Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Ni wale wanaobakwa baharini tu au hata huku mitaani wanabakwa tu na wanaona aibu kusema?Mkuu wasichana Wengi hua wanaona aibu kusema kitu cha fedheha kama hicho wanaona bora wakae kimya ndo maana huwasikii wahanga wa kubakwa.
Muhimu, sasa mtu alivyojichanua hivyo mnara unaachaje kusoma 5G!?😂😂😂 wewe umezidi mwenzetu itakuwa unatype uku mnara unasoma
breki MBUPUMguu shingo, mguu roho[emoji38][emoji38]
Ni wale wanaobakwa baharini tu au hata huku mitaani wanabakwa tu na wanaona aibu kusema?
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.
Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.
Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.
Mkuu kumbe wadau tuko wengi?[emoji1787]Kavideo katamu chaputa akikaa kimasihara anaweza kukatumia kama material
Hapo mbinu simple tu ni kuandaa watu wa kazi (kitengo) anaandaliwa mdada mbichi kabisa mzoefu wa kazi na mwenye mafunzo ya kuogelea anaenda pale na kujifanya anataka kujifunza kuogelea hapo beach boy mbakaji akiona hicho kibinti anajua ameokota dodo kwenye mnazi anazama nacho maji marefu na kuanza michezo yake hapo hapo binti anafanya yake wanapiga pingu wanasepa naye akataje na wenzake wenye hiyo michezo.Mh
Mh.inabidi muandae operations maalumu kwa siri kwenye beach zote za dar na watu WA usalama ili kushuhudia na mkiwabaini wahusika na wahanga WA Ivyo vitendo mnawatia kwenye vyombo vya sheria
Duh.! Mkuu na wewe umo?Nimependa zaidi ALIVYOICHANUA / ALIVYOIACHANISHA Miguu yake. Nimeshamnakili Sura yake nitamtafuta ili tufanye yetu nchi Kavu Gesti au Loji.
Hapo lazima unyetuke au ukanunue wahaya Buguruni pale ndo bei zao ni elekezi halafu unapewa na receipt ya EFD kabisa.Mimi tayari Nyege zimeshanipanda na Mademu zangu Wote utafikiri waliambiana au wana Agenda Maalum kwani kila ninayempigia Simu kutaka Mbunye yake / zao anasema / wanasema kwa sasa Bwawa lake la Mindu limefurika labda nisubirie likauke baada ya Siku Nne hadi Saba.