Course Coordinator
JF-Expert Member
- Jul 27, 2019
- 1,742
- 3,224
Mtindio mkubwa sema tu hataki kwenda hosptalHuyu mtu!nilishasema ana mtindio wa ubongo na tuliingizwa mkenge sana na vigogo wa ccm!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mtindio mkubwa sema tu hataki kwenda hosptalHuyu mtu!nilishasema ana mtindio wa ubongo na tuliingizwa mkenge sana na vigogo wa ccm!!
Debe tupu wewe. Mbona hujibu hoja ya msingi? Unawaaibisha wenzio wa itikadi yako.Rais wetu ni mwanademokrasia nyie Wapinzani acheni kutafuta sababu za uwongo
Km mmeshindwa hoja mjipange 2025
Aisee....Yeye alikuwa mbunge wa chato toka 95 je alimaliza changamoto zao, Tena wananchi wake waliwahi kumpa Kero ya barabara, akawaambia wanye watandaze mavi yawe lami
Usiombe upate mshindani ambaye hakuachii hata nafasi ya kupumua!!!Magufuli ni Mbaguzi hadi anakera ....anaweza kufanikiwa kushinda na kupitisha wabunge wake kwa nguvu ..tena "wake" sio wa ccm lakini atakayeingia mwaka 2025 itakuwa ngumu sana kwake ...awe wa chama chochote ..kurudisha umoja wa kitaifa ...huwezi kuwabagua watanzania namna hii , hatukuzoea kabisa ....hii ni laana ..
Na kama amesoma picha wananchi wanaanza kukereka na hii tabia ...
Naenda kukusemeaNdo maana wanakula mademu zake kina DAS
Hiyo ilikuwa jana, mzee alikuwa anakohoa kila akitaka kuongea.Mpaka akasema Soga Mmeniloga nini kisa Umeme na Maji kwenu hamna.'...... watu wa msoga mmeniloga sijui...'
Nani kaskia hii
Mpaka kuongea hayo maneno, itakuwa jamaa yupo sana kwenye haya masualaHiyo ilikuwa jana,mzee alikuwa anakohoa kila akitaka kuongea.Mpaka akasema Soga Mmeniloga nini kisa Umeme na Maji kwenu hamna.
Rais wetu ni mwanademokrasia nyie Wapinzani acheni kutafuta sababu za uwongo
Km mmeshindwa hoja mjipange 2025
Ni kuulize tu awe mbunge/diwani wa Cha Domo kapewa Mic aongee na wananchi wake atawambia Nini? Tumefanya hiki? tumeleta hiki? Tunazindua hiki? Tuna Jenga hiki?
Debe tupu wewe. Mbona hujibu hoja ya msingi? Unawaaibisha wenzio wa itikadi yako.
Kosa la Magufuli ni kufanya hata Yale ambayo watu wangali wakifikiri kuwa Kwa hilii!!! Hatoweza kulifanya
Ikitokea amelifanya, watu wa Aina hiyo, hulazimika humtafutizia makosa ya kulazimisha, ili tu naye angalau aonekane anafanya makosa!
Kwa kuwa naye ni Binadamu! Hawezi kuishi bila kukosea, hiyo ni huluka yetu binadamu, na hata mleta mada naye hukosea!!
Lakini Kwa ujumla wake, Makosa ya Magufuli ni kazi zake na si vinginevyo
Wewe huna hoja nimeamua nikupuuze rasmi sasa
Wewe hautakufa kwa njaa bali kizazi chako kitavuna utumbo ulioupanda leo.Kosa la Magufuli ni kufanya hata Yale ambayo watu wangali wakifikiri kuwa Kwa hilii!!! Hatoweza kulifanya
Ikitokea amelifanya, watu wa Aina hiyo, hulazimika humtafutizia makosa ya kulazimisha, ili tu naye angalau aonekane anafanya makosa!
Kwa kuwa naye ni Binadamu! Hawezi kuishi bila kukosea, hiyo ni huluka yetu binadamu, na hata mleta mada naye hukosea!!
Lakini Kwa ujumla wake, Makosa ya Magufuli ni kazi zake na si vinginevyo
Mushi hajapata mimba?Majungu gani na tumeona kilichotokea hapo..
Naantombe Mushi njoo huku mpima mstaafu anakuhitaji umfanyie ka MushiWapumbavu mko wengi kabisa humu
Msijiite wapinzani, nyie ni wachumia tumbo, wala hamkua na nia ya kuuza sera bali ni kutaka kuleta mtafaruku. Uzuri sasa hivi mmekwisha kabisa kabisa hamna mpya wala pa kujifichiaTangu 2015 tumenunua wapinzani,kunyima wasifanye hata mikutano ya ndani pamoja na kusaidiwa na jeshi la polisi kukwamisha wapinzani
Mtakonda Mh. Rais asiposema, naona ufipa mna kitengo cha kukuza majunguMzuieni kusema hayo anayotapika tukose cha kusema. Aache kutumia madaraka yake vibaya tuingie tuongee na wananchi usikie mziki wake.