The Knowledge Seeker
JF-Expert Member
- Apr 13, 2019
- 3,418
- 5,028
Kumbe wewe ni mwivi wa huko supermarket? Za kubeba box hazikutoshi? Ndo mnautaka ubaguzi wenyewe.Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Ungesema unarudi Tu tukukaribishe ila sio kutuponda hivyo wamatumbi wenzio!Mzuka Wanajamvi,
Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.
Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.
White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.
Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.
Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.
Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.
Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.
Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.
Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.
Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.
Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Mbeba box una vituko imebidi nicheke tu !! semenya south ukaldayo bibliani wapi na wapi!Nini wewee Semenya wa Ukaldayo
Maghayo Kwa mzaliwa na kukulia Bongo; akaenda huko majuu na akawa na hulka ya kuingia katika mitandao yetu kama JF au kila siku kusoma magazeti ya udaku ya Tanzania; lazima atajisikia mpweke na atarudi tu. Kama ulivyosema lazima uwe na malengo. Kama unaenda kuchuma na kurudi au kama unataka ukaazi wa huko weka pamba masikioni tafuta toto la kizungu uoe maisha yasonge.
Ukiendekeza ubaguzi huwezi kufanya kitu maishani. Mbona hapa watu tunabaguana lakini tupo. Angali Wazanzibari wanavyobagua wenye vichogo ukienda kwao. Narudia kusema tusi si tusi mpaka mtusiwa aone ni tusi. Je, hapa JF si ukiwa si mpenzi wa Chadema unabaguliwa? Mbona hatukimbii tusiyoiabudu Chadema.
Achana na upuuzi wa kujishuku, mtu akisema waafrika wananuka, sema hewala mbona na wazungu wakiwa Afrika hunuka ile mbaya. Maisha yanasonga. Ukirudi utajuta kuzaliwa maana hapa bila kianzio ni mtihani mkubwa
Nimejipanga sijawahi kufanya kazi zisizo na heshima zinazofanya watu wabaguliwe kirahisi.
Sijakaa mitaa ambayo ina wabaguzi.
Sina tabia ya kushobokea watu nisiowajua na wasionijua wanipende. Ukiwa na tabia hii watu wanaweza kukubagua kwa sababu hawakujui tu, yani hata mweupe wasiyemjua watambagua, kwa sababu hawamjui, wewe ukaona wanakubagua kwa sababu mweusi.
Mimi ni mtu wa kufanya kazi zangu, kuishi maisha yangu, sina muda mwingi wa kubaguliwa.
Nimechagua kufanya kazi inayoheshimika watu ninaofanya nao kazi wananiheshimu.
Na siku wakionesha kutoniheshimu nina uwezo wa kuacha kazi mara moja kuendelea na biashara zangu au kufanya kazi nyingine.
Pia, sehemu nilipo kuna sheria kali dhidi ya ubaguzi, na ubaguzi unaonekana kuwa ni tusi kubwa.
Nina network ndefu ya highly trained and highly successful and supportive progressive black professionals ambao wanaweza kunishauri vizuri sehemu nitakapohitaji ushauri. Hivyo matatizo yangu siwezi kumpelekea mbaguzi anibague zaidi.
Watu wengine wanaweza kulalamika kubaguliwa, kumbe wao wenyewe ndio wana matatizo hawajawabagua wabaguzi vya kutosha.
Ukienda kuishi katikati ya neo-nazis lazima wakubague.
Ukifanya kazi za kupanga maboksi supermarket uwezekano wa kubaguliwa ni mkubwa.
Hata ukirudi Bongo, kama hujajipanga, utabaguliwa na wahindi na Waafrika wenzako.
Ingekuwa vyema uwashauri ni kazi gani za kufanya, je watafanya biashara bila kuwa na mtaji.Nimejipanga sijawahi kufanya kazi zisizo na heshima zinazofanya watu wabaguliwe kirahisi.
Sijakaa mitaa ambayo ina wabaguzi.
Sina tabia ya kushobokea watu nisiowajua na wasionijua wanipende. Ukiwa na tabia hii watu wanaweza kukubagua kwa sababu hawakujui tu, yani hata mweupe wasiyemjua watambagua, kwa sababu hawamjui, wewe ukaona wanakubagua kwa sababu mweusi.
Mimi ni mtu wa kufanya kazi zangu, kuishi maisha yangu, sina muda mwingi wa kubaguliwa.
Nimechagua kufanya kazi inayoheshimika watu ninaofanya nao kazi wananiheshimu.
Na siku wakionesha kutoniheshimu nina uwezo wa kuacha kazi mara moja kuendelea na biashara zangu au kufanya kazi nyingine.
Pia, sehemu nilipo kuna sheria kali dhidi ya ubaguzi, na ubaguzi unaonekana kuwa ni tusi kubwa.
Nina network ndefu ya highly trained and highly successful and supportive progressive black professionals ambao wanaweza kunishauri vizuri sehemu nitakapohitaji ushauri. Hivyo matatizo yangu siwezi kumpelekea mbaguzi anibague zaidi.
Watu wengine wanaweza kulalamika kubaguliwa, kumbe wao wenyewe ndio wana matatizo hawajawabagua wabaguzi vya kutosha.
Ukienda kuishi katikati ya neo-nazis lazima wakubague.
Ukifanya kazi za kupanga maboksi supermarket uwezekano wa kubaguliwa ni mkubwa.
Hata ukirudi Bongo, kama hujajipanga, utabaguliwa na wahindi na Waafrika wenzako.
Nani alikudanganya kwamba bangi inadanganya labda kama unasemea pombeHii JF usiiichukulie siriaz sana mpenzi. Waeza kuta jamaa yuko hapo Ngaramtoni anavuta bangi ya Tarime...., inamdanganya yuko pembeni ya white house anasikiliza hotuba ya Joe Biden
Hakuna nchi wananchi wake wanapenda foreigner afanikiwe...
Nenda Congo DRC..Zambia..Zimbabwe.South Africa ..nk..watakuchekea tu lakin