Mwaka wa 1964 Maalim alikuwa wapi? nani aliyemdhamini kwenye UDSM? Jee alivyorudi masomoni alikosa kazi kwa vile yeye ni mpemba????? Kwa bahati nzuri baada ya mapinduzi marehemu Karume aliwahamasisha wapemba na waunguja kuoana na wengi walifanya hivyo sasa huo ubaguzi ulitokea wapi????? Kuhusu usaliti kwa Jumbe hiyo siyo siri na mara kadhaa yeye mwenyewe amekuwa akikana lakini ukweli unajulikana kuwa yeye ndiye aliyefanya mambo ya Ujuda wa eskariot na mwisho wa siku dhambi yake haishi kutafuna na ukweli ndiyo huo inawezekana usikubaliane name lakini mwisho wa siku utajulikana tuu.
Wewe ulikuwa ukiishi naye Maalim mwaka 1964 ???
Tizama unavyodanganya , Karume eti alihamasisha watu waoe , Hivi wewe ni muislamu au huna dini ???
Yaani watu wamekwenda kwa mzee wa kiarabu usiku wa manane na maaskari wenye bunduki na kumlazimisha mzee amtoe binti yake aolewe kwa mtutu wa bunduki ndio unaita hamasa alizohimiza Karume??? ,
Hivi wewe unajua watu walianza kuoana baina ya makabila zamani sana.
Huyo mfalme unajua ni kizazi cha nani ???
huyo karume na mke wake wa mwanzo walioana baada uvamizi ??
Usaliti wa Jumbe ni fitna hiyo , Maalim hakuwa secretary wa Jumbe , wala Jumbe asingalishindwa kusema kuwa kasalitiwa na Maalim.
Usijifanye wewe ni msemaji wa Jumbe , hao waliomwandikia hicho kitabu Partnership na ambao walikuwa hawaondoki kwa huyo Jumbe mimi nawasiliana nao mara nyingi na sijawasikia hata siku moja kusema fitna hizi unazotuletea .
Nyinyi mlioivuruga nchi na kuuwa watu bado mngali mnashirikiana na wavamizi kuvuruga demokrasia Zanzibar kwa visingizio vya Maalim,
Kama watu wanamwona Maalim ni msaliti wasingalimpa kura , au nyinyi mnaumia zaidi kuliko Maelfu ya waliompa kura zao ???
Kwa nini mnashirikiana na wavamizi wa kikatoliki kuufuta uchaguzi ???