Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Kama rudi numbani mkuu uje ule bata achana nao wanazingua sana
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Pole sana Nigga
 
Unaingia supermarket unasikia "look at those monkeys[emoji205]", una smile then unamwambia mshkaji "look at those pigs"...wanakasirika, una smile...unanunua bidhaa zako unasepa. Kwa sisi ma "last born" kukaa nje ni utumwa. My **yrs experience ni utumwa tu, home is better.
 
Mkuu upo sahihi. Lakini nadhani waswahili tuna shida ya attitude. Ukienda na akili ya maisha ya kibongo bongo lazima huko nje utafeli tuu. waAfrica wengi ambao nimekutana nao, kwanza tunapenda attention na recognition-tunapoyapatia maisha....

Mimi wakati naenda nje for the first time, nilijiwekea kichwani kwamba naenda kutafuta maisha. Maamuzi nimeyafanya mimi sikulazimishwa. Huwezi amini, kwa sababu mind yangu nili-iset, sijawahi kuhisi kwamba nabaguliwa kwa sababu ya ngozi yangu (na nimekaa some of the countries famous kwa ubaguzi both in North America and Europe). Hiyo attitude imenilinda mpaka leo.

Ukisikiliza media sana na story za vijiweni, utajikuta maisha unayachukia ghafla (kikubwa ni kutambua kwamba experience ya kila mtu ni tofauti). US kila mtu anajua kuna ubaguzi. SA, Germany, UK, France, kote huko ubaguzi upo. Lakini pia, ni nchi ambazo ukipambana utafanikiwa sana tuu. na wapo wengi ambao wamefanikiwa.

Siku zote nikiwa nje nilikuwa najiuliza, will I be better off nikirudi bongo? Jibu la hili swali lazima uwe nalo mda wote wa maisha yako. Kila nikikumbuka maisha niliyopitia kutafuta ajira baada ya degree ya UDSM? Nilikuwa njisemea hiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii!!!

I always consider my life experience in Europe and North America positively.

Leo nikikutana na kijana mdogo ananiomba ushauri wa kwenda nje kutafuta maisha..nitamwambia nenda! kikubwa kuwa na malengo na uende huko ukiwa bado na nguvu..siyo kwenda kuwa mzigo wa serikali na walipa kodi.
Upo sahihi mkuu mm wakati nafika SA kuna maeneo maandishi ya white only ndio walikua wametoa ila ukiangalia kwa ukaribu zaidi utaona maana ni maneno yaliyokua yamechimbwa kwenye chuma harafu nikutane na ubaguzi wa aina yeyote ile siwezi kushangaa anabaguliwa Samuel Eto wanamlipa mabillion na wanajua anaembagua Eto ni msaka nyoka tuu kisa mweupe nishangae mimi kubaguliwa kutakua kuna tatizo hapo...
 
Karibu chaka gumu aka kidimbwi...

ukija huku ujikaze usiwe laini laini vinginevyo utageuza haraka urudi ulipotoka..
maajabu sasa, hapa hapa Bongo kuna watu wameigeuza bongo kuwa Europe yaani wanaishi kweli sio masikhara....

La msingi usiwe mvivu, tia mimba dada zao uzalishe vya kutosha..mfano hapo mkiwa diaspora 100 wa kiume tunategemea kila mmoja kwa uchache aache mbegu 30... in total mkiondoka mtaacha vijana wetu 3000...nao wakifanya yao baada ya miaka kadhaa nusu ya population wanakuwa vijana wetu....
 
Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Hahaha...sasa kwa nini uibe?!!
 
Hii JF usiiichukulie siriaz sana mpenzi. Waeza kuta jamaa yuko hapo Ngaramtoni anavuta bangi ya Tarime...., inamdanganya yuko pembeni ya white house anasikiliza hotuba ya Joe Biden
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]acha ujinga baasi!!![emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Siyo kupenda wizi. Kuna makosa mengine ni ya kusamehe. Yani unaiba supermarket unadepotiwa hapana. Wizi supermarket kutukana iyo ni offence siyo crime.

Rape, murder, bodily arm, driving carelessly and causing accident hapo sawa deportation labda itahusika.
Unamdeporr mtu kwa commit offence kwa kuiba supermarket kweli iyo inaleta mantiki.?
Wizi ni wizi tu!hukumu ni hyooo!kwa nini uibe?!hakuna justification ya wizi hata ukiiba penseli ni mwizi!

Jifunze juishi kwa tararibu na sheria
 
Nimejipanga sijawahi kufanya kazi zisizo na heshima zinazofanya watu wabaguliwe kirahisi.

Sijakaa mitaa ambayo ina wabaguzi.

Sina tabia ya kushobokea watu nisiowajua na wasionijua wanipende. Ukiwa na tabia hii watu wanaweza kukubagua kwa sababu hawakujui tu, yani hata mweupe wasiyemjua watambagua, kwa sababu hawamjui, wewe ukaona wanakubagua kwa sababu mweusi.

Mimi ni mtu wa kufanya kazi zangu, kuishi maisha yangu, sina muda mwingi wa kubaguliwa.

Nimechagua kufanya kazi inayoheshimika watu ninaofanya nao kazi wananiheshimu.

Na siku wakionesha kutoniheshimu nina uwezo wa kuacha kazi mara moja kuendelea na biashara zangu au kufanya kazi nyingine.

Pia, sehemu nilipo kuna sheria kali dhidi ya ubaguzi, na ubaguzi unaonekana kuwa ni tusi kubwa.

Nina network ndefu ya highly trained and highly successful and supportive progressive black professionals ambao wanaweza kunishauri vizuri sehemu nitakapohitaji ushauri. Hivyo matatizo yangu siwezi kumpelekea mbaguzi anibague zaidi.

Watu wengine wanaweza kulalamika kubaguliwa, kumbe wao wenyewe ndio wana matatizo hawajawabagua wabaguzi vya kutosha.

Ukienda kuishi katikati ya neo-nazis lazima wakubague.

Ukifanya kazi za kupanga maboksi supermarket uwezekano wa kubaguliwa ni mkubwa.

Hata ukirudi Bongo, kama hujajipanga, utabaguliwa na wahindi na Waafrika wenzako.
Kiranga nimekupenda bure
 
Na huku wewe kama Sio Chama Changu, Dini yangu, Kabila langu au wewe ni mbara mimi Mzanzibar lazima takubagua tu..., Ule Upendo tuliokuwa tunajivunia Afrika nzima ndio tunamalizia kuuzika polepole
 
Komaa kijana,ubaguzi upo kila sehemu,wewe angalia kilichokupeleka,kila nchi kuna ubaguzi wa aina yake,ubaguzi ni ubaguzi tu sio lazima uwe wa skin colour,

Box tunakomaa nalo kama kawa tu,na ubaguzi tumeuzibia masikio,na week-end ni starehe kama zote.
 
Back
Top Bottom