Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Tetesi: Ubaguzi wa ajira kwenye Serikali ya Mapinduzi Zanzibar

Wewe ni mtoto mdogo ??? Sisi tulikuwepo Uwanja wa Amani na pia tulimsikia Jumbe akitutangazia ushindi wa uvamizi 1964 wakati tukipelekwa pale Skuli ya Rahaleo na wazee wetu.

Hiyo nukuu yako ni wapi Jumbe alimtaja Maalim kuwa ni msaliti ?? au kiswahili kinakupiga chenga

Usihukumu au nawe utahukumiwa

Laana itakuwa wanayo wanyonge ambao wanaikataa CCM kwa njia ya kidemokrasia na Amani nyinyi CCM mkisaidiwa na Wavamizi wa Kikatoliki kutoka Dodoma mkalitumia jeshi kufuta uchaguzi

Nani mwenye kulaaniwa , watu ndio wanapigwa marisasi kwenye viunga vya bunge , wengine wanasafiri na mabasi risasi zinawauwa kama mvua na wengine wanapotea na wengine wanaokotwa coco beach , hivi nani asiye laana ???
INAWEZEKANA MIMI NIKAWA MTOTO MDOGO SANA LAKINI TWENDE KWA HOJA TAFUTA KITABU CHA SHEIKH JUMBE KIITWACHO The Partner-ship: Tanganyika-Zanzibar Union 30 Turbulent Years. Kuhusu Maalim kutajwa kwenye kitabu hicho ni kweli hakutajwa lakini kwenye kadhia hiyo mwisho wa siku aliyenufaika alikuwa ni Maalim Seif na kwa bahati mbaya alipoomba nafasi ya urais, mwalimu alimwambia kuwa alikuwa badao hajaiva [kama vile alivyomwambia JK wakati wa kinyang'anyiro cha kumrithi mzee mwinyi. Tatizo la Maalim ni kwamba alikuwa na pupa mno na alifanya wajumbe wa zanzibar ambao kwa kawaida hupiga kura za 'block voting' kumkataa na kumpendelea mzee Iddris.
 
Ubaguzi ubaguzi tu. Ndio nawaambia muanze kujisafisha ili kitu ubaguzi lisiwepo kabisa.

Umeandika tetesi unaamanisha nini?

Na usipotaka kubaguliwa na wewe usiwe mbaguzi.

Weye ni mbaguzi. Na ndomana ukawa naroho ya chuki.
 
INAWEZEKANA MIMI NIKAWA MTOTO MDOGO SANA LAKINI TWENDE KWA HOJA TAFUTA KITABU CHA SHEIKH JUMBE KIITWACHO The Partner-ship: Tanganyika-Zanzibar Union 30 Turbulent Years. Kuhusu Maalim kutajwa kwenye kitabu hicho ni kweli hakutajwa lakini kwenye kadhia hiyo mwisho wa siku aliyenufaika alikuwa ni Maalim Seif na kwa bahati mbaya alipoomba nafasi ya urais, mwalimu alimwambia kuwa alikuwa badao hajaiva [kama vile alivyomwambia JK wakati wa kinyang'anyiro cha kumrithi mzee mwinyi. Tatizo la Maalim ni kwamba alikuwa na pupa mno na alifanya wajumbe wa zanzibar ambao kwa kawaida hupiga kura za 'block voting' kumkataa na kumpendelea mzee Iddris.

Kitabu mbona ninacho zamani sana !!!Tatizo sio maalim , tatizo Lilianza tokea 1964 pale wale waliokaribishwa na serikali iliyokuwepo na Kwa kuwasaidia ndugu zetu maisha ,wakatugeuka wakamwona Laanatullahi Nyerere ndiye MTU , wakaenda kushirikiana naye na wakaja kuuwa watu Kwa maalfu. Makosa hayohayo mnayarudiaa Kwa hizi fitna unazotumiwa hapa na hao waliokubali kuwaomba wavamizi walete majeshi kuja kupindua matakwa ya Wazanzibari Kwa kuufuta uchaguzi
 
Mtihani mwengine ukisema ujaribu upande wa sekta binafsi huko unakuta kama si mtanganyika utapata shida kupindukia .Maofisa ajira maana ndo wanatoka huko tanganyika.Basi wapemba imekua hawana option zaidi ya kuumia na hawajui wafanyeje.Ukweli GSO ipo na lengo lake mahsusi ni kuhakikisha mtu mwenye nasabu ya Pemba hatoboi wala mwenye kushabihiana na wapinzani iwe rafiki yako au jamaa yako.
Nashukuru sana leo umelisemea ila hili linahitaji nguvu kubwa sana kukemewa.Bahati mbaya sana hatuna watetezi.Ni muda sasa kueka siasa pembeni maana inaonekana inatuasithiri mno
 
Kitabu mbona ninacho zamani sana !!!Tatizo sio maalim , tatizo Lilianza tokea 1964 pale wale waliokaribishwa na serikali iliyokuwepo na Kwa kuwasaidia ndugu zetu maisha ,wakatugeuka wakamwona Laanatullahi Nyerere ndiye MTU , wakaenda kushirikiana naye na wakaja kuuwa watu Kwa maalfu. Makosa hayohayo mnayarudiaa Kwa hizi fitna unazotumiwa hapa na hao waliokubali kuwaomba wavamizi walete majeshi kuja kupindua matakwa ya Wazanzibari Kwa kuufuta uchaguzi
Mwaka wa 1964 Maalim alikuwa wapi? nani aliyemdhamini kwenye UDSM? Jee alivyorudi masomoni alikosa kazi kwa vile yeye ni mpemba????? Kwa bahati nzuri baada ya mapinduzi marehemu Karume aliwahamasisha wapemba na waunguja kuoana na wengi walifanya hivyo sasa huo ubaguzi ulitokea wapi????? Kuhusu usaliti kwa Jumbe hiyo siyo siri na mara kadhaa yeye mwenyewe amekuwa akikana lakini ukweli unajulikana kuwa yeye ndiye aliyefanya mambo ya Ujuda wa eskariot na mwisho wa siku dhambi yake haishi kutafuna na ukweli ndiyo huo inawezekana usikubaliane name lakini mwisho wa siku utajulikana tuu.
 
Wacha unafiki huo wewe. yaani kila siku unaleta habari za kizushi hata aibu huoni.. Naweza kusema ajira za SMZ wanofaidika nazo wapemba. kwani ajira zote zinazotoka Pemba basi kama wazee wako wanatoka Unguja huwezi kupata hata uwe CCM lakini wao wapemba ajira za Unguja sehemu yeyote ya Unguja wanaomba hizo ajira.. Kama ubaguzi haukuanza leo musisi wa ubaguzi huo seif Sharif wakati alipokuwa waziri wa Elimu na waziri kiongozi kwa pale alidhihirisha chuki zake za wazi kwa watu wa Unguja.

Hakuna watu wabaguzi dunia hii kama Wapemba na Mission yao kubwa sana umuona mtu wa Unguja yuko chini na hafanikiwi hilo la kuitetea zanzibar ni ujanja wa kuwahadaa watu wachache wa unguja kutokujua nini kiko kenye nyoyo zao. lakini waunguja wengi wanaanza kutambua hayo. kwa hivyo wacha kueneza propaganda za kipuuzi
Nyinyi ni katika hao wanaoitwa GSO muna chu
Wacha unafiki huo wewe. yaani kila siku unaleta habari za kizushi hata aibu huoni.. Naweza kusema ajira za SMZ wanofaidika nazo wapemba. kwani ajira zote zinazotoka Pemba basi kama wazee wako wanatoka Unguja huwezi kupata hata uwe CCM lakini wao wapemba ajira za Unguja sehemu yeyote ya Unguja wanaomba hizo ajira.. Kama ubaguzi haukuanza leo musisi wa ubaguzi huo seif Sharif wakati alipokuwa waziri wa Elimu na waziri kiongozi kwa pale alidhihirisha chuki zake za wazi kwa watu wa Unguja.

Hakuna watu wabaguzi dunia hii kama Wapemba na Mission yao kubwa sana umuona mtu wa Unguja yuko chini na hafanikiwi hilo la kuitetea zanzibar ni ujanja wa kuwahadaa watu wachache wa unguja kutokujua nini kiko kenye nyoyo zao. lakini waunguja wengi wanaanza kutambua hayo. kwa hivyo wacha kueneza propaganda za kipuuzi
Na hii ndio dhihaka yenu kwa wapemba.Pemba hakuna serikali lazima ufahamu.Serikali kuu ipo Unguja na ndio wenye kuamua nani tumuajiri.Na mara nyingi watu wa unguja hawapendi kuajiriwa pemba ila kama wanataka serikali hii haijashindwa kabisa kuwapeleka kule na hakuna hata mtu mmoja atakae wazuia.Na ukweli wanaotaka wanapelekwa mbona.
 
Mwaka wa 1964 Maalim alikuwa wapi? nani aliyemdhamini kwenye UDSM? Jee alivyorudi masomoni alikosa kazi kwa vile yeye ni mpemba????? Kwa bahati nzuri baada ya mapinduzi marehemu Karume aliwahamasisha wapemba na waunguja kuoana na wengi walifanya hivyo sasa huo ubaguzi ulitokea wapi????? Kuhusu usaliti kwa Jumbe hiyo siyo siri na mara kadhaa yeye mwenyewe amekuwa akikana lakini ukweli unajulikana kuwa yeye ndiye aliyefanya mambo ya Ujuda wa eskariot na mwisho wa siku dhambi yake haishi kutafuna na ukweli ndiyo huo inawezekana usikubaliane name lakini mwisho wa siku utajulikana tuu.

Wewe ulikuwa ukiishi naye Maalim mwaka 1964 ???

Tizama unavyodanganya , Karume eti alihamasisha watu waoe , Hivi wewe ni muislamu au huna dini ???

Yaani watu wamekwenda kwa mzee wa kiarabu usiku wa manane na maaskari wenye bunduki na kumlazimisha mzee amtoe binti yake aolewe kwa mtutu wa bunduki ndio unaita hamasa alizohimiza Karume??? ,

Hivi wewe unajua watu walianza kuoana baina ya makabila zamani sana.

Huyo mfalme unajua ni kizazi cha nani ???

huyo karume na mke wake wa mwanzo walioana baada uvamizi ??

Usaliti wa Jumbe ni fitna hiyo , Maalim hakuwa secretary wa Jumbe , wala Jumbe asingalishindwa kusema kuwa kasalitiwa na Maalim.

Usijifanye wewe ni msemaji wa Jumbe , hao waliomwandikia hicho kitabu Partnership na ambao walikuwa hawaondoki kwa huyo Jumbe mimi nawasiliana nao mara nyingi na sijawasikia hata siku moja kusema fitna hizi unazotuletea .

Nyinyi mlioivuruga nchi na kuuwa watu bado mngali mnashirikiana na wavamizi kuvuruga demokrasia Zanzibar kwa visingizio vya Maalim,

Kama watu wanamwona Maalim ni msaliti wasingalimpa kura , au nyinyi mnaumia zaidi kuliko Maelfu ya waliompa kura zao ???

Kwa nini mnashirikiana na wavamizi wa kikatoliki kuufuta uchaguzi ???
 
HAYA MAMBO MBONA MNAYASEMA LEO WAKATI MUANZILISHI WA MAMBO HAYO NI SHEIKH SEIF SHARIF HAMAD .
Baada ya mapinduzi kulikuwa hakuna huyu mpemba na huyu muunguja na ndiyo maana hata scholarships za elimu ya juu vijana wengi wa kipemba na unguja walinufaika. Wakati Sheikh Seif aliposhika madaraka ya kuwa Cheif Minister wa SMZ pamoja na ujumbe wa CC, Alianza mkakati wa kuhakikisha vijana toka pemba wanaajiriwa na kupewa madaraka bila kuwepo na uwiano na wenzao. Baadaye ndipo ilipojulikana kuwa bwana huyu alikuwa anatengeneza mfumo ndani ya mfumo rasmi ili kutekeleza azma yake ya kuutaka urais wa zanzibar. Sasa leo kilio hiki ni cha nini?
SIKU ZOTE DHAMBI INA MALIPO YAKE NA HAPA KAMA KWELI SUALA HILI LIPO SMZ BASI MWENYE KUBEBA ZIGO HILI NI SEIF SHARIF.
MTENDA AKITENDEWA SIKU ZOTE HUHISI KUWA ANAONEWA.
Huwezi kuadhibu kwa dhambi mwengine.
 
Nimeshaeleza ubaguzi wao humu na sio mimi tu wapo wengi wamechangia. Jaribu kuperuz


Mbona sisi wengine tulioa huko Pemba hata kabla mapinduzi na hatujafanyiwa ubaguzi wowote ???

Mbona vijana wengi wameondoka kwa kubaguliwa baada ya kukoseshwa masomo kwa sababu ya kabila zao ?? Haya yametokea baada ya mavamizi.

watoto wangu waliozaliwa Pemba , ili wapate elimu ya juu imebidi tuwabadilishe vyeti , tuandike wametoka Unguja , haya ni ni hivi karibuni kwani wenzao wamekoseshwa nafasi za masomo waliokuwa na vyeti vya kuzaliwa vya pemba

Hamwoni kuwa mnafuata sera ya kanisa katoliki ???
 
Wewe ulikuwa ukiishi naye Maalim mwaka 1964 ???

Tizama unavyodanganya , Karume eti alihamasisha watu waoe , Hivi wewe ni muislamu au huna dini ???

Yaani watu wamekwenda kwa mzee wa kiarabu usiku wa manane na maaskari wenye bunduki na kumlazimisha mzee amtoe binti yake aolewe kwa mtutu wa bunduki ndio unaita hamasa alizohimiza Karume??? ,

Hivi wewe unajua watu walianza kuoana baina ya makabila zamani sana.

Huyo mfalme unajua ni kizazi cha nani ???

huyo karume na mke wake wa mwanzo walioana baada uvamizi ??

Usaliti wa Jumbe ni fitna hiyo , Maalim hakuwa secretary wa Jumbe , wala Jumbe asingalishindwa kusema kuwa kasalitiwa na Jumbe.

Usijifanye wewe ni msemaji wa Jumbe , hao waliomwandikia hicho kitabu Partnership na ambao walikuwa hawaondoki kwa huyo Jumbe mimi nawasiliana nao mara nyingi na sijawasikia hata siku moja kusema fitna hizi unazotuletea .

Nyinyi mlioivuruga nchi na kuuwa watu bado mngali mnashirikiana na wavamizi kuvuruga demokrasia Zanzibar kwa visingizio vya Maalim,

Kama watu wanamwona Maalim ni msaliti wasingalimpa kura , au nyinyi mnaumia zaidi kuliko Maelfu ya waliompa kura zao ???

Kwa nini mnashirikiana na wavamizi wa kikatoliki kuufuta uchaguzi ???
Nadhani niliandika kuwa kwenye kile kitabu cha marehemu hakuwahi kumtaja Maalim ila baada ile kadhia ya Dodoma ambapo iliishia kwa marehemu Jumbe kujiuzulu, Maalim ndiye aliye kuwa mnufaika mkuu baada ya kadhia hiyo.
Pengine ungejaribu kuwauliza viongozi toka zanzibar ambao walikuwepo kwenye vikao hivyo na bado wako hai watakwambia ukweli.
 
Mbona sisi wengine tulioa huko Pemba hata kabla mapinduzi na hatujafanyiwa ubaguzi wowote ???

Mbona vijana wengi wameondoka kwa kubaguliwa baada ya kukoseshwa masomo kwa sababu ya kabila zao ?? Haya yametokea baada ya mavamizi.

watoto wangu waliozaliwa Pemba , ili wapate elimu ya juu imebidi tuwabadilishe vyeti , tuandike wametoka Unguja , haya ni ni hivi karibuni kwani wenzao wamekoseshwa nafasi za masomo waliokuwa na vyeti vya kuzaliwa vya Unguja .

Hamwoni kuwa mnafuata sera ya kanisa katoliki ???
[emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Huwezi kuadhibu kwa dhambi mwengine.
Lakini rais wa Zanzibar ni mwenyeji wa Pemba. Nadhani hii taarifa chanzo chake sio cha uhakika, ni tetesi tu.
Unaujua mchakato wa urais Zanzibar unakwendaje????Basi kama hujui Raisi wa Zanzibar hupatikana Dodoma na CCM wa Zanzibar hata wamkatae huku kwao ila Dodoma ndio wanaompitisha so hicho si kigezo.
 
Mbona sisi wengine tulioa huko Pemba hata kabla mapinduzi na hatujafanyiwa ubaguzi wowote ???

Mbona vijana wengi wameondoka kwa kubaguliwa baada ya kukoseshwa masomo kwa sababu ya kabila zao ?? Haya yametokea baada ya mavamizi.

watoto wangu waliozaliwa Pemba , ili wapate elimu ya juu imebidi tuwabadilishe vyeti , tuandike wametoka Unguja , haya ni ni hivi karibuni kwani wenzao wamekoseshwa nafasi za masomo waliokuwa na vyeti vya kuzaliwa vya Unguja .

Hamwoni kuwa mnafuata sera ya kanisa katoliki ???
KUMBE WEWE NI MPEMBA ATI!
SASA NIMEKUELEWA KWANI NINAFAHAMU PIGA UA MSIMAMO NI HUO. NAKUTAKIA KILA LA KHERI NA MUNGU AJAALIE MAALIM SEIF SHARRIF AWE RAIS AJAE WA ZANZIBAR KWENYE UCHAGUZI UJAO.
 
Nadhani niliandika kuwa kwenye kile kitabu cha marehemu hakuwahi kumtaja Maalim ila baada ile kadhia ya Dodoma ambapo iliishia kwa marehemu Jumbe kujiuzulu, Maalim ndiye aliye kuwa mnufaika mkuu baada ya kadhia hiyo.
Pengine ungejaribu kuwauliza viongozi toka zanzibar ambao walikuwepo kwenye vikao hivyo na bado wako hai watakwambia ukweli.



Nimuulize nani na mimi nilikuwepo tokea Mapinduzi na tumo tunateseka ???? Unataka nikawaulize hawa waliomwomba mvamizi kuleta jeshi lililomlazimisha Jecha kufuta uchaguzi ???

Hivi Wazanzibari waliomchagua Maalim ni wapumbavu na vipofu wa kujua nini kilitendeka wakati ule ???hawa vibaraka wachache wanaoiangamiza nchi ndio unawaona ndio wajuzi wa kila kitu ???
 
KUMBE WEWE NI MPEMBA ATI!
SASA NIMEKUELEWA KWANI NINAFAHAMU PIGA UA MSIMAMO NI HUO. NAKUTAKIA KILA LA KHERI NA MUNGU AJAALIE MAALIM SEIF SHARRIF AWE RAIS AJAE WA ZANZIBAR KWENYE UCHAGUZI UJAO.


Hata huyo Jumbe wako ni Mpemba , Ali karume ni mpemba , Moyo ni mpemba maana wote wameoa Pemba
 
Hata huyo Jumbe wako ni Mpemba , Ali karume ni mpemba , Moyo ni mpemba maana wote wameoa Pemba
Sasa unacholalamika ni kitu gani? Nenda kwenye archive ya TVZ utakuta video ambayo inaomuenyesha marehemu Karume akihamasisha umoja na kutaka watu wa visiwa hivyo waendelee kuoana na ukitatuta takwimu utakuta viongozi wengi wa mwanzo wa SMZ waliitikia wito huo.
Hii ni kuthibitisha kuwa baada ya mapinduzi hakukuwa na ubaguzi wa upemba na uunguja ila mbegu hii ililetwa na the 'young turks' ambao walisomeshwa na SMZ.
 
Back
Top Bottom