Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Hana nia njema na nchi yetu, acheni kumvisha vilemba vya ukoka
 
Acha wivu mwana ufipa
 
kamisani utasikia mimi ni msema kweli na msema kweli ni mpenzi wa Mungu! yaan Mungu huyu ana kazi sana na rais wetu
 
Huyu jamaa msanii sana kama ile ga kilosa yaani anajichekesha bila aibu ukweli usemwe mh Rais anakosea kwa hili kwakweli.
Nikikaa na watu wazima halafu nakuta wanamsifia huyu mzee mwenzao huwa nashindwa kuwaelewa, natamani kuwapa somo ila naamua kimya.
 
Acha wivu mwana ufipa

Habari ndio hiyo, cdm ni chama digital, wakati ccm ni chama analogia, ndio maana zinatumika nguvu za dola kuipa ccm mvuto lakini inagoma.
 
Mleta mada huna hoja kabisa, unakalia majungu, mwageni data mmefanya nini tangu 2015?? Mmekosa vitu vya kusema mmebakiza majungu, mnasubiri Jemedari wetu kasema nini ndiyo mnapata vya kuongea,
Mkuu kwa hiyo unataka Chadema nao waoneshe mabarabara na madaraja waliyojenga?
 
Hata kwa ''afya ya maendeleo'' ya nchi siyo vizuri hata kidogo. Watakaoshinda wengi watakuwa watu incompetent na hawatamsadia hata kidogo katika uongozi. Ila Magufuli anapenda sana kuabudiwa na kutokuwa challenged ndiyo maana anajari kuweka vilaza wenye uwezo wa kuimba sifa zake na kuitikia ndiyo kwa kila jambo. Kama ulivyosema rais atakayefuata baada ya Magufuli atapata shida sana kwani atarithi nchi ya hovyo kabisa.
 
Magufuli ananikumbusha enzi za rais Moi wa Kenya, kipindi ameshika hatamu sana na anaabudiwa kama mungu mtu. Ila haya yote anayofanya ni mambo ya mtu anayeangalia hapo alipo bila kujua kinachoweza kuja mita moja mbele yake. Anaivuruga nchi kishenzi na madhara yake yatakuja kuwa makubwa tena kwa CCM yenyewe.
 
Mkuu wewe una muongelea Magufuli baba Jesca au Magufuli rais na mkuu wa nchi? Kama unamuongelea Magufuli rais na mkuu wa nchi ya Tanzania na huoni tatizo kwenye hiyo mikutano miwili aliyofanya basi nakushauri ukapime corona,utakuwa unaumwa
 
Demokrasia ndani ya ccm inawatesa wasio kuwa nayo
Ha ha haaa. Chapisheni fomu mbili za urais. Fanyeni kama mnatania kwa kuita mwenye nia halafu mpaka kesho saa sita iwe mwisho wa kuchukua form muone itakuwaje. Shenzi taip.
 
This bush man is so incompetent and very short sighted.mtu wa hivyo kuliko hovyo yenyewe- Mimi bado naamini corona itakuwa fear kwa Tanzania same way ilivyofanya kwa Burundi
 
he is f****** this country big time. maisha ya watanzania yako modeled na mfumo wa simba na yanga. mashabiki wa hizi timu mbili siku zote hawakubaliani lakini hawadhalilishani wala kutwezana kuvuka mstari, ubishani na majigambo yote yanakoma uwanjani. magufuli must learn from this beautiful culture.
 
Wewe ni mzandiki, wapi amepokwa maiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…