Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Naona mnachelewa sana kuwajua hao watu mimi toka mwaka 1998 naingia SA na kuzunguka Dunia kote huko niliona mambo ni yale yale nikaamua kwamba nitafute nitakachokipata ntarudi nacho bongo na maisha yataendelea kabla ya hapo nilizunguka nchi kibao kuona labda kutakua na unafuu na mazingira ya boxi za debeers na ubaguzi ulikuwapo kwa mbali mwaka 2003 tulipeleka oil lig Singapore kwa ajili ya matengenezo wafanyakazi kibao tukapewa likizo turudi ili iliwa ok twende tuendelee na kazi hapo uwanja wa ndege tuliona kituko wagonga passport walivaa barakoa eti watu weusi tuna harufu hii pia iliwahi kutokea Australia kwa kampuni moja Waafrika waligoma kugongewa kwa hizo mambo zipo toka enzi na enzi...fanya tafiti rudi bongo fanya kitu ambacho maisha yataenda na familia yako sio uje na story za mitaa ya Sweden tena...
Ulikua stolen way nini???


Kuhusu harufu hata wao wanazo sana tu tena mbaya mno nishajionea kule cabin crew
 
Ulikua stolen way nini???


Kuhusu harufu hata wao wanazo sana tu tena mbaya mno nishajionea kule cabin crew
Stolen way ndio nini? Mimi kampuni nilizofanya kazi za docks zilikua zinajali sana Wafanyakazi na tulikua tunaruhusiwa kusaini off nchi yyte na pia kufata meli yako popote sio Kama miaka ya sasa hivi...naenda SA naambiwa meli ipo uholanzi napewa tiketi na kuondoka au Brazil...
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Inaonekana tatizo kubwa ni wewe mwenyewe pia, kama unaweza kuwa na mentality ya kuja kuwabagaza wamatumbi wenzako na hela zako, ndio maana unaona kuwa huko unabaguliwa. Inferiority complex, wewe fanya kazi yako fanya mambo yako ukichoka rudi kwenu, achana na maisha ya watu.
 
Kabla hujabaguliwa hata kama ni kweli umebaguliwa lazima ubebe fikra za kubaguliwa. Baki ukifikiri huku nyumbani tunafanya mambo ya hovyo peke yake. Ukirudi uweze kushtuka vya kutosha
 
Semenya una mikwara dadadeeki zako, nishike mkono basi nami nisogee huko nikusaidie kubaguliwa.

Kati ya kubaguliwa na kurogwa bora nini?
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Nyie mliotoka Africa bado ni ma Nigro mambo ya kujiita Niggers nikujipa titles sio zenu mrudi nyumbani sasa,mama anafungua fursa kibao.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Mmatumbi kama Mmatumbi.
 
Mbona hata hapa Bongo kuna ubaguzi mwingi sana,kuna jamaa aliwahi kuweka uzi hapa miaka ya nyuma unaohusu wabongo kuzuiliwa kuingia mgahawa wa wachina.

Hivi hao kina Pogba,Lukaku...mbona hawalii kama nyie mnaoenda huko kutafuta pesa...au mnatoka na tabia zenu za kiswahili mnazipeleka huko halafu unakuja hapa kulialia ubaguzi.
Yule jamaa Kiranga mbona hajawahi kulialia ubaguzi na yeye kaamua kuhamia mazima huko majuu?
 
Lakini Watu weusi wengi ni wachafu wachafu, Wavivu, wezi, wana Majungu na maneno mengi

Hata maeneo mengi wanayokaa ni pachafupachafu tu
 
Acha kulia lia mkuu inabidi ukomae huko huko yani!
 
Mkuu upo sahihi. Lakini nadhani waswahili tuna shida ya attitude. Ukienda na akili ya maisha ya kibongo bongo lazima huko nje utafeli tuu. waAfrica wengi ambao nimekutana nao, kwanza tunapenda attention na recognition-tunapoyapatia maisha....

Mimi wakati naenda nje for the first time, nilijiwekea kichwani kwamba naenda kutafuta maisha. Maamuzi nimeyafanya mimi sikulazimishwa. Huwezi amini, kwa sababu mind yangu nili-iset, sijawahi kuhisi kwamba nabaguliwa kwa sababu ya ngozi yangu (na nimekaa some of the countries famous kwa ubaguzi both in North America and Europe). Hiyo attitude imenilinda mpaka leo.

Ukisikiliza media sana na story za vijiweni, utajikuta maisha unayachukia ghafla (kikubwa ni kutambua kwamba experience ya kila mtu ni tofauti). US kila mtu anajua kuna ubaguzi. SA, Germany, UK, France, kote huko ubaguzi upo. Lakini pia, ni nchi ambazo ukipambana utafanikiwa sana tuu. na wapo wengi ambao wamefanikiwa.

Siku zote nikiwa nje nilikuwa najiuliza, will I be better off nikirudi bongo? Jibu la hili swali lazima uwe nalo mda wote wa maisha yako. Kila nikikumbuka maisha niliyopitia kutafuta ajira baada ya degree ya UDSM? Nilikuwa njisemea hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!

I always consider my life experience in Europe and North America positively.

Leo nikikutana na kijana mdogo ananiomba ushauri wa kwenda nje kutafuta maisha..nitamwambia nenda! kikubwa kuwa na malengo na uende huko ukiwa bado na nguvu..siyo kwenda kuwa mzigo wa serikali na walipa kodi.

Ramani ya VISA ndugu yangu napambana sana
 
Wenzangu mlioko nchi ya Sweden, Norway na fin land mlifikaje huko ? Kwa mlioenda kwa utafutaji wa maisha
 
Ndio maana unaonekana boya huko ulipo, hizo kaz watu walizifanya miaka ya 90 hadi 2000 wewe umeenda huko kufanya saahiz...?
Ukirudi bongo unakuta ulio waacha wamekuzidi kiuchumi, unajikuta boya tena na vidola vyako vya kununua IST ulivyo rudi navyo...
 
Back
Top Bottom