Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
- Thread starter
-
- #321
Mabinti wa 2000's wasome gazeti, wasikilize kipindi ITV, wajiunge JF na media za habari?Hili limezungumzwa sana, hata kuna siku lilifika kwa viongozi, hao mabinti labda taarifa hazijawafikia au tunasema wageni mjini.
Hizi video za wapenzi kabisa hizi . Mtu anabakwa na kakaa style?Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu.
Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.
“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.
Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.
Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.
“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.
“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.
“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
JF Wameikata, nafikiri ilikuwa inamuonyesha vibaya zaidi.Mbona sijaona kwenye video hapo msichana anapopandisha hiyo chupi au simu yangu mbovu.
Hapo sawa mkuu nilishaanza kuwa na wasiwasi na hii tecnoJF Wameikata, nafikiri ilikuwa inamuonyesha vibaya zaidi.
Mtu anabakwaje na style ileee? Ile style haiwez kuwa justifiable kisayansi kama kabakwaSkia dada nkupange huyu mtoa mada aliamua kupotosha tu kuonesha huyo mdada kabakwa, full video inaonesha walidinyana vzr na wakatoka kwenye maji wakawa wanashikana vizuri mpaka huyo mdada anarekebisha Pete
Kile kitombo kilifanyikia maji mafupi sio maji marefu, maji marefu huwezi mbato😁 wazoefu wananielewa hapa
Ni kweli alionekana live kabisa inasikitishaJF Wameikata, nafikiri ilikuwa inamuonyesha vibaya zaidi.
Asante Dr kwa kuliona hili ni janga kubwa sana.Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.
Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.
Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Mungu mwema kaka nashukuru bado sijarudi, lakini next year ni hakika vipi bado mbagala ?Ndiyo. Afrika yetu hii tunajuana sisi kwa sisi...
Naendelea vizuri sana. Vipi wewe? Bado chimbo au usharudi?
Naziomba pmkitambo sana mzee
Beach zetu zimekosa watu wa Life saving Guard na Coast Guard.Wacha kwanza Mh GWAJIMA aende na hili la WANAWAKE kubakwa mbele za wazazi wao coco Beach na Kawe na Kigamboni pale mikadi.
Serikali impatie Mh Gwajima fedha za ku-monitor beaches zote.
bunge litunge sheria kali maana sasa hawa watu wamezidi.
Safi sana bro. Ndiyo. Mi niko huku Uswahilini Mbagala. Ukirudi tutafutane aisee 🙏🏿Mungu mwema kaka nashukuru bado sijarudi, lakini next year ni hakika vipi bado mbagala ?
Inashangaza kuwa wanakosa kutumia akili ndogo tu hata ya mtoto wa miaka mitano. Hawaangalii risks za kina kirefu majini, hawajiulizi kuwa inawezekanaje kumwamini mtu usiyemjua....maswali ni mengi, mwisho tunasema mambo mengine ni ya kujitakia tu.Hivi hao wanawake hawakomi tu kwenda huko.
Ova
Bwana Offshore Seamen mawazo mazuri Mhusika kwenye wizara husika anaweza kuchukua hatua.Beach zetu zimekosa watu wa Life saving Guard na Coast Guard.
Mtaani tuna vijana wanafanya kazi za kulinda kama polisi jamii na wamesaidia kupunguza uhalifu.
Nchi za wenzetu kwenye beach za Public kuna kuwa na vijana au watu maalum kwa ajili ya uokozi na ulinzi wa beach. Wanakuwa wamepata mafunzo ya awali ya uokoaji, beach watu wanapoenda kutalii kuna vifo vya kuzama,mtu kuanguka kwenye maji sisi hilo hatuoni.
Beach boys sehemu za wenzetu hawezi hakafanya hicho kitu endapo akijaribu watu wa life guard humkamata na wanapewa vitendea kazi kama boti,life jacket, radio call. Hii inasaidia sana kupunguza matukio maovu na vitendo vya kudhalilisha utu wa mwanamke.
mzee, mbona video bado ipo kwenye post ya mtoa madaNaziomba pm
nimeifuta, kumbe alikuwa kimaslahi, japo iko hotUmeshasave video kwa raha zako 🤣🤣🤣
Acha kuamini ujinga ujinga... Wapenzi hao...mbakaji angeruhusu video!??Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu.
Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.
“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.
Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.
Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.
“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.
“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.
“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
Ni wale wanaobakwa baharini tu au hata huku mitaani wanabakwa tu na wanaona aibu kusema?Mkuu wasichana Wengi hua wanaona aibu kusema kitu cha fedheha kama hicho wanaona bora wakae kimya ndo maana huwasikii wahanga wa kubakwa.