Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Nilichogundua kuna mtu alushawahi kusema, "kuna idadi ya miaka ukiifikisha ukiwa unafanya kazi kwa muhindi hutaweza kuacha" huu usemi nahisi una umweli maana kuna wazee wapo tangu 1992 lakini mpaka leo wanapanda dala dala na mshahara hauzidi 700k
Ama nasema uwongo ndugu zangu. This is the matter of fact. Lazima niongee ukweli......
 
Watanzania asilimia kubwa kwa umbea, majungu na roho mbaya ndio kwao!! Miaka mitatu ya nyuma nilifanikiwa kuanzisha mradi fulani ambao ulinilazimu kuanza na watumishi kama ishirini, kati ya hao, tisa walikuwa wana elimu ya chuo kikuu,pamoja na kujitahidi kuingia gharama kubwa za kutengeneza mazingira mazuri ya kazi ili kuleta ufanisi wa kazi,naweza kusema sikujua kama nimefanya kosa kubwa!!
Kazi zilikuwa hazifanyiki ni uvivu, majungu, wizi, kukosa heshima kwa wateja, kudharau wateja na kujifanya wakubwa, matumizi mabaya ya rasilimali za ofisi!! Kiukweli kichwa kiliniuma Sana, nilikuwa simalizi masaa mawili bila kupokea simu za wafanyakazi!!wanakupigia kushitakiana tu, wengine wanakusalimia tu hana la maana, wengine kujifanya wema kumbe majizi!!
Mama yangu mdogo alinipeleka kwa rafiki yake ambae ni muhindi ana mradi kama wangu, kwa lengo la kujifunza!! Niligundua kuwa ili mradi wako ufanikiwe usicheke na kima!! Uwe na roho ngumu hasa!! Toka kipindi icho nilibadilika nilifukuza wafanyakazi wengi, nikaleta vijana saba tu kutoka Uganda!! Hakika hapo ndio nilianza kuona utendaji ulio nyooka,mauzo yakapanda kwa kiwango kizuri, simu za usumbufu za wafanyakazi zikaisha!! Waganda wanapiga kazi uwezi kukuta wanabishana asubuhi masuala ya mipira na uzinzi!! Mtanzania anataka alipwe pesa nyingi wakati anacho deliver ni zero!!! Yaani ili afanye kazi vizuri mpaka uweke sheria kali kama za jela!! Kwangu simlaumu MO, maana hata mimi niliona bila kuwa mafia wabongo wanakufilisi uku unajiona na wanabaki wakikucheka!!!
Mkuu hongera sana tafadhali andika makala kabisaaa kuhusu hili, Watanzania ni wavivu asikwambie MTU. Tunapenda mteremko, binafsi niliwahi kufanya kazi Kwa wahindi sababu ya kuona kazi ngumu nikawa nafanya pole pole. Muhindi mmoja anaitwa Ridhwan akaniambia si ulitaka kazi hii ndio kazi tangu siku hiyo Nikabadilika.
 
Masuala ya ajira kwa Nchi zetu hizi yana manyanyaso sana... Unaeomba kazi unaonekana kama punguani flani usiekua na thamani.. Bado ukipata kazi hiyo ukakutana na Boss mpuuzi unakaa kwenye shida kuu na mateso.

Sheria za Labour ni kama hazipo na wala hazifanyi kazi.. Vyama vya wafanyakazi Tanzania vikishajifia kitambo ni zero plus.. Ndio mana muajiri ana nguvu sana.

Hawa akina Metl wakienda Kenya hapo tu watapigwa kesi wazimie mchana kweupe coz Kenya mahakama zinajitambua..na Ndio mana hawawezi kuthubutu kufungua Biashara Ulaya wanajua Labour Laws zipo na zinang'ata kweli.

Wahindi wanaoletwa Tanzania ni kwasababu sisi wenyewe Watz hatuna miiko ya Kazi unakuta mtu ni mhasibu anaenda Bar anaanza kutaja mikopo ya kampuni anayofanyia kazi...Ujinga.

Ila wahindi wanatunza siri za kazi au kampuni zao na ukichanganya na akili zetu wabongo tunaoheshimu nyapara Mhindi kuliko mbongo basi ndio mana wanaletwa hao.
 
Watanzania asilimia kubwa kwa umbea, majungu na roho mbaya ndio kwao!! Miaka mitatu ya nyuma nilifanikiwa kuanzisha mradi fulani ambao ulinilazimu kuanza na watumishi kama ishirini, kati ya hao, tisa walikuwa wana elimu ya chuo kikuu,pamoja na kujitahidi kuingia gharama kubwa za kutengeneza mazingira mazuri ya kazi ili kuleta ufanisi wa kazi,naweza kusema sikujua kama nimefanya kosa kubwa!!
Kazi zilikuwa hazifanyiki ni uvivu, majungu, wizi, kukosa heshima kwa wateja, kudharau wateja na kujifanya wakubwa, matumizi mabaya ya rasilimali za ofisi!! Kiukweli kichwa kiliniuma Sana, nilikuwa simalizi masaa mawili bila kupokea simu za wafanyakazi!!wanakupigia kushitakiana tu, wengine wanakusalimia tu hana la maana, wengine kujifanya wema kumbe majizi!!
Mama yangu mdogo alinipeleka kwa rafiki yake ambae ni muhindi ana mradi kama wangu, kwa lengo la kujifunza!! Niligundua kuwa ili mradi wako ufanikiwe usicheke na kima!! Uwe na roho ngumu hasa!! Toka kipindi icho nilibadilika nilifukuza wafanyakazi wengi, nikaleta vijana saba tu kutoka Uganda!! Hakika hapo ndio nilianza kuona utendaji ulio nyooka,mauzo yakapanda kwa kiwango kizuri, simu za usumbufu za wafanyakazi zikaisha!! Waganda wanapiga kazi uwezi kukuta wanabishana asubuhi masuala ya mipira na uzinzi!! Mtanzania anataka alipwe pesa nyingi wakati anacho deliver ni zero!!! Yaani ili afanye kazi vizuri mpaka uweke sheria kali kama za jela!! Kwangu simlaumu MO, maana hata mimi niliona bila kuwa mafia wabongo wanakufilisi uku unajiona na wanabaki wakikucheka!!!
Mbongo anaweza akakufanyia kazi zako kwa maneno yake ya mdomoni.......usipomkagua na ukamlipa ndio imekula kwako hiyo.

Wabongo maneno mengiii.... utendaji zeroo tena hawa wasomi ndio zero kabisa
 
Unafikiri hao uhamiaji hawajui? Na siyo huko tu hata viwanda vya Temeke huko wamejaa Wachina na Wahindi kibao...wanafungiwa tu huko.

Vichupa vikijaa wanatoka kwa makundi kutafuta huduma pande za Shugarei mida ya usiku....Lakini nakukumbusha tu mara nyingi snitch hufa anapotoa siri...raia mwema ni msemo tu usitie akilini...wanakutaja hao maafande kwani hakuna wasichojua.


✔✔✔✔✔✔10000% true.
 
Kama MO mnyonyaji nendeni kwengineko ambako hamnyonywi. Mbona ni simple Logic tu.

Hata EPZ pale kuna kiwanda cha majinzi kazi zipo.
Watanzania wengi wanapenda ugawane nao, kama bidhaa inauzwa 500 basi yeye achukue 200
 
Back
Top Bottom