Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Ubaguzi umezidi, hamu ya kurudi nyumbani inanijia kwa kasi

Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Wadosi wamejaa huko ni wabaguzi sana wanajiona nao wazungu
 
Ubaguzi ni sehemu ya maisha... Popote pale even Maji ya bahari ya chumvi na bahari ya maji matamu yakikutana hayaungamani yanabaguana... Ndege angani Yange yangu hawachanganyani na Tai au Mweme n.k mimea hivyo hivyo... Wanyama n.k Binadamu ndio kawaida sana... so hata wewe hapo unaasili ya ubaguzi... so CCM na Cuf and Chadema n.k hii ni Logic Vitabu vingi vinasema Waafrica ni Watumwa japo Waisrael na Mataifa mengi yashapitia utumwa kunyimwa haki za kibinadamu kama undugu n.k So unapoishi Tafuta nafuu tu uendelee na life yako jali zaidi ujira wako... na unachopata chochote shukuru na ukikosa shukuru na vumilia na usubirie... Umezaliwa uchi bila chochote.
 
Nimekomaa sana. Nilisema labda niiende kuishi English speaking countries kama Canada au Australia mambo ni yale yale tu. Chuki na ubaguzi naskia huko Canada ubaguzi umetawala. Licha ya kutaka wahamiaji lakini wana deport sana hata ukiiba supermarket.
Sasa ulitaka canada wapokee waizi
Si bora hata huko wanakudeport nje ya nchi yao

Huku kimara bonyokwa tunakudeport one way to sir god..
 
Kwa muda mchache niliokaa huko sikutamani kabisa maisha ya Ulaya. Unaingia dukani vitoto vinakushangaa vinakucheka vingine vinajaribu hata kukufinyakuona kama ni binadamu wa kawaida kweli. Baadhi ya maduka na restaurant ukiingia wanakuzuia kisa u r black. Maisha ya ulaya full stress sijui kwa nn watu wanakimbilia sana huko.
 
Bongo ukiiba supermarket unatolewa roho tu. Kama unaogopa deportation si uache udokozi tu basi bongo jiandae Kutolewa roho kabisa
 
UKITUA TU UWANJA WA NDEGE TUNAKUKAMATA KAMA MANJI...
 
Hii JF usiiichukulie siriaz sana mpenzi. Waeza kuta jamaa yuko hapo Ngaramtoni anavuta bangi ya Tarime...., inamdanganya yuko pembeni ya white house anasikiliza hotuba ya Joe Biden
Kwa hiyo hata Per Diem hayupo Norway? Kkkkk
 
Sikiliza moyo wako, ukirudi huku kuna changamoto za vipato kwa wengi, mifumo hafifu kuanzia serikali hadi jamii kiujumla, huduma duni za kijamii kama afya, maji, umeme, barabara, elimu, usafiri, jiandae kuvuta hewa iliyochanganyikana na vumbi na moshi wa magari mabovu yaliyojaa barabarani, mazingira machafu ikiwa ni pamoja na mitaro iliyoziba au inatiririsha maji machafu, bila kusahau ile sayansi yetu ya ulozi......unaweza kufika kesho yake ukakutwa umelazwa kwenye mnazi.
 
Safari hii wameshindwa kusingizia kwamba corona imetoka afrika. Wapuuzi sana hwa jamaa, wake zao wanazimikia wabeba boxes kwa sababu jamaa zao pini zao ni vibamia. Ovyo tu hao.
Hapo umechemka kuhusu mipini wapo wazungu wengi wamejaliwa, ungesema wachina, waarabu na wahindi ningekuelewa wengi vibamia, muulize mange kimambi anasema black wengi ni vibamia kuliko wazungu
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Haya yote unayosema tangu zamani yalikuwepo ulikuwa 'huyaoni' tu. Sasa hivi umri wako umesogea ndio maana unaanza kuangalia vitu kwa mtazamo tofauti. Utashangaa tu ghafla hata stress zinazidi na una-mind kila kitu kisa kafanya mzungu. Kama unaweza rudi nyumbani kama huwezi pambana na maisha hizo ni changamoto ndogo ndogo tu.
 
Haya yote unayosema tangu zamani yalikuwepo ulikuwa 'huyaoni' tu. Sasa hivi umri wako umesogea ndio maana unaanza kuangalia vitu kwa mtazamo tofauti. Utashangaa tu ghafla hata stress zinazidi na una-mind kila kitu kisa kafanya mzungu. Kama unaweza rudi nyumbani kama huwezi pambana na maisha hizo ni changamoto ndogo ndogo tu.
Unavyosema ni kweli. Siku za mwanzo mwanza nilikuwa na munkari ya kubeba boksi mbaya. Sasa hivi yani imenitoka. Nakumbuka nilimchekesha supervisor wangu nataka kusafisha mall yote pekee yangu na nilikuwa serious supervisor chekaa balaa
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Wewe ungependa Race yako iwe dominated na race nyingine kwa kigezo chochote kile??..
 
Kuna kipindi nilikuwa naendesha Counter balance maSkin heads watatu wakaleta za kuleta nikatembeza mkono wa haja na kazi wakafukuzwa daadek!

Wakaanza kunitafuta kwa lengo eti wanifinish off waliambulia kukimbia Club😁 wenyewe hii Dunia ni Mapambano
 
Kweli aloshiba hamjui mwenye njaa..hv wakikubagua wewe kitu gani kinamiss!!
Njoo basi tule mtori tu nyama tutazikuta chini! Ungekuwa mwanangu ningekuachia laana mbaafu🥵
Wangari Maathai kwa kweli hapo na mimi hawa vijana siwaelewi. Hivi kwa wengi wetu humu watoto wa wakulima....unapata luxury au courage wapi kufikiria the so called ubaguzi? hakuna popote maisha yalipo marahisi. Njoo bongo JPM alikuwa ana nanga watumishi wa umma....nikuteue halafu utangaze upinzani kwamba wameshinda? Imagine na huyo ni the so qualified mwajiriwa...

Ukiwa nje usiwe mzembe na ukatambua kilichokupeleka....utatoboa tuu. It might take sometime, but you will for sure. unless wewe ni compound fool!
 
Mzuka Wanajamvi,

Kuna ubaguzi wa hali ya juu hasa kwa sisi Ma-nigger.

Sasa hivi eti sisi wote tuna Corona hata ukivaa maski wanaziba pua.

White nationalist and far right wanaendeleza propaganda zao za chuki eti tume kuja kuchukua social money (what is rightful there's) na mademu zao wenye.

Ni chuki kwenda mbele wanajaribu kuficha lakini utaona kwenye nyuso zao na fake smile.

Hawapendi na wanachukia Nigger akitembea kitaa anafuraha inawauma sana. Furaha yao tuwe tu tegemezi.

Ukinunua gari kali inawauma wamejiwekea imani potofu nigger hawezi kutoka watakuchunguza umeinunua kihalali? Na sasa hivi nampango kwa kujijitutuumua nichukue gari kali heshima iwepo.

Hawapendi kukuona smart, handsome na uko focused. Sehemu za kubeba box ni chuki kwenda mbele hasa mademu zao wanapovutiwa na wewe.

Vizingiti ni vingi kwa nigger tunaviruka sana lakini ni wakati sasa wa kurudi nyumbani.

Licha ya nyumbani kuna utopolo na mambo ya ajabu ajabu na ya kipuuz lakini Afadhali huko karibu na watu wako unaofanana nao, unaoongea nao lugha a moja mnafurahi japo wengi ni mitambo ya umbea majungu, hila, ghilba wivu lakini Uzuri nigger mwenzako unaweza kumcontrol tu vizuri na vijisenti vyako vya box ulivyorudi navyo ukivichenji nigger unamuwini tu kisaikolojia kiulaini.

Mmatumbi ni muoga sana ana nguvu mdomoni. Hajui kucheza na saikolojia kama mzungu. Mzungu anakuumiza kisaikolojia hadi unajichukia kwa sheria na policies zake. Mzungu ni mtu hatari sana kucheza na akili na mtu ambaye anauwezo wa kumwin kisaikolojia wengine ni hatari sana.

Nyumbani ni nyumbani tu licha ya wamatumbi wenzako kuwa wasumbufu kwa mambo ya hovyo hovyo wakining'iniza poumbou vibarazani na vijiwe vya umbea unaweza tu kuwa contain kwa ku create fear na hela zako za boksi na ma mikwara kibao.
Mzuka Mwana!
Rudi nyumbani, kumenoga! Mzazi anatupeleka pazuri.
 
Back
Top Bottom