- Thread starter
- #21
Unaweza kutaja hata chembe ya wizi uliofanyika chini ya Samia!? Aliwafichia siri majizi akina Bashiru kwenye ripoti Bot baada ya kifo cha Magufuli sasa mnampanda kichwani subiriniFacts tupu umeongea
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaweza kutaja hata chembe ya wizi uliofanyika chini ya Samia!? Aliwafichia siri majizi akina Bashiru kwenye ripoti Bot baada ya kifo cha Magufuli sasa mnampanda kichwani subiriniFacts tupu umeongea
unataka uwape muda hadi lini wakati tayari unaona mambo jinsi yanavyokwenda? tozo juu, mafuta juu, sabuni juu, vyakula juu, vifaa vya ujenzi juu, deni la taifa jui zaidi yaan huu mfumko wa bei mara nyingi ndio inakuwa kipimo, sasa ukishindwa ku control hili ujue umesha fail" sasa inataka kumpa muda hadi lini ndugu yangu? kusoma hujui na hata picha nayo huoni?