Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

Ubakaji, ulawiti, ufiraji na ushoga havina uhusiano wowote na hormonal imbalance

This is non sense mtu akitaka kulala na mwanaume au mwanamke mwenzake it's purely fantasy, curiosity au mtazamo na sio UHARIBIFU. Same to utafiti wa MEWATA 2016 ulisema katika kila wanawake 3 basi wawili wanaingiliwa kinyume na maumbile hapa Tanzania. Je ina maana hao 2/3 ama 60% ya wanaume wa Tanzania wanaweza waingilia mama zao au dada zao?

Masuala ya kihisia yasihusishwe na ugonjwa, ukichaa, uharibifu n.k

Unauliza majibu.
Kwani hujawahi sikia mtu akimbaka Mama yake au Baba akibaka Binti yake?
Au mengine yanafanywa kwa siri ila yanafahamika kabisa kuwa Mama anatoka na kijana wake au Baba anatoka na binti yake. Hayo màmbo yapo na ni mengi tuu.
Sema yanamalizwa au yanakaushiwa kifamilia.

Ila elewa kuwa lolote unaloweza kumfanyia Mtu Mwingine liwe zuri au baya basi unaweza kumfanyia Baba au mama au bintî au ndugu yako. Hiyo ndio kanuni ya uchafu na uharibifu.

Na lolote unaloshindwa kumfanyia mtu mwingine liwe zuri au baya halikadhalika huwezi mfanyia mtu wako wa karibu.

Elewa kuwa Mama au Baba ni concept na mtazamo tuu.
 
Acha kudanganya Watu.
Basi hao Wadada wenyewe wangekunywa hivyo vidonge ili wawe na mashepu kwa wale wanaopenda, na njia ya kufanya surgery isingekuwa maarufu.
Usikimbie hoja we umesema wanaume kuwa na tamaa kufanya ngono na wanawake wengi haina uhusiano na hormone nimekuwekea tafiti hapo.

So umepotosha, punguza ujuaji kama huna uelewa na somo husika.

Kuhusu estrogen kuongeza "muonekano wa kike" na kukuza maumbile kama matiti na kuondoa ndevu kuota soma tafiti hii hapa from a credible journal.

Hormone therapy for transgender patients

Kabla hujaleta mada fanya tafiti za kutosha.
 
Nakuelewa bongo dili,
Fafanua kidogo kwa wenye shida hii waelewe pia, natumaini hata humu wamo.
Shetani uwaingia watoto wangali wadogo kupitia vitu kama midoli,katuni,kuwazoeza michezo utotoni kupitia mashetani watu mfano ndugu,watoto wenzao mzazi kuwa makini kagua maisha ya watoto wako
 
Shetani anamsumbua mtu asiye na Mungu.
Umepewa muongozo wa kumshinda shetani unapokaidi kuufuata Mungu hana kosa acha tu mungu wa ulimwengu huu akufirimbe apendavyo
Unamshindaje usiye mwona ,wao MALAIKa watatu ndo wanauwezo wakuonana na kutufubaza akili kwamba wanafukuzanaga mmoja akizingua (mungu ,shetani na yesu)
 
Tuambie ni homoni gani kwa mwanaume ikiathirika mtu anakuwa shoga?

Kuua ni kosa la jinai na adhabu yake ni kali lakini Watu kila siku wanauana hiyo haimaanishi sheria na adhabu ya wauaji ifutwe.
Kubaka adhabu yake ni kali na kifungo kirefu lakini Watu mpaka leo wanabaka hiyo haimaanishi kuwa sheria za ubakaji zifutwe.

Wewe ndio uache kujifanya mjuaji kwa mambo usiyoyajua.

Athari za sex Organs hazimaanishi mtu awe shoga.
Ddio nikakuambia wewe ukiwa na tatizo la homoni au secondary organ utakubali Kufirwa na kumfira kijana wako kwa kisingizio cha homoni imbalance?
Sikusema sheria zifutwe! Read carefully. Nimesema sheria kali haziondoi tatizo. eg kama watu wanaiba kwa sababu ya njaa, ukiweka sheria ya kuua kila atakayeiba, haitasaidia. Busara ni kutafuta namna ya kuwafanya watu wasiwe njaa. Hivyo hivyo, sheria kali kwa ushoga haitasaidia. Busara ni kutafuta kwa nini watu wanakuwa mashoga na kuondoa zile sababu.
 
oUBAKAJI, ULAWITI, UFIRAJI NA USHOGA HAVINA UHUSIANO WOWOTE NA HORMONAL IMBALANCE

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Angalizo: Asome mwenye umri kuanzia miaka 18.
Chini ya hapo awe chini ya uangalizi wa mzazi au mlezi

Kuna majitu ambayo yameshindwa kitabia, kimalezi na sasa yamekubuhu kwenye uchafu uliopitiliza, ni mashetani sasa. Wanajitetea kwa uzushi na uongo wa kijinga ili kuhalalisha tabia zao chafu.

Ushoga hauna tofauti na ulawiti au Ufiraji au ubakaji. Matendo ni yaleyale na yote yanahusisha kushindwa kudhibiti Mihemko ya kimwili lakini pia tamaa mbaya isiyo na mipaka inayohusu kufanya matendo machafu.

Jambo lolote linalohusu malezi halina uhusiano na mambo ya Homoni.

Mtu anayebaka huwezi sema amekumbwa na tatizo la homoni. Au mtu mfiraji au mlawiti huwezi sema amekumbwa na tatizo la ushoga.

Ushoga ni maamuzi wakati tatizo la homoni sio uamuzi wa mtu.
Shoga anauwezo wa kuacha kuwa shoga kama alivyokuwa na uamuzi wa kufanya ushoga.

Ni kama ishu ya Wanaume kupenda wanawake wengi. Hilo sio tatizo la homoni isipokuwa na maamuzi na kujiendekeza.

Watu wanaotetea mashoga ndio haohao wenye uwezo wa kutaka kulala na Baba au mama zao. Au wenye uwezo wa kutoka na mabinti au vijana wao.

Wanaume wanaotetea mashoga kikawaida ndio haohao wenye uwezo wa kufira au Kufirwa na vijana wao. Au ndio wale wajomba ambao wanafira Wapwa wao. Wala hakuna haja ya kupindisha maneno. Kwa sababu huo ndio ukweli.

Wamama wanaotetea Wasagaji ndio haohao ambao wanauwezo wa kuwasaga mabinti zao wa kuwazaa au mabinti kusaga mama zao waliowazaa. Au mashangazi kusaga mabinti wa Kaka zao.

Muogope sana mtu ambaye ni shoga. Ni kama Mbakaji au mlawiti. Hana tofauti na mnyama kwa sababu hawana uwezo wa kujidhibiti. Wanaongozwa na tamaa.

Huwezi tamani Kufirana na mwanaume mwenzako alafu ukasema ni tatizo la homoni. Alafu Watu wakutetee kama Watu hao sio wapenzi wa jambo hilo. Hiyo haiwezekaniki kabisa.

Unajua binadamu hutetea jambo ambalo anamaslahi nalo iwe moja kwa moja au kwa kificho.
Wapo wanaogopa au kuona aibu kuwa mashoga na hivyo hujificha kwenye kutetea mashoga huku wao wakijifanya sio mashoga ili jambo hilo likizoeleka au kukubalika iwe rahisi kwao kujiingiza humo.

Nina kuhakikishia kuwa siku ushoga ukikubalika kwenye jamii na duniani. Utashangaa Baba na kijana wake wanafirana. Au Mama na binti yake wanasagana.

Hilo litatokea kwa hakika kwa sababu kama mtu ameshindwa kujizuia tamaa yake mpaka amekuwa shoga atawezaje kujizuia kumfiraau Kufirwa na Baba au kijana wake? Au atawezaje kujizuia kusagwa au kumsaga mama au binti yake. Hiyo haiwezekaniki.

Kikawaida Watibeli, sheria ya mashoga inafahamika, Ni Kifo bila kujali ni Mimi mwenyewe, mtoto wangu, Baba au ndugu yeyote. Halikadhalika na wasagaji. Ni kifo tuu. Ni kama Wabakaji na walawiti na wafiraji nao ni kifo tuu.

Nafahamu shetani na waovu hutetea haki za waovu ili kujilinda wao na kizazi chao.

Hata hivyo nafahamu wapo Mashoga ambao chanzo cha ushoga wao ni kulawitiwa na Baba au Wajomba au kaka zao kwa muda mrefu kimabavu mpaka wameathirika kisaikolojia.
Hawa ni kesi nyingine. Hawa wachukuliwe kwa matibabu lakini lazima wataje waliowabaka au kuwalawiti ili hao waliowalawiti na kuwabaka wachukuliwe hatua kali.
Hata hivyo inawezekana mtu akawa shoga kisha akasingizia chanzo cha ushoga wake ni kulawitiwa kwa muda mrefu alafu akataja mtu amb

UBAKAJI, ULAWITI, UFIRAJI NA USHOGA HAVINA UHUSIANO WOWOTE NA HORMONAL IMBALANCE

Anàandika, Robert Heriel
Mtibeli.

Angalizo: Asome mwenye umri kuanzia miaka 18.
Chini ya hapo awe chini ya uangalizi wa mzazi au mlezi

Kuna majitu ambayo yameshindwa kitabia, kimalezi na sasa yamekubuhu kwenye uchafu uliopitiliza, ni mashetani sasa. Wanajitetea kwa uzushi na uongo wa kijinga ili kuhalalisha tabia zao chafu.

Ushoga hauna tofauti na ulawiti au Ufiraji au ubakaji. Matendo ni yaleyale na yote yanahusisha kushindwa kudhibiti Mihemko ya kimwili lakini pia tamaa mbaya isiyo na mipaka inayohusu kufanya matendo machafu.

Jambo lolote linalohusu malezi halina uhusiano na mambo ya Homoni.

Mtu anayebaka huwezi sema amekumbwa na tatizo la homoni. Au mtu mfiraji au mlawiti huwezi sema amekumbwa na tatizo la ushoga.

Ushoga ni maamuzi wakati tatizo la homoni sio uamuzi wa mtu.
Shoga anauwezo wa kuacha kuwa shoga kama alivyokuwa na uamuzi wa kufanya ushoga.

Ni kama ishu ya Wanaume kupenda wanawake wengi. Hilo sio tatizo la homoni isipokuwa na maamuzi na kujiendekeza.

Watu wanaotetea mashoga ndio haohao wenye uwezo wa kutaka kulala na Baba au mama zao. Au wenye uwezo wa kutoka na mabinti au vijana wao.

Wanaume wanaotetea mashoga kikawaida ndio haohao wenye uwezo wa kufira au Kufirwa na vijana wao. Au ndio wale wajomba ambao wanafira Wapwa wao. Wala hakuna haja ya kupindisha maneno. Kwa sababu huo ndio ukweli.

Wamama wanaotetea Wasagaji ndio haohao ambao wanauwezo wa kuwasaga mabinti zao wa kuwazaa au mabinti kusaga mama zao waliowazaa. Au mashangazi kusaga mabinti wa Kaka zao.

Muogope sana mtu ambaye ni shoga. Ni kama Mbakaji au mlawiti. Hana tofauti na mnyama kwa sababu hawana uwezo wa kujidhibiti. Wanaongozwa na tamaa.

Huwezi tamani Kufirana na mwanaume mwenzako alafu ukasema ni tatizo la homoni. Alafu Watu wakutetee kama Watu hao sio wapenzi wa jambo hilo. Hiyo haiwezekaniki kabisa.

Unajua binadamu hutetea jambo ambalo anamaslahi nalo iwe moja kwa moja au kwa kificho.
Wapo wanaogopa au kuona aibu kuwa mashoga na hivyo hujificha kwenye kutetea mashoga huku wao wakijifanya sio mashoga ili jambo hilo likizoeleka au kukubalika iwe rahisi kwao kujiingiza humo.

Nina kuhakikishia kuwa siku ushoga ukikubalika kwenye jamii na duniani. Utashangaa Baba na kijana wake wanafirana. Au Mama na binti yake wanasagana.

Hilo litatokea kwa hakika kwa sababu kama mtu ameshindwa kujizuia tamaa yake mpaka amekuwa shoga atawezaje kujizuia kumfiraau Kufirwa na Baba au kijana wake? Au atawezaje kujizuia kusagwa au kumsaga mama au binti yake. Hiyo haiwezekaniki.

Kikawaida Watibeli, sheria ya mashoga inafahamika, Ni Kifo bila kujali ni Mimi mwenyewe, mtoto wangu, Baba au ndugu yeyote. Halikadhalika na wasagaji. Ni kifo tuu. Ni kama Wabakaji na walawiti na wafiraji nao ni kifo tuu.

Nafahamu shetani na waovu hutetea haki za waovu ili kujilinda wao na kizazi chao.

Hata hivyo nafahamu wapo Mashoga ambao chanzo cha ushoga wao ni kulawitiwa na Baba au Wajomba au kaka zao kwa muda mrefu kimabavu mpaka wameathirika kisaikolojia.
Hawa ni kesi nyingine. Hawa wachukuliwe kwa matibabu lakini lazima wataje waliowabaka au kuwalawiti ili hao waliowalawiti na kuwabaka wachukuliwe hatua kali.
Hata hivyo inawezekana mtu akawa shoga kisha akasingizia chanzo cha ushoga wake ni kulawitiwa kwa muda mrefu alafu akataja mtu ambaye marehemu.
Au akamsingizia mtu ambaye hata hajawahi kufanya jambo hilo.
Hivyo ni lazima uwekwe utaratibu mzuri wa kudili na matukio haya.

Nawatakia jumapili njema!

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mwanafunzi mmoja shoga wa Secondary ya Ilala alinitongoza na ahadi ya fedha nini nini tatizo?.
 
Unamshindaje usiye mwona ,wao MALAIKa watatu ndo wanauwezo wakuonana na kutufubaza akili kwamba wanafukuzanaga mmoja akizingua (mungu ,shetani na yesu)
Unashinda kupitia nguvu ile kuu kuliko shetani.
 
Sikusema sheria zifutwe! Read carefully. Nimesema sheria kali haziondoi tatizo. eg kama watu wanaiba kwa sababu ya njaa, ukiweka sheria ya kuua kila atakayeiba, haitasaidia. Busara ni kutafuta namna ya kuwafanya watu wasiwe njaa. Hivyo hivyo, sheria kali kwa ushoga haitasaidia. Busara ni kutafuta kwa nini watu wanakuwa mashoga na kuondoa zile sababu.
Ushoga ni ajenda ya shetani ili Mungu achukie
 
Ila elewa kuwa lolote unaloweza kumfanyia Mtu Mwingine liwe zuri au baya basi unaweza kumfanyia Baba au mama au bintî au ndugu yako. Hiyo ndio kanuni ya uchafu na uharibifu.
Kama 60% wanaingilia kinyume wake zao mbona kesi za ubakaji sijasikia 60% ya wanaobakwa Tanzania hubakwa na watoto au wazazi wao?

Usiongee mambo bila proof, kesi za ubakaji ndani ya familia ni less than 8% hizo 91% ni ubakaji wa strangers!!

Ukitaka kujua unachoongea ni pumba wale paedophile kma Jeffrey Epstein au Philip Meltzeider mbona wamebaka under age watupu pekee na hawakubaka watu wazima wenzao au wazazi wao?? Fantasy huwa ni SPECIFIC ukipenda kulala na wanawake wenye makalio haimaanishi utapenda kulala na dada yako kisa ina makalio!!

What the hell
 
Ipo hivi,ukiwa freemason kuna level ukifika ni lazima ufanyiwe ushoga,unafanyiwa jambo lolote la kukuumiza au kuudhalilisha utu wako ili uzidi kuwa maarufu hili jambo wao uliita humiliation ritual kufanya jambo ambalo litakuumiza kumfurahisha shetani. Au sadaka ya kujiteketeza au kujimaliza.Mara nyingi Kwa mwanaume ni kuingiliwa ( ushoga ) ili kuimarisha agano.
Watu maarufu wote wamefanya hili kina Jay z,Obama,joe Biden,papa,nk wote wale speaker zipo wazi,kwa sababu wao tayari walishafanyiwa wanakuwa na nguvu kubwa sana ya kuyachochea haya kwenye jamii kwa kutoa pesa nyingi sana kufanikisha hili
Ni sawa na mtu aliyetapeliwa anatamani na wengine watapeliwe ili kufidia uchungu.
Ndo maana unaona wanapigia sana debe ushoga kwa sababu tayari wao ni mashoga
Vip kwa hapa bongo
 
Usikimbie hoja we umesema wanaume kuwa na tamaa kufanya ngono na wanawake wengi haina uhusiano na hormone nimekuwekea tafiti hapo.
Homoni ya testosterone inachangia kukuza shauku na hamu ya ngono(Libidi) kwa mwanaume lakini haimfanyi mwanaume kutamani wanawake wengi. Unachanganya mambo.
Mwanaume anaweza kuwa na kiwangi kingine cha testosterone lakini akaweza kudhibiti tamaa yake ya kuwa na wanawake wengi.

Hapohapo mwanaume anaweza kuwa na kiwango kidogo cha testosterone na akàwa na tamaa ya kulala na wanawake wengi. Hivyo homoni haichangii kwa namna yoyote mtu kuwa na tamaa ya kufanya zinaa.

So umepotosha, punguza ujuaji kama huna uelewa na somo husika.
Wewe ndio unapotosha.
Kuhusu estrogen kuongeza "muonekano wa kike" na kukuza maumbile kama matiti na kuondoa ndevu kuota soma tafiti hii hapa from a credible journal.

Hormone therapy for transgender patients

Kabla hujaleta mada fanya tafiti za kutosha.

Sasa tuambie ni kwa namna ipi estrogen inachochea mwanaume kuwa shoga.
Kwa sababu ushoga sio maumbile bali ni tabia kama wizi, ubakaji, ulawiti, Ufiraji.

Alafu Watu watajua mimi na wewe nani mjuaji.

Kwa hiyo wewe ukizaa mtoto wa kiume akafanana sura kama mkeo(mama yake) ndio inapelekea awe shoga?
Hizo elimu na sayansi mlisomea wapi?

Au mtu akiwa na vidole vya kike ndio anakuwa shoga?
Unashindwa kutofautisha hulka, silika na maumbile sio
 
Ushoga ni ajenda ya shetani ili Mungu achukie
Shetani anasingiziwa vingi. Kuna mchungaji mmoja alikamtwa na mke wake, kwenye mkoba wake kuna kondomu tatu zilizotumika. Akajitetea kwa kusema: mke wangu naomba unisahamehe. Ni shetani amenidanganya. Mke wake akamjibu huku anahesabu zile kondomu: ''hakika hawa watakuwa shetani watatu, siyo mmoja''
 
Kama 60% wanaingilia kinyume wake zao mbona kesi za ubakaji sijasikia 60% ya wanaobakwa Tanzania hubakwa na watoto au wazazi wao?
Hujasikia Kwa Sababu hujafuatilia.
Fuatilia utajua wanaobakwa ni asilimia ngapi na sio ajabu ikawa zaidi ya hiyo asilimia 60%
Usiongee mambo bila proof, kesi za ubakaji ndani ya familia ni less than 8% hizo 91% ni ubakaji wa strangers!!
😄😄 Sasa hiyo less than 8% sio ubakaji? Hivi unajadili nini hapa?

Ukitaka kujua unachoongea ni pumba wale paedophile kma Jeffrey Epstein au Philip Meltzeider mbona wamebaka under age watupu pekee na hawakubaka watu wazima wenzao au wazazi wao?? Fantasy huwa ni SPECIFIC ukipenda kulala na wanawake wenye makalio haimaanishi utapenda kulala na dada yako kisa ina makalio!!

What the hell

Kam unapenda kulala na Wanawake wenye makalio, hiyo ndio fantasy yako na badala ya kulala na mke wako pekee ukatafuta wanawake zaidi. Elewa kuwa kama dadaako naye anamakalio unauwezo wa kulala naye tuu.
 
Back
Top Bottom