DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

DOKEZO Ubakaji wa kutisha Coco beach, Kawe beach na Kigamboni, wanaharakati wa kike kimya

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Mkuu wasichana Wengi hua wanaona aibu kusema kitu cha fedheha kama hicho wanaona bora wakae kimya ndo maana huwasikii wahanga wa kubakwa.
Ni wale wanaobakwa baharini tu au hata huku mitaani wanabakwa tu na wanaona aibu kusema?
 
Nimeiangalia tena ile clip mbona naona kama binti amekula mtungi maana baada ya kuipandisha ile nguo yake na kuanza kutembea kutoka baharini ni kama anayumba inawezekana wamekulana kwa maelewano.
 
😂😂😂 wewe umezidi mwenzetu itakuwa unatype uku mnara unasoma
Muhimu, sasa mtu alivyojichanua hivyo mnara unaachaje kusoma 5G!?

Nawaza pale kati ndio ningekuwa mimi, nahangaikia kuendeleza uzao wetu wa group 0 🤣😂
Yaani ni kukaza kama vile mwanafunzi aliyetumwa na kijiji kusoma.😂
 
Tafadhali wote wenye ushahidi au taarifa juu ya huu ukatili wanitumie ujumbe kwenye namba 0765345777 au 0734124191 ili tuelewe vizuri zaidi tupange uchunguzi kwa hatua zaidi. Na iwapo jambo hili lipo, huu ni unyanyasaji wa kijinsia na tukimpata au kuwapata hawa makatili, watatutajia mnyororo mzima uchukuliwe hatua. Aidha , taarifa zitasaidia kumulima utaratibu mzima wa hizi huduma.

Lakini ndugu wanawake na mabinti, jilindeni na huduma ambazo hazina usajili au utaratibu rasmi popote pale, ni hatari.

Naitwa Dkt Gwajima Dorothy Waziri wa Maendeleo ya Jamii Jinsia Wanawake na Makundi Maalumu. Ahsante Sana.

Mama mbona kama binti mwenyewe anatoa ushirikiano
 
Mh

Mh.inabidi muandae operations maalumu kwa siri kwenye beach zote za dar na watu WA usalama ili kushuhudia na mkiwabaini wahusika na wahanga WA Ivyo vitendo mnawatia kwenye vyombo vya sheria
Hapo mbinu simple tu ni kuandaa watu wa kazi (kitengo) anaandaliwa mdada mbichi kabisa mzoefu wa kazi na mwenye mafunzo ya kuogelea anaenda pale na kujifanya anataka kujifunza kuogelea hapo beach boy mbakaji akiona hicho kibinti anajua ameokota dodo kwenye mnazi anazama nacho maji marefu na kuanza michezo yake hapo hapo binti anafanya yake wanapiga pingu wanasepa naye akataje na wenzake wenye hiyo michezo.
Sema ndo ivo tena idara zetu za usalama nchini mwetu ziko kwa kazi moja tu ya kulinda maslahi ta ccm basi
 
Mimi tayari Nyege zimeshanipanda na Mademu zangu Wote utafikiri waliambiana au wana Agenda Maalum kwani kila ninayempigia Simu kutaka Mbunye yake / zao anasema / wanasema kwa sasa Bwawa lake la Mindu limefurika labda nisubirie likauke baada ya Siku Nne hadi Saba.
Hapo lazima unyetuke au ukanunue wahaya Buguruni pale ndo bei zao ni elekezi halafu unapewa na receipt ya EFD kabisa.
 
Hili tatizo lishakua kubwa ndiyo maana dolia ilikuaga kali kipindi fulani, hawa jamaa wachukuliwe hatua
 
Back
Top Bottom