Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Ubaguzi wa kisiasa anaouonesha Magufuli hadi CCM wenyewe wanamshangaa

Watu wenye akili za kipumbavu kama nyie ndo mnao chelewesha maendeleo ya hii nchi, mmekalia kichamachama tu kisa tu kuna mahala unanufaika na vijisent kidogo.yaan kwa akili ya kawaida kabisa mnaona ni haki watu walochagua upinzani wasitatuliwe kero zao, wakat Watu hao wanalipa kodi.kwani hela zainazotumika kutatua hizo kero niza Chama Tawala/za Rais?acheni akili za kipumbavu badilikeni. Sijui hata kama huwa mnawaza kuibadilisha katiba kumpunguzia nguvu Rais? Rais hatakiwi kuwa final say kwa kila jambo, kuna mambo anatakiwa hawez kuyagusa kabisa kama ilivyo kwa Marekani au nchi zilizoendelea. Leo hii wamarekani hawampendi Trump lakini kutokana na katiba Yao ilivyo swala la maendeo Rais halimuhusu ndomana unaona Marekani iko vizuri kila state.sasa tukija kwetu hapa maendeleowyanapelekwa kwenye maeneo ya Chama Tawala, kama sio chama Tawala hamletewi maendeleo utafkiri hizo hela niza Chama/Rais na bado kuna mijitu kama nyie mnafurahia, mijitu kama nyie sijui kwanini Corona inawaacha mpaka Leo.
Nchi maskini tunaamini Rais pekee ndiyo ana akili timamu na anajua kila kitu
 
Ningekuwa mimi ningewadhoofisha wapinzani kwa kuwapenda na sio kuwachukia,kila mtu ana mbinu zake.
Mbowe Lissu Mnyika Mdee Matiku Bulaya Msigwa Sugu Lema Sosopi njooni ikulu tuzungumze kuhusu mustakabali wa nchi yetu.
Maaalim Sefu Zitto Jussa Duni kujeni ikulu tuzungumze mawili matatu hii nchi ni yetu sote.
Bungeni nako hivyohivyo spika anakuwa Shehe naibu spika askofu
Huo Upendo jamaa yetu hana
 
Rais wetu ni mwanademokrasia nyie Wapinzani acheni kutafuta sababu za uwongo
Km mmeshindwa hoja mjipange 2025
Hujui usemalo kwani akili zako ni za kupandia kitandani tu.
Ubaguzi wa kiitikadi
ukandamizaji wa wapinzani
kuua demokrasia
ukanda

ukabila
ni mambo ambayo yametamalaki sana awamu hii na ni dalili mbaya kabisa tuendako.
 
Mleta mada huna hoja kabisa, unakalia majungu, mwageni data mmefanya nini tangu 2015? Mmekosa vitu vya kusema mmebakiza majungu, mnasubiri Jemedari wetu kasema nini ndiyo mnapata vya kuongea,
Jukumu la serikali ni kukisanya kodi kisha kutumia kwani maendeleo ya wananchi, hakuna chama chochote chenye jukumu la kuzitumia kodi za wananchi, ni mjinga tu ambaye haelewi hili.
 
Yeye alikuwa mbunge wa chato toka 95, je alimaliza changamoto zao? Tena wananchi wake waliwahi kumpa Kero ya barabara, akawaambia wanye watandaze mavi yawe lami.
Dah..mkuu hii ni kweli?[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Upo sahihi. Akili za mataga bure kabisa.. eti chadema ionyeshe wapi imejenga barabara.. kwani chadema ina kusanya kodi?

Mataga wanajibinua makalio eti wajenga barabara na reli wakati huo ni wajibu wao kama kwenda chooni..

Mbona mkienda kunya hamleti kelele ?
Jukumu la serikali ni kukisanya kodi kisha kutumia kwani maendeleo ya wananchi, hakuna chama chochote chenye jukumu la kuzitumia kodi za wananchi, ni mjinga tu ambaye haelewi hili.
 
Anasema eti angekuwa Mbunge angetatua zile kero.
Hivi tangu awe Mbunge wa chato kwa muda wa miaka 20 alikomesha umaskini
 
Usimfananishe Elbashir na JPM. Kama ungekuwa kwenye umati wa watu wangekupiga mawe. Huyu ni kiongozi wa namna ya pekee.

Hata Elbashir alikuwa na wapambe kama ww, na hiyo ndio sababu alikaa madarakani miaka 30. Na wakati Elbashir yuko kwenye madaraka, ingetokea umuongelee tofauti, wafuasi wake wangekupiga mawe. So hiki unachotetea hapa sio kigeni.
 
Hata Elbashir alikuwa na wapambe kama ww, na hiyo ndio sababu alikaa madarakani miaka 30. Na wakati Elbashir yuko kwenye madaraka, ingetokea umuongelee tofauti, wafuasi wake wangekupiga mawe. So hiki unachotetea hapa sio kigeni.
tindo hivi hata kwa akili ya kawaida unaweza kumfananisha Elbashir na JPM? Mtu ambae anajitolea kuwaletea maendeleo watanzania! Maana hata hizo tril 7 zinazojenga JNHPP angeamua kuzitia mfukoni msingejua chochote. Lakini uadilifu wake utawaletea neema watanzania.
 
tindo hivi hata kwa akili ya kawaida unaweza kumfananisha Elbashir na JPM? Mtu ambae anajitolea kuwaletea maendeleo watanzania! Maana hata hizo tril 7 zinazojenga JNHPP angeamua kuzitia mfukoni msingejua chochote. Lakini uadilifu wake utawaletea neema watanzania.

Inaonekana hujui unaloongea nadhani, nenda Sudan ukaangalie kama Elbashir naye hujafanya miradi ya maendeleo. Hivi unadhani unaweza ukawa kiongozi wa nchi na usitekeleze mradi wowote wa maendeleo? Kama miradi ya maendeleo ndio inaonyesha kujitokea, basi wazungu waliojenga reli, tena zaidi ya moja, ranchi, mashule, hospitali nk, hao walijitolea sana. Inaonekana hujui tofauti ya wajibu na kujitolea. Leo hii Mkapa, Kikwete au Mwinyi wakitekeleza mradi wa maendeleo ndio watakuwa wamejitolea maana hawako madarakani.

Nenda Ethiopia hapo, utawala uliopita umefanya miradi mikubwa ya maendeleo, wana shirika kubwa la ndege nk. Je utawala wao ulikuwa unawafanya nini wananchi wak? Kiongozi mpya wa Ethiopia alipoingia juzi madarakani si ndio karudisha uhuru wa wananchi wake.
 
Inaonekana hujui unaloongea nadhani, nenda Sudan ukaangalie kama Elbashir naye hujafanya miradi ya maendeleo. Hivi unadhani unaweza ukawa kiongozi wa nchi na usitekeleze mradi wowote wa maendeleo? Kama miradi ya maendeleo ndio inaonyesha kujitokea, basi wazungu waliojenga reli, tena zaidi ya moja, ranchi, mashule, hospitali nk, hao walijitolea sana. Inaonekana hujui tofauti ya wajibu na kujitolea. Leo hii Mkapa, Kikwete au Mwinyi wakitekeleza mradi wa maendeleo ndio watakuwa wamejitolea maana hawako madarakani.

Nenda Ethiopia hapo, utawala uliopita umefanya miradi mikubwa ya maendeleo, wana shirika kubwa la ndege nk. Je utawala wao ulikuwa unawafanya nini wananchi wak? Kiongozi mpya wa Ethiopia alipoingia juzi madarakani si ndio karudisha uhuru wa wananchi wake.
Kwani hapa Tanzania tunatawaliwa na dikteta mpaka useme hamna uhuru? Hii nchi inatawaliwa kwa misingi ya Katiba na sheria za nchi. Kuleta maendeleo lazima kuendane na utawala wa sheria, ndio maana upo hapo unatoa maoni yako bila bugudha.
Kusema wakoloni walileta maendeleo hii pia inadhihirisha upofu wako wa kisiasa na kukariri upuuzi wa Tundu Lissu. Mkoloni alijenga reli na barabara ili ainyonye nchi yetu. Mapato yote yalienda kwao huko ulaya. Sasa hivi mapato yote yanabaki hapa Tanzania. Kwa hiyo acha kukariri siasa za kitoto.
 
JPM ni chamtoto kwa elbashiri.. nenda sudan kaone maendeleo aliyo yaleta elbashiri.. sudan ni nusu dubai
tindo hivi hata kwa akili ya kawaida unaweza kumfananisha Elbashir na JPM? Mtu ambae anajitolea kuwaletea maendeleo watanzania! Maana hata hizo tril 7 zinazojenga JNHPP angeamua kuzitia mfukoni msingejua chochote. Lakini uadilifu wake utawaletea neema watanzania.
 
Tumekua tukisikia kwamba mkuu wa nchi ni mbaguzi hasa linapokuja swala la mitazamo ya kisiasa, kitu ambacho si kuzuri na hakifai kwa mkuu wa nchi.

Tofauti na viongozi wengine, hata marais waliopita, Mheshimiwa hapa amefeli na inaonyesha anafanya makusudi.

Jana akiwa Msoga, diwani wa hilo eneo aliitwa atoe kero. Mh akadhani ni diwani toka chama cha Chadema kwa sababu hakuvaa sare ya CCM, akaamuru anyang'anywe mic na maneno makali juu lakini baada ya kuuliza chama gani akaambiwa ni wa CCM, mara moja akaamuru arudishiwe mic na aendelee kuongea.

Leo tarehe 29 June 2020 akiwa Kilosa akaanza kumponda mbunge wa eneo na kusema wananchi wa eneo hilo wanachagua kwa jazba akiamini mbunge wa eneo hilo ni wa Chadema. Anaongeza kwa kusema yeye angekua mbunge wa eneo hilo angekua amemaliza changamoto zote ila kwa sababu wananchi wanachagua kwa jazba na wanachagua wabunge sio, ndio maana bado changamoto zipo.

Baadaye akauliza mbunge wa hapo anaitwa nani na wa chama gani? Wananchi wakamtaja na kumwambia anatoka chama chamapinduzi. Bila hata aibu akaanza kumsifia na kuahidi kuzimaliza changamoto hizo akisadiwa na waziri husika.

Wananchi wa Tanzania sio watoto wanajua na wanaelewa vizuri, wao wanapendana bola kujali vyama, dini wala kabila lakini bado kuna viongozi karne hii wanasimamia ubaguzi.

Naamini mh Rais ana nia njema na Tanzania, lakini bado ana nafasi ya kuondoa hurka hii ya ubaguzi hata kama chadema walimpa wakati mgumu 2015.

Rais ndio kiungo pekee cha kuwaunganisha Watanzania.

Sio sababu ya yeye kuendelea kubagua vyama vya upinzani hali kazi zake alizo zifanya zinaonekana.

Haya mambo madogodogo yanamuondolea kitu fulani kama kiongozi.

Tuungane kuupinga ubaguzi. Na asilazimishe vyama vya upinzania kupata ajenda.



Prof Jay

Mimi nashauri watu wawe wanamwangalia Rais kwa jicho ambalo ni MEGA na si kwenye vitu ambyo ni marginals. Tunatakiwa tuwe na jicho kama la Dk Wilbroad Slaa, kabisa.
 
Umesikia na si ni walamba viatu kama Dr slaa kwa njaa xake.
Mimi nashauri watu wawe wanamwangalia Rais kwa jicho ambalo ni MEGA na si kwenye vitu ambyo ni marginals. Tunatakiwa tuwe na jicho kama la Dk Wilbroad Slaa, kabisa.
 
Back
Top Bottom