valet de chambre
JF-Expert Member
- Mar 12, 2017
- 1,044
- 1,112
mkuu chama cha fat ndio kipi hicho?Hatuna la kusema ila ujumbe mfupi tu
Inasemwa kocha wa stars anamapenzi binafsi na wachezaji fulani fulani
Na anachuki na wachezaji fulani
Duniani kote kuitwa timu ya Taifa ni fahari inakuongezea kwenye safari yako ya mpira
Ila huyu kocha anabagua wachezaji
Tunaomba chama cha Fat kimtimue huyo kocha kwa uhai wa timu