Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.

Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa...
Ni kweli kabisa na heri hao wahindi Watanzania ndo kabisa
 
Utajiri wa Mo ni wa kitapeli, anawachukuaga hao wahindi huko India anakuja kuwalaza kwenye makontena kule kilipo kiwanda chake maeneo ya Vingunguti

Sidhani kama wale wahindi wanaingia nchini kihalali
Mo tapeli sana. Yaani Tanzania shamba la bibi ndo maana wamefanikiwa biashara yao. Kusema ukweli mimi siku hizi nanunua Azam tu. Mo sometimes hata vitu vyeo havina ubora.
 
Hawa wahindi wanaoajiriwa Tz huwa sielewi nikwanini wamejazana Tz huku, kuna watz kibao wenye sifa. Nampongeza Magufuli kwa kuanza kukataa ku renew vibali vyao vya kazi mara wamalizapo mikataba yao, nahili limeanza December hii.
Tangu lini Magufuli akadhibiti wahindi au watu weupe, yeye anakomaa na wakenya au mtu yeyote mweusi
 
Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.

Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa...
MO hajawahi kuwa muajiri mwenye kufuata sheria na misingi ya ajira, haki na utu. MO ni beberu tu.
 
Kuna magheto ndani ya viwonder vyake. Pale wanakaa ma supervisor wa viwandani Ila hawaruhusiwi kutoka nje ya geti maana hawana vibali vya kukaa nchini.

Ni ma supervisor lkn Ni slave labourers. Wana roho mbaya kuliko ya mbwa Koko dhidi ya vibarua wa kiswahili. Mo au ndugu yake akiingia kiwanda utadhani Ni vimbwa vinatingisha mkia boss akiwatupia mfupa uliooza.
Ah ah mzee ushafanya Nazi hapo nn
 
Hawa wahindi wanaoajiriwa Tz huwa sielewi nikwanini wamejazana Tz huku, kuna watz kibao wenye sifa. Nampongeza Magufuli kwa kuanza kukataa ku renew vibali vyao vya kazi mara wamalizapo mikataba yao, nahili limeanza December hii.
Kuna kitu huwa kinapatikana kwa hao wahindi ambacho hakipatikani kwa wabongo...uliza waliofanya nao kazi wakupe sifa zao
 
Back
Top Bottom