Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Hahaha .Wahindi wakisikia MeTL wanajua ni Choli cholii mwenzao kumbe Mzaramo
Na wakiona picha zake wanajua ni wa kwao.
Kumbe ni sura tu ila tabia za kingoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha .Wahindi wakisikia MeTL wanajua ni Choli cholii mwenzao kumbe Mzaramo
Ufanisi na performance inategemeana na mazingira mkuu, qualification hata mkilingana kila kitu, lakini mshahara mbongo utapewa kidogo hata kama mko in same position.Ufanisi ... performance mkuu.
Sisi wabongo wengi longo longo tu, maneno mengi output ndogo.
Japo ni mwana Simba Mwenzangu ila bado ninaendelea Kumlia 'Timing' Mo Dewji kwani naanza Kutomwelewa na Kuona ni Samjo (Tapeli) fulani.Utajiri wa Mo ni wa kitapeli, anawachukuaga hao Wahindi huko India anakuja kuwalaza kwenye makontena kule kilipo kiwanda chake maeneo ya Vingunguti
Sidhani kama wale Wahindi wanaingia nchini kihalali
Nyie hamjui tu ila wahindi hata huko kwao wanabaguana kuliko hata Mo anavyowafanyia huku.Hahaha .
Na wakiona picha zake wanajua ni wa kwao.
Kumbe ni sura tu ila tabia za kingoni
Ukweli nakuelewa Wahindi ukiwakuta India ni tofauti kabisa na wahindi tulio nao hapa nchini.Kina Dewj ni Wabongo sio Wahindi.
Hapo tu ndio Wahindi wa India wanapojichanganyaga wakidhani ni Wahindi wenzao.
Kumbe ni Wabongo tena wa mikoani
Uvumilivu autoe wapi,kuna kipindi Simba ilifungwa fungwa kidogo akataka kuikacha Simba😂😂😂Moo[emoji16][emoji16][emoji16].
Hawezi ushindani wa kibiashara.na nilishangaa alipomkamata senzo nikajua tu huyu jamaa uvumilivu hanaa.
Yah, hata mimi nasikia bilionea Jack Mengi ameajiri wahindi wengi tu..Wapo wengi. Mfano jak mengi
Itakua aliwafanyia ubabe mpk wale waliomteka kipindi kile wakaona bora wamvalishe Kanga tu ili atulize wenge.Mo ni mbabe mpaka kwa baba yake. Siku moja nipo ofcn kwake alim summon baba ake (Gulam) ofcn kwake kwa practise ya kawaida mtoto anatakiwa afuate baba!
Amewaajiri wapi wkt ye mwenyewe anaishi kwa $2,000/month anazopewa na wakina Regina?Yah,,hata mimi nasikia bilionea Jack Mengi ameajiri wahindi wengi tu..
Kumbe unanunua!! Jitahidi utengeneze bidhaa zako!! Kufanikiwa ni rahisi tu!! Maana hapa ni shamba la bibi!!Mo tapeli sana. Yaani Tanzania shamba la bibi ndo maana wamefanikiwa biashara yao. Kusema ukweli mimi siku hizi nanunua Azam tu. Mo sometimes hata vitu vyeo havina ubora.
Nasikia eti hakuogopa hata,Itakua aliwafanyia ubabe mpk wale waliomteka kipindi kile wakaona bora wamvalishe Kanga tu ili atulize wenge.
Kumbe..!!,mi nilimwambia nimuoe ili nisimamie show kibabe,,akakataa banah...😂😂Amewaajiri wapi wkt ye mwenyewe anaishi kwa $2,000/month anazopewa na wakina Regina?
Hahah yule kwa sasa ana stress za mirathi sidhani hata kama ana nyegezi kwa sasa, maana mahakama imeweka usimamizi wa mali zote chini ya Chairman(Regina).Kumbe..!!,mi nilimwambia nimuoe ili nisimamie show kibabe,,akakataa banah...[emoji23][emoji23]
Probably huyo Reg ametumia connection,haiwezekani mahakama iende kinyume na wosia 100%..Hahah yule kwa sasa ana stress za mirathi sidhani hata kama ana nyegezi kwa sasa, maana mahakama imeweka usimamizi wa mali zote chini ya Chairman(Regina).
😁😂😀😅😄😄😄😄😄😁😂😂🤣😂😅😄Wanasema hivi huku wakiruka na ungo, haooooooo safari Ziwa Tanganyika