mamayoyo1,
Misaada mingine inafedhesha sana Africa, mask 100,000 ambazo hata Bakhresa anaweza akanunua na kutawanya bure. Angalia hizo mask 100,000 na propaganda inayoendelea China kuwa inassidia Africa. Shame on Tanzania.
mwaka 1995 wajapani walirudisha dollar 2000 walizotoa Senegal kisa kutunza heshima. Tumekuwa kama jalala la nchi nyingine kujipatia sifa.
jana na leo kule Guangzhou waTanzania wamefukuzwa kwenye nyumba zao eti wanaambukiza corona huku tunapokea mask laki moja. Tanzaniaaaaaaaaaa