DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Hili limezungumzwa sana, hata kuna siku lilifika kwa viongozi, hao mabinti labda taarifa hazijawafikia au tunasema wageni mjini.
Mabinti wa 2000's wasome gazeti, wasikilize kipindi ITV, wajiunge JF na media za habari?
My dear, hao ukitaka wapata taarifa mlipe MANGE KIMAMBI awapost au Hamisa Mabeto, they dont care of news!
Hata ukitanga kwenye media zote kuwa na tetemekeo la ardhi hawa wanwake watangazie hiyo habari kwa Mange, Zari na Mabeto.
 
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu.

Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.

“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.

Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.

Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.

“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.

“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.

“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
Hizi video za wapenzi kabisa hizi . Mtu anabakwa na kakaa style?
 
Skia dada nkupange huyu mtoa mada aliamua kupotosha tu kuonesha huyo mdada kabakwa, full video inaonesha walidinyana vzr na wakatoka kwenye maji wakawa wanashikana vizuri mpaka huyo mdada anarekebisha Pete

Kile kitombo kilifanyikia maji mafupi sio maji marefu, maji marefu huwezi mbato😁 wazoefu wananielewa hapa
Mtu anabakwaje na style ileee? Ile style haiwez kuwa justifiable kisayansi kama kabakwa
 
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Asante Dr kwa kuliona hili ni janga kubwa sana.

Wanawake wengi wamebakwa ila wanaona aibu kusema jaribu kuweka mitego kwa wale vijana beach boy utawapata wahusika.
 
Wacha kwanza Mh GWAJIMA aende na hili la WANAWAKE kubakwa mbele za wazazi wao coco Beach na Kawe na Kigamboni pale mikadi.
Serikali impatie Mh Gwajima fedha za ku-monitor beaches zote.
bunge litunge sheria kali maana sasa hawa watu wamezidi.
Beach zetu zimekosa watu wa Life saving Guard na Coast Guard.

Mtaani tuna vijana wanafanya kazi za kulinda kama polisi jamii na wamesaidia kupunguza uhalifu.

Nchi za wenzetu kwenye beach za Public kuna kuwa na vijana au watu maalum kwa ajili ya uokozi na ulinzi wa beach. Wanakuwa wamepata mafunzo ya awali ya uokoaji, beach watu wanapoenda kutalii kuna vifo vya kuzama,mtu kuanguka kwenye maji sisi hilo hatuoni.

Beach boys sehemu za wenzetu hawezi hakafanya hicho kitu endapo akijaribu watu wa life guard humkamata na wanapewa vitendea kazi kama boti,life jacket, radio call. Hii inasaidia sana kupunguza matukio maovu na vitendo vya kudhalilisha utu wa mwanamke.
 
Hivi hao wanawake hawakomi tu kwenda huko.

Ova
Inashangaza kuwa wanakosa kutumia akili ndogo tu hata ya mtoto wa miaka mitano. Hawaangalii risks za kina kirefu majini, hawajiulizi kuwa inawezekanaje kumwamini mtu usiyemjua....maswali ni mengi, mwisho tunasema mambo mengine ni ya kujitakia tu.

Vv
 
Beach zetu zimekosa watu wa Life saving Guard na Coast Guard.

Mtaani tuna vijana wanafanya kazi za kulinda kama polisi jamii na wamesaidia kupunguza uhalifu.

Nchi za wenzetu kwenye beach za Public kuna kuwa na vijana au watu maalum kwa ajili ya uokozi na ulinzi wa beach. Wanakuwa wamepata mafunzo ya awali ya uokoaji, beach watu wanapoenda kutalii kuna vifo vya kuzama,mtu kuanguka kwenye maji sisi hilo hatuoni.

Beach boys sehemu za wenzetu hawezi hakafanya hicho kitu endapo akijaribu watu wa life guard humkamata na wanapewa vitendea kazi kama boti,life jacket, radio call. Hii inasaidia sana kupunguza matukio maovu na vitendo vya kudhalilisha utu wa mwanamke.
Bwana Offshore Seamen mawazo mazuri Mhusika kwenye wizara husika anaweza kuchukua hatua.
Pale Salander bridge kumekuwa na uporaji miaka nenda rudi, sasa naona polisi imebid waweke ulinzi 24/7 basi Hata fukwe zetu inawezekana.
Ninacho shangaa wanawake tuliopo mitandaoni hawa shughuliki na issue zetu ni wachche wenzetu wapo page ya Diamond mdhalilishaji wa wanawake.
 
Angalia huyu binti hapo amefanya sex mbele ya ndugu zake na wazazi bila kujua, anatoka akipandisha chupi na hawezi kusema kutokana na aibu.

Watu wanapokwenda beach, wasichana wengi wanapenda kuogelea na wengi wao hawajui, hivyo wale Beach Boys wanaokodisha maboya huingia nao kwenye maji kwa lengo la kuwafundisha.

“Kinachofuata sasa, Beach Boys hupeleka boya hadi kwenye kina kirefu, wakifika huko kijana huomba apewe penzi huku akimtishia mdada kuwa akigoma anamuachia afe.

Mdada akijifanya mbishi anazamishwa, anakunwya maji kidogo kisha anaibuliwa, akishaona mlango wa kuzimu anakubali kiulainii. Kwa staili hii wadada wengi wamepewa mimba na kuambukizwa magonjwa.

Mmoja wa mabinti aliyewahi kufanyiwa mchezo huo aliyeomba hifadhi ya jina lake alidai kuwa, kuna wakati alifika na wenzake kwa lengo la kufundishwa kuogelea lakini kilichompata hatasahau.

“Mimi kila wakati nikienda kule beach natamani sana kuogelea lakini nilikuwa siwezi ndo nikaambiwa wale vijana wanaokodisha yale maboya ukitaka wanakufundisha.

“Siku moja nikaenda pale, nikaongea na kijana mmoja ambaye alikubali kunifundisha kwa malipo ya shilingi elfu tano. Wakati ananifundisha akawa ananipeleka kwenye sehemu yenye maji mengi, tukaenda mbali sana ambako nisingeweza kurudi peke yangu.

“Huko akaanza kunitaka nimpe penzi huku akisema hata nisipomlipa, kwa kweli nilichangayikiwa. Wakati najifikiria alishaanza kunichezea kisha akanibaka,” alidai binti huyo.
Acha kuamini ujinga ujinga... Wapenzi hao...mbakaji angeruhusu video!??
 
Back
Top Bottom