Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 12,675
- 25,924
mbona unakata tamaa mapema sana, siso sote tushakuwa wachafu sana ujanani huko ila tulisaidiwa tukabadilika na tumekuwa watu wema. mtu yeyote hata hao unaowaona wamepotea wanaweza kubadilika. ila cha msingi kuongelea hapa ni suala la jinai ya ubakaji, hilo linatakiwa lipigwe vita na kila mtu.Kizazi hiki cha singeli amapiano
Kinaleleka kwani
Kishapotea kwanza hawasiki hawaambiliki
Ova
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.
Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.
Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Nina watoto wawili wa kiume na wa kike....mpk leo hii hawajui singeli wala amapiano ni niniOva Ova Ova
Ova nyingi mno [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1666][emoji1666]
Duuh mkuu upo strictly sana inaelekea...!!???Nina watoto wawili wa kiume na wa kike....mpk leo hii hawajui singeli wala amapiano ni nini
Mitoto sahv kila unayemuliza role model wako nani anakuambia msanii wa amapiano,sjui singeli bongo movie
Tatizo hilo tunalo kwenye taifa
Ova
Kizaz hiki siyo mkuumbona unakata tamaa mapema sana, siso sote tushakuwa wachafu sana ujanani huko ila tulisaidiwa tukabadilika na tumekuwa watu wema. mtu yeyote hata hao unaowaona wamepotea wanaweza kubadilika. ila cha msingi kuongelea hapa ni suala la jinai ya ubakaji, hilo linatakiwa lipigwe vita na kila mtu.
Wasichana na wanawake wanafahamu sana wanakwenda kufaya nini huko.View attachment 2791151
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu:
Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.
“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.
“Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.”
Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.
“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.
“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.
“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
Mimi kwa hili serikali ni lazima imkamate huyu kijana ili iwe fundisho kwa wengine picha yake inaonekana wazi kwanini wanavumbia macho haya mambo? kuna watu wanakula miaka 30 kwa kubaka na ushahidi wa kuunga unga, Hawa vijana hakuwezi kuwa na clip namna hii inatembea halafu watu wanafumbia macho, na nasema hawa vijana wasiachwe. Ziko wapi Ngo za wanawake sijui haki za binadamu? wanafanya nini? picha hiyo hapo kamateni iwe funzo upumbavu kama huu kufanyiwa watoto wa kike waziwazi. Najuwa na wanawake kuna kujifunza kwanini unakubali kuingia majini na watu huwajui.
Siyo kizazi, ni wazazi.Kizaz hiki siyo mkuu
Kizaz hiki inatakiwa nguvu ya ziada
Maisha ya anasa,fursa zimeelekezwa
Kwenye anasa
Watoto nao wanaona fursa huko kumbe wanapotea
Ova
Nyingi zipo katika kubomoa maadili siyo kujenga maadili.Yaani hizi NGO uchwara zimekomalia mambo mengine ila ishu sensitive kama hizi wanazipita tu kama awaoni.
Labda wanafaidika.
😂😂😂 wewe umezidi mwenzetu itakuwa unatype uku mnara unasomaStarehe ya dunia hii.
Wengi wanapendaHili lina miaka mingi sana linafanyika sasa sijui kwanini wanawake hawataki kujifunza licha ya mambo haya kuzungumzwa kila jukwaa.
Mh. Tunashukuru kama umelipokea hope utatumia vyombo vyako kuchunguza hili maana video za matukio hayo zimekuw zikiine ,Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.
Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.
Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Wanawake wote kwanza wanaoendaga huko na kutaka fundishwa ogelea huwa ni micharuko tu
Acha wapelekewe moto shauri zao
Ova
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakua pweche pweche.Wakitoka hapo wanaenda wavuvi kmp
Wakitoka hapo element kudanga,wakitoka hapo kidimbwi wakitoka kidimbwi tabata
Ukiwaona kesho yake wamechakaaa
Ova
Hakuna cha ngoNyingi zipo katika kubomoa maadili siyo kujenga maadili.
Hujamsikia Mwakyembe?
Miaka yetu tulikuwa na beach partyUmenichekesha sana ulivyosema neno "Mcharuko" [emoji23]
Ila ni kweli... wengi wao huwa wanatoka uswahilini, wanakodi magari na bajaj na huwa ni micharuko kweli sio uongo
Tatizo au matatizo yanajulikna, suluhisho nini? Hilo ndilo la msingi.Hakuna cha ngo
Aina ya maisha pia sahvv watu wanayoishi
Kuanzia asubuhi radio znapiga miziki tuuu,matamasha kila kukicha
Kila mtoto anatak kuwa kama zch au mbto
Mzaz kutwa yuko kwenye singeli na vicoba unategemea mtoto atakuwaje
Ova
Kila binti anataka kuwa kama m.birian[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakua pweche pweche.