Wewe na wewe hebu achaga ushamba. Hilo jina wamepewa sababu ya ushari wao na kupenda kudhuru wanaume kama wale wapalestina kuwa mashariki ya kati uarabuni huko wanapolipuana na kufanyiana visa.Hivi Moshi kuna sehemu inaitwa Palestina?!
Mods wa siku hizi wana akili za kiccm sana. Maswala ya uchambuzi wanatupangia tuongee nini na unaambiwa hii ni free forum ambapo wastaarabu hukutana kuzungumza mambo mbali mbali ya jamii ya kitanzania.
Wanaume majanga yenu huwaua aiseeWanawaua kwa kutumia Bluetooth
Kaka mmasai mtoe hapo aiseeUnakumbuka yule wa morogoro aliyeolewa na mkikuyu waliishi dumila naye alimkodia majambazi. Simu yake imefuatiliwa maongezi akasikika akiongea " huyo fala ivi bado hamjammaliza"
Hawa huwa ni kuwakojolea tu afu unaingia usukumani,umasaini ,kigoma ama ukuryani unachukua mke wa kudumu naye asiye na tamaa na Mali wala fwedhwa.
Ninaomba mrejesho aliyeoa Hayo makabila ila sio digitalized or westernized girls anasafa na marriage yake alete ushahidi MIE namuozesha binti chapa bado sealed
Jamii ya wachaga wote ni matatizo wanajali fedha kuliko utu!
Hapana. Alikuwa na jamaa kimasilahi, alipopata alichokuwa anakitafuta (nyumba nadhani) akamgeuka jamaa na kuanza kumkwepa as if hamjui na hawajawahi kuwa na mahusiano. Mama mtu inasemekana alikuwa anasapoti hiyo akili ya binti yale ile hali anajua history ya binti yake na huyo jamaa.Ufoo Saro sio Mambo ya michepuko kweli na mamake kumtapeli mumewe yalileta Vita kubwa Sana. Tamaa mbaya Sana
Ni kweli, ndio mjue kuwa wanaume sio wenzenu....Ila globally wanaume hufa mapema Sana kuliko wanawake, wanaume wanapitia mengi
Inategemeana umekutana na nani bwana. Si kila mtu kwenye ndoa anapitia mufarakano. Kuna watu yeye na mkewe wasipoonana hata kwa lisaa tu akili hazikai sawa. Kama ukimtazama obama na mkewe hivi unawaonajeaana hata tukitaka kusema wanaigiza for the public si kweli.Sie wanawake huzeeka mapema Ila twaishi mda mrefu hata vile tulivoumbwa Kama walezi na kuachia vitu moyoni haraka inasaidia tofauti na wanaume Mambo mengine wameaminishwa kuwa ni mwanaume vumilia shida usiseme, ukisema unakuwa ka mwanamke kumbe nao Ni binadamu wanahitaji msaada wa kisaikolojia. So wanaume hupitia mengi mno Sana imagine kuridhisha tu wanawake hyo amuont of energy wanayotumia ni kubwa fikiria hela, tunza familia hapo na maradhi ya kuwaza lazima tu usidumu tu.
Mie kwa kabila langu watu hulala tofauti vitamba nadhani na hyo husaidia kutokuzoeana, pia kupeana personal space na hamna kuchokana Wala kubanduana mfululizo na wengi wamedumu Hadi uzeeni, hii iga uzungu inatupoteza Sana bana
Unajua wanawake huwa hawajifunzi kusoma akili za wanaume pale wanapokuwa aggressive. Huyu dada angeweza mtuliza jamaa kirahisi sana na angekausha.tamaa mbaya au sio[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2].sema atakuwa ameathirika sana emotionally kwa mama ake kuuawa kwa mazingira kama yale na jinsi wanawake wanavyowapenda mama zao.yule mwanajeshi naye inaonekana ilikuwa sio kitoto kuchukua maamuzi magumu kama yale.ngoja niifuatilie ile story.
Ufoo alikuwa anachepuka na mheshimiwa mzito kabwela, pia bwanake alizaa naye mtoto mmoja, Sasa hyo kumtapeli mumewe ilishangaza Sana maana kumbe ufoo alikuwa na masilahi binafsi na sio upendo, na hili ndio janga la sikuhizi it's hard to get someone to love bila kuangalia materials things, ndio maana huwa nashauri Kama huna kitu tafta mwenzako asiye na kitu, una vitu au Mali tafta mwenye Mali mwenzako hapo ndio mtapendana kiukweli na sio kuangalia vitu kumdaganya mwenzako.Hapana. Alikuwa na jamaa kimasilahi, alipopata alichokuwa anakitafuta (nyumba nadhani) akamgeuka jamaa na kuanza kumkwepa as if hamjui na hawajawahi kuwa na mahusiano. Mama mtu inasemekana alikuwa anasapoti hiyo akili ya binti yale ile hali anajua history ya binti yake na huyo jamaa.
So jamaa ameshawekeza pesa yake nyingi sana kwa bi dada akaona isiwe shida, mama si ndio mwalimu wako, ngoja nije kuwapa darasa juu ya kuheshimu muda na jitahada za mtu. Akaenda akatandika risasi mama mtu kwanza then akachapa risasa binti kisha na yeye akajimaliza. Binti kapona but mama yake ndio ikawa bahati mbaya......
Sijui anasurvive vipi lakini kwasasa, ila kwa mimi nisingeweza tena kuona maana ya maisha kwa kilichotokea, tukio kama lile ni baya sana especially ukizingatia yeye ndie ameliaccerelate na kumsababishia mama yake umauti usio kuwa na sababu.
Wanasema yaani hilo ni bomu na limeshaanza kulipuka
Mapenzi Ni kuwa na chemistry na bond ya Hali ya juu, pia kupendana haimaanishi siku zote Mambo yatakuwa smooth, Kuna siku za ups and down, kugombana kusameheana na kusonga mbele. So ukiona watu wamedumu mda mrefu ujue wamegombana Sana, wamesameheana,wame enjoy Sana hata kulia vile vile, na dunia hii hamna kitu perfect that's lifeInategemeana umekutana na nani bwana. Si kila mtu kwenye ndoa anapitia mufarakano. Kuna watu yeye na mkewe wasipoonana hata kwa lisaa tu akili hazikai sawa. Kama ukimtazama obama na mkewe hivi unawaonajeaana hata tukitaka kusema wanaigiza for the public si kweli.
Mapenzi yanataka very strong captaining na navigational skills. Siri ni moja tu, jua mwenzako anataka nini na wakati gani, ikifanywa both ways unahisi upo na ndugu yako wa kiroho unaanzaje kutaka kuishi bila yeye......
Ndio si wenzetu Ila mengi mnachangia wenyewe pamoja na jamii kuwaona nguzo ya chuma huku nyie ni binadamu sawa na nguzo ya udongo ikipata mvua inadondokaNi kweli, ndio mjue kuwa wanaume sio wenzenu....
Kushakucha. Cariha hujambo?Ndio si wenzetu Ila mengi mnachangia wenyewe pamoja na jamii kuwaona nguzo ya chuma huku nyie ni binadamu sawa na nguzo ya udongo ikipata mvua inadondoka
Mimi sijambo kabisa sijui weweKushakucha. Cariha hujambo?
Yaani mimi na baba yako ni malaya, hivi we mtoto una adabu weye?!Hamna kitu kinatesa moyo na maumivu moyoni yakuwa mda mrefu.
Nakwambia wanawake tunasahau haraka Sana vitu ka mahusiano maana tunajua wanaume wote ni Malaya so hata tukikuta sio issue kivile we tend to forget easily hao wenye mi pressure ni vile hawafanyi mazoezi, ulaji mubovu kupita kiasi na unene tu
Huyo sio m'machame ni jambaziWanaua Waume zao..mtaani Kuna mdada wa kimachame aliolewa na msukuma..huyu mbaba anajiweza kiasi chake..akamkodia majambazi uchwara mchana kweupe..mama mkwe akajeruhuwa Hadi leo anatembea upande mmoja anachechemea..Mume akakatwa panga na kuchomwa visu alicheleweshwa kupeleka hospital akajifia hapo hapo..yule mwanamke akuguswa hata kidogo..kupelekwa polisi kubanwa akakiri niyeye amefanya hayo..Hadi leo yupo jela tangu mwaka 2008 na alikuwa na mimba miezi 4 masikini .