Ubaguzi wa makabila katika kuoa

Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
Mkuu wana akili ama Mali gani.hebu niambie invention aliyofanya mchaga ama hizi Mali ndo zile kupewa uongozi na kujipendelea kwao na kuiba Mali za umma unaona ni ujanja. Hivi Unajua kuna miaka hapo bandarini kyasaka ama mtanzania mwingine hakuweza kupitisha mzigo Fulani labda uwe wa kwao. Yaani utakadiriwa kodi kubwa mpka utaacha mzigo ama ukiuchukua solo halikulipi anabakia ndugu yao tu. Na ndo mana saivi wanajiliza sana huku mtandaoni.
Mana wao ushuru ama kodi walipewa chini na akina CHUWA ama Rimo.

Saivi watafute wako wapi wamebakia kujisifia ya kale
 
Unaonekana una chuki KUBWA SANA nawachagga nasikitika ni kwanini mnawachukia wachaga kiasi hiki? Ni mali na akili walizo pewa na Mungu tu au kuna lingine?
Muongo huyo, tatizo malezi yetu Ni very advanced na tunanafasi kubwa Sana kwenye familia, Sasa ukituoa ukataka tusiwe na say kabisa tukae tu jikon Ni shida sanaaaa.
 
Hamna mume wa mtu anaporwa bwana, sema ananogewa na smartness ya mtoto wa kichaga, unakaa nae anamalengo Kama yoteee na kweli mkielewana mnafika mbali Sana manake yeye mwenyewe Ni mtafutaji mnoooo.
Sasa wewe Leta Mambo yako ya mwanamke haitakiwi kufanya Kaz au utake kumrudisha nyuma ndo hamtaelewana kabisaaa. It needs a real man with vision kuoa mchaga sio a boy ful of insecurity 😁
 
We mtoto Sana, me 2011 nikimaliza udsm
Usiangalie miaka ya kumaliza shule,inawdzekana ukawahi kumaliza shule lakini ukawa mdogo kuliko uliowaacha madarasa
Udsm ulisomea nn
Mimi ni mtaalam wa upimaji ardhi
Ila enzi zenu taboragirls mlikuwa mnaharibu sana ha ha ha
 
Ulipotelea wapi mkuu?

Sent from my TECNO K9 using JamiiForums mobile app
 
Umeua kila kitu mkuu, hii kanda ina watu wanaendekeza ukabila sana.
 
Wanawake wa kimachame wako vizuri sana kuanzia sura na mpaka shape pia ni wachamungu. Changamoto wale wanawake wanajua kupambana na maisha wanajituma sana sasa mwanaume ukiwa legelege unaibika. Hata ukiondoka ukamwachia familia pengo lako linazibika kwa mwanume hii ni dharau
 
Hahaaaa A level, discussiion ndio tulianzisha
Nishakusoma tayari muwoso. Joshua Nasari akiwa f6 nyie mkiwa F5 ama. Yaani nyie mwaka wenu mlikuja wa mjini wengine tokea Moro na dar ndo mkaibadilisha Tabora. Binafsi niliwapenda sana mwaka ule wa advance level.

Kila jumatano mnakuja kucheza mpira pale uwanjani kwetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…