mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
KUNA VITU UNALETAGA HUMU WANAISHIA KUKUTKANA NA DISSUmelipwa Tsh ngapi ili Kunitega niingie Nyavuni Mkuu?
NYINGI
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KUNA VITU UNALETAGA HUMU WANAISHIA KUKUTKANA NA DISSUmelipwa Tsh ngapi ili Kunitega niingie Nyavuni Mkuu?
Bado sana. Mpaka siku binti au dada anakumbwa na masaibu haya ndiyo mtu unashtuka. Mfumo dume bado unatawala japo nimeona hata baadhi ya wanawake wenyewe wanaunga mkono. Badooo!
Mbona hio chupi sijaiona🧐View attachment 2791151
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu:
Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.
“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.
“Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.”
Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.
“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.
“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.
“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
Mzee demu akiwa period alaf akaogelea kweny maji machafu kama yale ya Coco risk ya kupata infection ni kubwa.Maji yana chumvi sana pale Coco , uke unajisafisha!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah!! Binti alikaa mkao mzuri[emoji39][emoji39][emoji39]
Kamanua, Manuuu,....... mguu bara mguu pwani.[emoji23]
Dah!! Binti alikaa mkao mzuri[emoji39][emoji39][emoji39]
Kamanua, Manuuu,....... mguu bara mguu pwani.[emoji23]
Mods wamepita nao 😅😅😅Nakubaliana na wewe mkuu 😂😂😂🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝
Kichwa muda kiko active na midinyo 🤣🤣🤣🙈🙈
Nimefanyaje tena.😂
Utaanza na mimi nini wakati ndo nataka niende huko Kawe beach nikatafute kazi ya u beach boy.Na ujue tutaanza na wewe..
Na utawataja wenzako 😂😂😂😂😂
Kizaz hicho kishapotea,kishashindikanaimagine, angekuwa binti yako, ungemwita "demu lenyewe mcharuko"? wanahitaji kusaidiwa.
Kweliii mkuu..Mods wamepita nao 😅😅😅
Kizazi hiki cha singeli amapianoUko sahihi kabisa, Hawa wengi wao ni vijana balehe waliokosa malezi na makuzi sahihi na matokeo yake wanajidanganya na kudanganywa vilevile. Mwisho wa siku ni hasara kwao kwa utitiri wa maradhi, mimba za utotoni na kisha labda vifo na kutuachia baadhi ya Yatima tunaanza kuhangaika nao. Mtu mmoja amesema niachane na haya nishughulike na Makundi ya wenye uhitaji. Na mm nikamrejesha kwenye genesis ya baadhi ya watu wa makundi hayo. Sijui kama kanielewa hoja yangu. Clegy
Sent from my CPH2207 using JamiiForums mobile app
Tunaanza na nyie chipukizi ili tujue walimu wenu wapo wapi na tunawapataje...Utaanza na mimi nini wakati ndo nataka niende huko Kawe beach nikatafute kazi ya u beach boy.
Ova Ova OvaKizazi hiki cha singeli amapiano
Kinaleleka kwani
Kishapotea kwanza hawasiki hawaambiliki
Ova
Wakitoka hapo wanaenda wavuvi kmpKwann huwa wanaenda huko beach? Afu hawakomi tyuuh. Khaaaj
Starehe ya dunia hii.Kichwa muda kiko active na midinyo 🤣🤣🤣