Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Mbona sisi wengine tulioa huko Pemba hata kabla mapinduzi na hatujafanyiwa ubaguzi wowote ???

Mbona vijana wengi wameondoka kwa kubaguliwa baada ya kukoseshwa masomo kwa sababu ya kabila zao ?? Haya yametokea baada ya mavamizi.

watoto wangu waliozaliwa Pemba , ili wapate elimu ya juu imebidi tuwabadilishe vyeti , tuandike wametoka Unguja , haya ni ni hivi karibuni kwani wenzao wamekoseshwa nafasi za masomo waliokuwa na vyeti vya kuzaliwa vya Unguja .

Hamwoni kuwa mnafuata sera ya kanisa katoliki ???
Kwa mfano wewe mbara nataka kuoa mwanamke Mpemba familia mzima ya kipemba wanakubagua,hamchangamani na sio wapemba wenzenu.

Utakataa kwamba hamna ubaguzi?
 
Kwa mfano wewe mbara nataka kuoa mwanamke Mpemba familia mzima ya kipemba wanakubagua,hamchangamani na sio wapemba wenzenu.

Utakataa kwamba hamna ubaguzi?


of course ikiwa wewe mgalatia hata siku moja huwezi kupewa mke, dini hairuhusu
 
of course ikiwa wewe mgalatia hata siku moja huwezi kupewa mke, dini hairuhusu
Waislamu kabisa tena ukilazimisha mwanamke anatengwa ipo sana hiyo na nime experience sio mara moja.
 
hata tukikukubalia manenoyako unayoyasema niyakweli, lakini fahamu kuwa Ubaguzi hauondoshwi kwa ubaguzi.
Ya ni kweli ubaguzi hauondoshwi kwa ubaguzi lakini uwezi ukakemea ubaguzi wakati wewe mwenyewe ni mbaguzi mkubwa.

Kama upendi kubaguliwa usipende kubagua pia mkuu.
 
Waislamu kabisa tena ukilazimisha mwanamke anatengwa ipo sana hiyo na nime experience sio mara moja.

Sasa unatoka huko Makutupora na hamu zako kama vile unaenda kariakoo kutafuta bidhaa , hivyo katu hata mimi siwezi kukupa mke. Hata mimi siwezi kutoka zangu huku Zanzibar nikaenda Moshi eti nataka kuoa hakuna atayenikubalia.

Kwanza ukae watu wakujue tabia zako , uelewane na watu vizuri baadaye unaweza ukapata mke. Hata mimi sikuvumka tu Unguja nikaenda kuoa Pemba , watu wasingalinipa mke. Isipokuwa nilikwenda kufanya kazi waku wakanijua tabia zangu , hata kabla sijatamka wenyewe wakaniomba nioe na huyo msichana nikahakikisha ni mtu aatayenifaa.

Hizi ndio desturi na wala si ubaguzi
 
Sasa unatoka huko Makutupora na hamu zako kama vile unaenda kariakoo kutafuta bidhaa , hivyo katu hata mimi siwezi kukupa mke. Hata mimi siwezi kutoka zangu huku Zanzibar nikaenda Moshi eti nataka kuoa hakuna atayenikubalia.

Kwanza ukae watu wakujue tabia zako , uelewane na watu vizuri baadaye unaweza ukapata mke. Hata mimi sikuvumka tu Unguja nikaenda kuoa Pemba , watu wasingalinipa mke. Isipokuwa nilikwenda kufanya kazi waku wakanijua tabia zangu , hata kabla sijatamka wenyewe wakaniomba nioe na huyo msichana nikahakikisha ni mtu aatayenifaa.

Hizi ndio desturi na wala si ubaguzi
[emoji1] [emoji1] mbona binafsi nimeoa kule Kenya mbajuni dizaini ya hao wapemba sijachunguzwa wala kubaguliwa mkuu. Ila wapemba wabaguzi sana mkuu
 
Unafikiri hujulikani ??? 😛😛

Hujauwacha ugalatia ??? ukafuata ukweli ??
Kwema lakini hau? Muda unaenda hau jisalimishe kwa Yesu Akunusuru na moto [emoji117] dogo wangu
john14v6_large.jpg
19-surah-maryam-mary-72-728.jpg
 
Walewaleeee!!!! unashanga ya Donald Trump nakutuma vimeseji BBC na DW yakwenu hamsemi. Unaachakushaangaa ya Tanganyika unashaangaa ya Zbar! Kwani ulivaa miwani ya kioo cha gari habari ya mkurugenzi mteule kupigwa chini kwa sababu ya tuhuma ya uanachama wa ACT. Tanzania hata katoto kakizaliwa kanakuwa kamesharithi unafiki wa wazazi wake.
 
[emoji1] [emoji1] mbona binafsi nimeoa kule Kenya mbajuni dizaini ya hao wapemba sijachunguzwa wala kubaguliwa mkuu. Ila wapemba wabaguzi sana mkuu

Watu wako tofauti na desturi zao ziko tofauti

Wewe sidhani kama ulikaa sana Pemba , kwani ninawajua watu wengi walioowa Pemba wala hawajabaguliwa. Pengine tabia zako hazikuwa nzuri huko Pemba lakini baadaye ukajirekebisha ulipofika Kenya , who knows??
 
Sasa unatoka huko Makutupora na hamu zako kama vile unaenda kariakoo kutafuta bidhaa , hivyo katu hata mimi siwezi kukupa mke. Hata mimi siwezi kutoka zangu huku Zanzibar nikaenda Moshi eti nataka kuoa hakuna atayenikubalia.

Kwanza ukae watu wakujue tabia zako , uelewane na watu vizuri baadaye unaweza ukapata mke. Hata mimi sikuvumka tu Unguja nikaenda kuoa Pemba , watu wasingalinipa mke. Isipokuwa nilikwenda kufanya kazi waku wakanijua tabia zangu , hata kabla sijatamka wenyewe wakaniomba nioe na huyo msichana nikahakikisha ni mtu aatayenifaa.

Hizi ndio desturi na wala si ubaguzi
Nitafute jiko huko mukulu!
 
1. JEE PALE ALIPOMSALITI MZEE JUMBE KWA MWALIMU NA KUTOBOA MIKAKATI YAO[ NA YEYE AKIWEMO NA BAADA YA PALE MZEE JUMBE AKAONDOLEWA, MAALIM ALIKUWA KIBARAKA WA NANI???
2. JEE WAKATI ULE ALIPOKUWA WAZIRI KIONGOZI CHINI RASI IDRIS ABDULWAKI[BAADA YA FITNA ZAKE DHIDI YA JUMBE] AMBAPO ALIMFANYIA INDA ZAKUTOSHA MZEE WA WATU NA PALE ALIPOANZA PEMBANAIZESHENI ALIKUWA KIBARAKA WA NANI?
DHAMBI ZA USALITI ZINAMUANDAMA NA HANA NAMNA YA KUKWEPA HILI [MUULIZENI HAMAD RASHID AWAAMBIENI KWA UNDANI KUHUSU HUYU MHESHIMIWA
USHABIKI USIO NA MANTIKI HAUNA MAANA.

Tatizo kubwa wa mashabiki wa CCM Unguja. Wakiambiwa ukweli wao wanamrukia seif. Sasa hapa seif kahusika wapi? SMZ inabagua wapemba bado nyie mna seif.

Aliesema hakukosea, Kada wa CCM Zanzibar ni zaidi ya Mwanga.
Wamejaa chuki, choyo, ubaguzi, Husda ndani ya nyoyo zao.
 
Watu wako tofauti na desturi zao ziko tofauti

Wewe sidhani kama ulikaa sana Pemba , kwani ninawajua watu wengi walioowa Pemba wala hawajabaguliwa. Pengine tabia zako hazikuwa nzuri huko Pemba lakini baadaye ukajirekebisha ulipofika Kenya , who knows??
Hapana wachache sana wanaoa uko pemba mkuu.
 
Kwa mfano wewe mbara nataka kuoa mwanamke Mpemba familia mzima ya kipemba wanakubagua,hamchangamani na sio wapemba wenzenu.

Utakataa kwamba hamna ubaguzi?
Fahamu linalofanywa hapa si la mtu na mtu ni serikali na watu.Kwa namna yeyote ile serikali haitakiwi kufanya ubaguzi.
 
Back
Top Bottom