Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Utajiri wa Mo ni wa kitapeli, anawachukuaga hao Wahindi huko India anakuja kuwalaza kwenye makontena kule kilipo kiwanda chake maeneo ya Vingunguti

Sidhani kama wale Wahindi wanaingia nchini kihalali
Japo ni mwana Simba Mwenzangu ila bado ninaendelea Kumlia 'Timing' Mo Dewji kwani naanza Kutomwelewa na Kuona ni Samjo (Tapeli) fulani.
 
Kina Dewj ni Wabongo sio Wahindi.

Hapo tu ndio Wahindi wa India wanapojichanganyaga wakidhani ni Wahindi wenzao.

Kumbe ni Wabongo tena wa mikoani
Ukweli nakuelewa Wahindi ukiwakuta India ni tofauti kabisa na wahindi tulio nao hapa nchini.

Kule wahindi wanajali, ni wakarimu sana kwa wageni na wanaheshimu watu wengine. Ila wahindi wa hapa Bongo wanatesa wahindi wenzao na watanzania waswahili weusi.
 
Hao Wahindi ni wajanja tu Tena utakuta wamefanya dili na Mo ili warudishwe kwa wingi kwenye viwanda, nauhakika hakuna watu wanalipwa na kujaliwa vizuri Kama experts kwenye hayo makampuni, Hilo ni dili tu ili kulinda ajira zao kwa kupitia kwenye balozi kujifanya wanalalamika.
 
Mo ni mbabe mpaka kwa baba yake. Siku moja nipo ofcn kwake alim summon baba ake (Gulam) ofcn kwake kwa practise ya kawaida mtoto anatakiwa afuate baba!
Itakua aliwafanyia ubabe mpk wale waliomteka kipindi kile wakaona bora wamvalishe Kanga tu ili atulize wenge.
 
Mo tapeli sana. Yaani Tanzania shamba la bibi ndo maana wamefanikiwa biashara yao. Kusema ukweli mimi siku hizi nanunua Azam tu. Mo sometimes hata vitu vyeo havina ubora.
Kumbe unanunua!! Jitahidi utengeneze bidhaa zako!! Kufanikiwa ni rahisi tu!! Maana hapa ni shamba la bibi!!
 
Hahah yule kwa sasa ana stress za mirathi sidhani hata kama ana nyegezi kwa sasa, maana mahakama imeweka usimamizi wa mali zote chini ya Chairman(Regina).
Probably huyo Reg ametumia connection,haiwezekani mahakama iende kinyume na wosia 100%..
 
Back
Top Bottom