Ubaguzi wa serikali kwa watu wake haukubaliki.Na pia baina ya watu na watu halikubaliki.Ila la watu na watu ni jambo la kusadikika.Kila nchi mara nyingi lipo.Mfano kanda ya ziwa labda na pande za kusini ama wachaga na makabila mengine .Ila haihalalishi Raisi Magufuli serikali yake ifanye upendeleo.Vivyo hivyo kwa nchi nyengine ubaguzi wa watu kwa watu ama kabila kwa kabila hailalishi na serikali iwe hivyo.Kwaiyo ubaguzi au sio ubaguzi mkuu?
Syria unaenda kutafuta jiko ?Sawa! Ngoja nikaangalia situation report kule Syria halafu nitakupa mrejesho [emoji124]
Kwani hujasikia ust Trump karusha mawe Syria?Syria unaenda kutafuta jiko ?
Nilifikiri trump kakupelekea jiko huko Syria ,yale majiko yanayofanya kazi za kirohoKwani hujasikia ust Trump karusha mawe Syria?View attachment 744358
Kwani hujasikia ust Trump karusha mawe Syria?View attachment 744358
Unarudi kule kule kwenye spirit ya ubaguzi. Unataka kuniambia mambo anayoyafanya Shein hao waunguja hawakubaliani nayo?.Huwezi kuadhibu kwa dhambi mwengine.
Unaujua mchakato wa urais Zanzibar unakwendaje????Basi kama hujui Raisi wa Zanzibar hupatikana Dodoma na CCM wa Zanzibar hata wamkatae huku kwao ila Dodoma ndio wanaompitisha so hicho si kigezo.
Ucha ujinga wa Kipemba wewe. Tatizo lenu mnakimbia kwenu mnakazana kuishi nchi za watu.Tunazungumzia ubaguzi wa SMZ kwenye ajira.
Si Afadhali yake yeye ana kwao wewe umo Tu hata kwenu hukujui umekuwa ni kizazi cha mbio za mwengeUcha ujinga wa Kipemba wewe. Tatizo lenu mnakimbia kwenu mnakazana kuishi nchi za watu.
Kwema lakini hau? Muda unaenda hau jisalimishe kwa Yesu Akunusuru na moto [emoji117] dogo wanguView attachment 744289View attachment 744293
Kwema lakini hau? Muda unaenda hau jisalimishe kwa Yesu Akunusuru na moto [emoji117] dogo wanguView attachment 744289View attachment 744293
Umejuaje kama sina kwetu .. mwehu kweli wewe.Si Afadhali yake yeye ana kwao wewe umo Tu hata kwenu hukujui umekuwa ni kizazi cha mbio za mwenge
Ucha ujinga wa Kipemba wewe. Tatizo lenu mnakimbia kwenu mnakazana kuishi nchi za watu.
Ubaguzi uko wapi apo ...mimi sijaona hoja ya kujadili upupu mtupuSijaona mtu yoyote aliyejaribu kuchallenge hoja. Jibu hoja acha ubaguzi.
Umejuaje kama sina kwetu .. mwehu kweli wewe.
Unajua Yesu aliongea kihivyo wakti gani [emoji45] [emoji4] ktk hali yake ya Ubinadamu Kamili au Uungu Kamili[emoji45] Tatizo lugha Imani ya Wakristo wewe ni giza Nene [emoji38] [emoji38] [emoji38]
Ubishi umezaliwa nao eeh [emoji15] [emoji38] hii ayat mbona hujathubutu ukiweka?¿ nitakuweke personal profile ya Mzee mzima ambaye mmeagizwa na allah mumgeze [emoji4]
Ubishi umezaliwa nao eeh [emoji15] [emoji38] hii ayat mbona hujathubutu ukiweka?¿ nitakuweke personal profile ya Mzee mzima ambaye mmeagizwa na allah mumgeze [emoji4] View attachment 749926
Unajua Yesu aliongea kihivyo wakti gani [emoji45] [emoji4] ktk hali yake ya Ubinadamu Kamili au Uungu Kamili[emoji45] Tatizo lugha Imani ya Wakristo wewe ni giza Nene [emoji38] [emoji38] [emoji38]