Ubalozi wa China Tanzania na Barrick (Kampuni ya Twiga) zatoa misaada kwa Serikali kusaidia kupambana na Corona

Ubalozi wa China Tanzania na Barrick (Kampuni ya Twiga) zatoa misaada kwa Serikali kusaidia kupambana na Corona

Wacha1

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2009
Posts
16,681
Reaction score
8,241
Twiga Minerals Corporation, a joint venture between Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) and the Tanzanian government, has announced a support program to assist the country in combating and containing the Covid-19 pandemic.

Barrick's chief operating officer for its Africa and Middle East region, Willem Jacobs, said in addition to measures already introduced to protect workers and their families living and around its mines, the company was contributing $1.7 million in the form of critical equipment and expertise to help prevent the spread of the virus in Tanzania.

Of this amount, $960,000 is destined for the national level, $505,000 to the regional level and $250,000 to the local level.

Jacobs said at the national level Barrick would be concentrating its efforts and contributions on Mloganzila as an isolation unit for confirmed cases and the Mabibo hostel as a quarantine centre. Regional support will be focused on Musoma, Shinyanga and Geita where isolation centres will be created and equipped. The company is engaging with the relevant regional commissioners to convert its support into immediate action.

Jacobs said as a committed partner to Tanzania it would also be keeping its mines operational during this challenging period to support the country's economy. It was also engaging with its contractors and suppliers to enlist their support for the cause.


KUHUSU CHINA KUTOA MSAADA TANZANIA
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kukabiliana na ugonjwa huo, hadi hapo utakapomalizika.

Akipokea vifaa hivyo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema msaada huo utaenda kwa watumishi wa afya kote nchini kwani serikali imetoa kipaumbele cha kwanza kwao ili kuweza kuwakinga na maambukizi ya Covid-19. “kwa niaba ya serikali tunaishukuru sana Serikali ya China kwa mchango huu, na niendelee kuwathibitishia wale wote mnaoisaidia Serikali ya Tanzania,msaada huu tutaupeleka kwa watumishi wa afya,kipaumbele ni kuwakinga watumishi wa afya wasipate maambukizi”

Ummy Mwalimu amesema msaada huo uliotolewa na ubalozi wa China nchini Tanzania ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliothibitika kuwa na ugonjwa wa corona, Barakoa (Mask) 100,000 pamoja na Vipima joto vya mkono(thermal scanner) 150.

Kwa upande wake balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Wang Ke amesema nchi yake na Tanzania ni marafiki kwa muda mrefu na ugonjwa huo ulipoikumba Nchi yao kwa mara ya kwanza, Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kuwaunga mkono katika mapamabana dhidi ya ugonjwa huo, hivyo na wenyewe wamejitoa kuisaidia kukabiliana nao.

Mhe.Wang Ke amesema Serikali ya China kwa sasa imechukua hatua na kujitoa rasmi kuwa nchi itakayoisaidia Tanzania katika misaada ya dharura ya vifaa kinga ambayo itasaidia kuweza kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Katika mwendelezo wa kuisadia vifaa kinga Serikali ya Tanzania, kwa mara nyingine tena inatarajia kupokea msaada wa vifaa tiba vya kusaidia wagonjwa kupumua (Ventilator) 500 kutoka kwa mfanyabiashara raia wa China Jack Ma.


Tunawapongeza kwa kujali Maisha ya Watanzania. Hongera sana Twiga kwa uamuzi huu.
 
  • Thanks
Reactions: UCD
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kukabiliana na ugonjwa huo, hadi hapo utakapomalizika.

Akipokea vifaa hivyo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema msaada huo utaenda kwa watumishi wa afya kote nchini kwani serikali imetoa kipaumbele cha kwanza kwao ili kuweza kuwakinga na maambukizi ya Covid-19. “kwa niaba ya serikali tunaishukuru sana Serikali ya China kwa mchango huu, na niendelee kuwathibitishia wale wote mnaoisaidia Serikali ya Tanzania,msaada huu tutaupeleka kwa watumishi wa afya,kipaumbele ni kuwakinga watumishi wa afya wasipate maambukizi”

Ummy Mwalimu amesema msaada huo uliotolewa na ubalozi wa China nchini Tanzania ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliothibitika kuwa na ugonjwa wa corona, Barakoa (Mask) 100,000 pamoja na Vipima joto vya mkono(thermal scanner) 150.

Kwa upande wake balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Wang Ke amesema nchi yake na Tanzania ni marafiki kwa muda mrefu na ugonjwa huo ulipoikumba Nchi yao kwa mara ya kwanza, Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kuwaunga mkono katika mapamabana dhidi ya ugonjwa huo, hivyo na wenyewe wamejitoa kuisaidia kukabiliana nao.

Mhe.Wang Ke amesema Serikali ya China kwa sasa imechukua hatua na kujitoa rasmi kuwa nchi itakayoisaidia Tanzania katika misaada ya dharura ya vifaa kinga ambayo itasaidia kuweza kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Katika mwendelezo wa kuisadia vifaa kinga Serikali ya Tanzania, kwa mara nyingine tena inatarajia kupokea msaada wa vifaa tiba vya kusaidia wagonjwa kupumua (Ventilator) 500 kutoka kwa mfanyabiashara raia wa China Jack Ma.
 
Kama taifa tunapaswa kuwa makini sana na misaada toka nje ili kupambana na Covid-19. So far bado kuna wingu zito kwao sijajua wamefikiaje hatua ya kutoa msaada.

Tusipo kuwa makini tunaweza kujikuta maambukizi yakiongezeka sana baada ya 'misaada' hii kuingia nchini.

Mungu awajalie hekima hawa viongozi wetu, sioni sababu ya Tz kuwa kipaumbele cha misaada wakati hali ya maambukizi ipo chini sana (kwa mujibu wa takwimu zetu) ukilinganisha na maeneo mengine huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ubalozi wa China nchini Tanzania umeipatia Serikali msaada wa vifaa kinga kwa ajili ya kuendelea kupambana na mlipuko wa ugonjwa wa Covid 19 (Corona), na kuahidi kuendelea kushirikiana na Serikali ya Tanzania kukabiliana na ugonjwa huo, hadi hapo utakapomalizika.

Akipokea vifaa hivyo Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu amesema msaada huo utaenda kwa watumishi wa afya kote nchini kwani serikali imetoa kipaumbele cha kwanza kwao ili kuweza kuwakinga na maambukizi ya Covid-19. “kwa niaba ya serikali tunaishukuru sana Serikali ya China kwa mchango huu, na niendelee kuwathibitishia wale wote mnaoisaidia Serikali ya Tanzania,msaada huu tutaupeleka kwa watumishi wa afya,kipaumbele ni kuwakinga watumishi wa afya wasipate maambukizi”

Ummy Mwalimu amesema msaada huo uliotolewa na ubalozi wa China nchini Tanzania ni pamoja na mavazi (PPE) 1,000 ya kujikinga wakati wa kuhudumia watu waliothibitika kuwa na ugonjwa wa corona, Barakoa (Mask) 100,000 pamoja na Vipima joto vya mkono(thermal scanner) 150.

Kwa upande wake balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Wang Ke amesema nchi yake na Tanzania ni marafiki kwa muda mrefu na ugonjwa huo ulipoikumba Nchi yao kwa mara ya kwanza, Tanzania ilikuwa mstari wa mbele kuwaunga mkono katika mapamabana dhidi ya ugonjwa huo, hivyo na wenyewe wamejitoa kuisaidia kukabiliana nao.

Mhe.Wang Ke amesema Serikali ya China kwa sasa imechukua hatua na kujitoa rasmi kuwa nchi itakayoisaidia Tanzania katika misaada ya dharura ya vifaa kinga ambayo itasaidia kuweza kukabiliana na ugonjwa wa Corona.

Katika mwendelezo wa kuisadia vifaa kinga Serikali ya Tanzania, kwa mara nyingine tena inatarajia kupokea msaada wa vifaa tiba vya kusaidia wagonjwa kupumua (Ventilator) 500 kutoka kwa mfanyabiashara raia wa China Jack Ma.
Wachina ni washirika wetu! Kuna wengine watanuna (just jokking).
 
Kama taifa tunapaswa kuwa makini sana na misaada toka nje ili kupambana na Covid-19. So far bado kuna wingu zito kwao sijajua wamefikiaje hatua ya kutoa msaada.

Tusipo kuwa makini tunaweza kujikuta maambukizi yakiongezeka sana baada ya 'misaada' hii kuingia nchini.

Mungu awajalie hekima hawa viongozi wetu, sioni sababu ya Tz kuwa kipaumbele cha misaada wakati hali ya maambukizi ipo chini sana (kwa mujibu wa takwimu zetu) ukilinganisha na maeneo mengine huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo wewe unashauri wakatae mpaka wagonjwa wawe wengi?
 
Kama taifa tunapaswa kuwa makini sana na misaada toka nje ili kupambana na Covid-19. So far bado kuna wingu zito kwao sijajua wamefikiaje hatua ya kutoa msaada.

Tusipo kuwa makini tunaweza kujikuta maambukizi yakiongezeka sana baada ya 'misaada' hii kuingia nchini.

Mungu awajalie hekima hawa viongozi wetu, sioni sababu ya Tz kuwa kipaumbele cha misaada wakati hali ya maambukizi ipo chini sana (kwa mujibu wa takwimu zetu) ukilinganisha na maeneo mengine huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa hawa kidogo tunaweza waamini maana wanatutegemea Sana ktk kununua bidhaa zao!
Labda kama huo ugonjwa ni wakibiashara ndio walakini uzidi ila hata hivyo sitetei kuwa tuzembee kutokuwa makini umakini ni uhai wa taifa letu👍
 
Kama taifa tunapaswa kuwa makini sana na misaada toka nje ili kupambana na Covid-19. So far bado kuna wingu zito kwao sijajua wamefikiaje hatua ya kutoa msaada.

Tusipo kuwa makini tunaweza kujikuta maambukizi yakiongezeka sana baada ya 'misaada' hii kuingia nchini.

Mungu awajalie hekima hawa viongozi wetu, sioni sababu ya Tz kuwa kipaumbele cha misaada wakati hali ya maambukizi ipo chini sana (kwa mujibu wa takwimu zetu) ukilinganisha na maeneo mengine huko.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo misaada naigopa sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ummy yapaswa awe mwangalifu. wenzake wote wamevaa barakoa yeye ajiamini nini? hapo ukimwagwa upupu wa covid tunaweza kuongea mengine

achukue tahdhari asijiamini sana we still love her
 
Una maana inaweza kututokea puani
labda inaweza kuwa imenyunyiziwa inabidi nayo wiweke kwenye roomtemperture inyo kinzana na covid kisha ipigwe karantini kwa siku kadhaa
 
Back
Top Bottom