cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Bora hata usemee wee.Nchi zinazoruhusu ushoga ni nyingi zaidi duniani,sisi tunaopiga piga kelele tunafirana kimya kimya wakati wazungu wanafirana Kwa uwazi.kila mwanamume alinde familia yake,hili sio swala la jamii tena ni personal my matter
huwa nashangaa sana jinsi namna watu wanavyo pinga ushoga ila cha ajabu unazidi kukua na kuongezeka kwa kasi.
Sielewi ni nn.