Ubaguzi wa kocha wa Taifa Star inawafanya wachezaji wengi kukataa kujiunga nayo

mkuu chama cha fat ndio kipi hicho?
 
mkuu chama cha fat ndio kipi hicho?
Football Association of Tanzania (FAT) kina Ndolanga, FAT ni babu yake na Karai TFF , kumbe ndo maana huwa hatuelewani humu, tukisema ilani ya chama macho kodo, ahadi za mwana tanu napo bila bila, sadiki na sikiri kimyaaa, mabala the farmer holaaa!!

kwahiyo mkuu wakati Coastal Union inabeba kombe la ligi kuu bara we ulikuwa wapi, ukifanya nini?
 
sijaelewa, anabagua watanganyika au anabaguaje? au anataka aweke wala urojo, fafanueni anabaguaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…