vibesen xxx
JF-Expert Member
- Jul 23, 2022
- 3,187
- 6,620
Huyo kocha mshenzi dalali wa wachezaji, atupishe. Kwanza ana sifa gani ya kufundisha Taifa Stars?Hatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu
Haha! Umeongea kama Kibe DeHatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu
ulitaka wachaguliwe wajinga .mpeni nafasiHatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu
Mkuu huyu atakuwa mhenga. Maana mbona FAT ni ya kitambo sanaHiyo Fat ni chama cha wapi
Huyu jamaa hata D mbili itakuwa hanaMkuu huyu atakuwa mhenga. Maana mbona FAT ni ya kitambo sana
Baba yake Dickson JobMkuu huyu atakuwa mhenga. Maana mbona FAT ni ya kitambo sana
ILA UNA MAJUNGU. NADHANI HATA KAZINI KWAKO WANAKUKOMA KWA MAJUNGUHatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu
Kwani kuitwa wachezaji kutoka nje Ndio kushinda? Nimeona ukiondoa Samatha na Msuva wengine wote Hakuna kituHatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu
Mbona hujaweka bayana hayo madai ya ubaguzi.Hatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu