Citizen B
JF-Expert Member
- May 13, 2019
- 6,681
- 9,084
Kwahiyo nani bosi hapo kazini... Mudi au Dewji?Ndio mwenye mali mudi kakuta mzee kashakua bilionea,yeye kaja na hivi vibiashara vya juice,unga etc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo nani bosi hapo kazini... Mudi au Dewji?Ndio mwenye mali mudi kakuta mzee kashakua bilionea,yeye kaja na hivi vibiashara vya juice,unga etc
Gulam atakua Rais wa makampuni ya mo, halafu mudi yeye ndio mkurugenzi mtendajiKwahyo nani bossi hapo kazini...Mudi au dewji?
Aah kumbe mudy ndo mkubwa...Haki amuite rais ofisini kwakeGulam atakua rais wa makampuni ya mo,halafu mudi yeye ndio mkurugenzi mtendaji
Umeona eee?Yah,,hata mimi nasikia bilionea Jack Mengi ameajiri wahindi wengi tu..
Mzaramo wapi, huyu si mnyiramba wa mkarama Singida ndanindani uko, sema life hata mimi nikizidaka nakuwa mtanzania mwenye asili ya Finland.Wahindi wakisikia MeTL wanajua ni Choli cholii mwenzao kumbe Mzaramo
Kazini tunataka output ishu ya taaluma waachie wanaofanya presentation kwenye seminaKwahio sio taaluma tena?.
Unaona sasa unavyoruka ruka, issue sio output issue ni ngozi ya aina gani inatoa output gani, ukienda Sgr kuna waturuki wameajiriwa kama vibarua lakini wa kula mshahara sawa na draft engineer wakibongo. Je hapo wanaangalia output?.Kazini tunataka output ishu ya taaluma waachie wanaofanya presentation kwenye semina
Sugar ray,wanaenda kununua Malaya?Unafikiri hao uhamiaji hawajui? Na siyo huko tu hata viwanda vya Temeke huko wamejaa Wachina na Wahindi kibao...wanafungiwa tu huko.
Vichupa vikijaa wanatoka kwa makundi kutafuta huduma pande za Shugarei mida ya usiku....Lakini nakukumbusha tu mara nyingi snitch hufa anapotoa siri...raia mwema ni msemo tu usitie akilini...wanakutaja hao maafande kwani hakuna wasichojua.
Bro extrovert kuna kampuni ya A to Z chugga watu wanafanya 12 hrs per day na kila siku kwa mwezi wanalipwa elf 70Bora hata huyo jamaako walau hata laki 7 aisee. Laki 3 umfanyishe kazi mtu mwezi mzima?
WEWE , Wahindi wote walipo duniani ni ndugu moja regardless blood relationships 🤣🤣🤣Kina Dewj ni Wabongo sio Wahindi.
Hapo tu ndio Wahindi wa India wanapojichanganyaga wakidhani ni Wahindi wenzao.
Kumbe ni Wabongo tena wa mikoani.
Kwa hio wana ule ukorofi wa kibongo.
Wakenya wanatutambua sana wabongo balaa letu.
Nashangaa watu wanazodoa wahindi, nipo Kahama hapa nafanya kazi kama stock manager. Naingia kazini saa 1 asbh natoka 4 usiku. Mshahara 300k wala hamna overtime kinyume na makubaliano, kama wangenitoa bongo kwenda Japan maybe wasingeninyang'anya pass kweli hawa?Bro extrovert kuna kampuni ya A to Z chugga watu wanafanya 12 hrs per day na kila siku kwa mwezi wanalipwa elf 70
Yah,,hata mimi nasikia bilionea Jack Mengi ameajiri wahindi wengi tu..
We umeambiwa vichupa vikijaa wanaenda sugar ray usiku kwa makundi...vichupa gani?Sugar ray,wanaenda kununua Malaya?
Mzee nipe connection nije kubeba box...nimetumbuliwa leo nimeshindwa kuapaMzungu mtu bana. Hapa Denmark sisi 'oil chafu' tunabeba box katika mazingira mazuri ya kazi na haki licha ya ubeberu wao. Wanakuwa wakali tu na roho mbaya unapokuwa mvivu na hufuati sheria za kazi. Waafrika wengi licha ya hizi benefits na priledges bado tunaharibu na kukimbilia race card. Ndio maana wanawafavour sana wa Nepal na eastern European hasa Ukrainians kwenye kubeba box
Wahindi wa bongo wamechanganyia na ubongo sasa. Sanaa na porojo kibaoWEWE ,Wahindi wote walipo duniani ni ndugu moja regardless blood relationships 🤣🤣🤣
Ukiwa mwajiri unaangalia output ya uliemwajiri. Suala la rangi ni siasa tu hizo jombaa. Hao jamaa toka nje wamefuata kazi na hawachezi na kazi, hawana cha kufiwa na mjomba wala mtoto wangu alipata homa usiku au sijui matenity leave bla bla bla....Unaona sasa unavoruka ruka, issue sio output issue ningozi ya aina gani inatoa output gani, ukienda Sgr kuna waturuki wameajiriwa kama vibarua lkn wakula mshahara sawa na draft engineer wakibongo. Je hapo wanaangalia output?.
Haya yamemkuta Kaka yangu. Ila yeye keshagundua mapema na anawajua Wabongo vizuri sanaWatanzania asilimia kubwa kwa umbea, majungu na roho mbaya ndio kwao!! Miaka mitatu ya nyuma nilifanikiwa kuanzisha mradi fulani ambao ulinilazimu kuanza na watumishi kama ishirini, kati ya hao, tisa walikuwa wana elimu ya chuo kikuu,pamoja na kujitahidi kuingia gharama kubwa za kutengeneza mazingira mazuri ya kazi ili kuleta ufanisi wa kazi,naweza kusema sikujua kama nimefanya kosa kubwa!!
Kazi zilikuwa hazifanyiki ni uvivu, majungu, wizi, kukosa heshima kwa wateja, kudharau wateja na kujifanya wakubwa, matumizi mabaya ya rasilimali za ofisi!! Kiukweli kichwa kiliniuma Sana, nilikuwa simalizi masaa mawili bila kupokea simu za wafanyakazi!!wanakupigia kushitakiana tu, wengine wanakusalimia tu hana la maana, wengine kujifanya wema kumbe majizi!!
Mama yangu mdogo alinipeleka kwa rafiki yake ambae ni muhindi ana mradi kama wangu, kwa lengo la kujifunza!! Niligundua kuwa ili mradi wako ufanikiwe usicheke na kima!! Uwe na roho ngumu hasa!! Toka kipindi icho nilibadilika nilifukuza wafanyakazi wengi, nikaleta vijana saba tu kutoka Uganda!! Hakika hapo ndio nilianza kuona utendaji ulio nyooka,mauzo yakapanda kwa kiwango kizuri, simu za usumbufu za wafanyakazi zikaisha!! Waganda wanapiga kazi uwezi kukuta wanabishana asubuhi masuala ya mipira na uzinzi!! Mtanzania anataka alipwe pesa nyingi wakati anacho deliver ni zero!!! Yaani ili afanye kazi vizuri mpaka uweke sheria kali kama za jela!! Kwangu simlaumu MO, maana hata mimi niliona bila kuwa mafia wabongo wanakufilisi uku unajiona na wanabaki wakikucheka!!!