza hawa wasifumbiwe macho kamata wote weka ndani haraka sana.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.
Akili yangu inanikatalia kabisa.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?
Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.
Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.
Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?
Machotara?
Nani huyu chotara?
Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!
Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?
CCM imefilisika kiasi hiki?
Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?
Nini khasa tafsiri ya mambo haya?
Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
I can't believe its u said this word. Kweli ccm are hypocritesCha kushangaza hao viongozi wote wa CCM karibia wote wake zao ni machotora na watoto wa ni machotora.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Picha hiyo hapo juu ni bango la Kikaburu katika mwaka wa 2016 bango linalotukuza ubaguzi wa rangi.
Sitaki kuamini kama Ali Mohamed Sheni na uongozi wa juu wa CCM Zanzibar wamewatuma vijana hawa kufanya haya.
Akili yangu inanikatalia kabisa.
Sitaki kuamini kuwa tumeanza kuwatengeza akina Hendrik Verwoerd na Eugene Terre Blanche weusi katika visiwa vya Zanzibar.
CCM Zanzibar inamuiga nani katika hili?
Hitler na Manazi walikuwa na vijana wao waliojulikana kama Stormtroopers ukipenda waite Brown Shirts?
Zanzibar tumeshawashuhudia Ton Ton Macout mfano wa wale wa Papa Doc wa Haiti visiwani wanajulikana kama Mazombie.
Sasa tumefungua ukurasa mwingine wa Adolf Eichman.
Hilo bango mbona litawagusa wengi katika safu ya uongozi wa siasa katika Zanzibar na wengine walipatapo hata kuiongoza nchi?
Machotara?
Nani huyu chotara?
Tumehama kwa Waarabu sasa tuko kwa Machotara!
Lakini huyo chotara si ana wajomba, babu, bibi na mama wakubwa na wadogo Waafrika?
CCM imefilisika kiasi hiki?
Nini hiki ni kiwewe cha CCM kushindwa uchaguzi au ni kitu gani?
Nini khasa tafsiri ya mambo haya?
Tusubiri In Sha Allah wakati utatupa jibu.
Kasema Mwalimu Nyerere karne ya ishirini na moja kuna watu wanapanda basi la ukabila...
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Kwa Neno Hili (MACHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI NCHI YA WAAFRIKA) kwa neno Hili CCM Zanzibar ni Wabaguzi kitendo hicho kinafaa kulaaniwa kinaleta Ubaguzi wa Rangi.
Vijana wa Chama cha Mapinduzi CCM wakipita mbele ya mgeni rasmi Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi pia Makamo Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dk.Ali Mohamed Shein alipokuwa akipokea matembezi ya Vijana hao waliotembea katika Mikoa Minee ya Kichama katika kuadhimisha miaka 52 ya Mapinduzi ya Zanzibar yaliyomalizia leo katika viwanja vya maisara Suleiman Mjini Unguja,[Picha na Ikulu.]
Hawa wanapanda jahazi la ugozi.
Wazinzabar wanaitwa wa Hizbu!?Kwa Neno Hili (MACHOTARA HIZBU ZANZIBAR NI NCHI YA WAAFRIKA) kwa neno Hili CCM Zanzibar ni Wabaguzi kitendo hicho kinafaa kulaaniwa kinaleta Ubaguzi wa Rangi.
Wazanzibar wanaoitwa hizbu ni wale Wazanzibar wenye asili ya Kiarabu waliozaliana na WaafrikaWazinzabar wanaitwa wa Hizbu!?
Mkuu kunakitu kinaitwa positive discrimination.Masopakyindi,
Unachanganya mambo.
Mimi nilipoandika mchango wa Waislam katika historia ya uhuru wa Tanganyika
sikufanya utafiti ule kwa kuwa nataka kumbagua mtu yoyote.
Napenda kukufahamisha kuwa kitabu changu kilifanyiwa mapitio na wasomi makini
katika historia ya Afrika kutoka Northwestern University, Cambridge na kwengineo.
Hakuna hata mmoja aliyenilaumu kwa udini.
Isizidi nimepewa kazi nyingi kufanya mojawapo ni kushirikishwa na mradi wa Harvard
na Oxford University Press kuandika Dictionary of African Biography (DAB).
Nawe usiwe mnafiki!Hujajadili hoja umejadili mtu rudi ujisahihishe ndipo uandike
Mm huwa nawatahadharisha sana ccm zanzibar,wakimaliza kuwapoteza machotara wa zanzibar kibao kitageuga na wa kutoka mrima hawatobaki salama zanzibar.Endapo maalim atatangazwa kuwa rais wa Zanzibar kauli hii itakuwa ya mbeba bango otherwise message sent indirectly and delivered