Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Ubalozi wa India wawatahadharisha raia wake dhidi ya ajira za MeTL

Ufanisi na performance inategemeana na mazingira mkuu, qualification hata mkilingana kila kitu, lkn mshahara mbongo utapewa kidogo hata kama mko in same position.
Mwanangu wewe unawajua wahindi achana na huyo jamaa anaongea vitu asivyojua.
Kwenye kampuni hata kama wewe ndio unaqualification kubwa na uzoefu mwingi lakin muhindi atalipwa kikubwa zaidi yako.
 
Ila MO bana anawapa watu mkataba wa miaka 55, anasema mwenyewe anawapa Job security, halafu mtu Mwenye degree ya chemistry, ambae anafanya kazi kama qc, au production chemistry anawalipa 360K, mpaka 400K. Inauma sana kwa walioajiriwa kwa MO.
Huwa anawalazimisha? Yeye katoa ofa, unaikubali kisha unaanza kunung'unika. Wabongo buana.
 
Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.

Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa.

Katika taarifa yao Ubalozi wamesema walipokuwa wakipata malalamiko na kuwasiliana na uongozi wa MeTL wamekuwa wakipata majibu yasiyo na staha.

Katika taarifa yao waliyoandika Facebook wamesema kumekuwa na vishawishi wafute ‘post’ hiyo lakini kwa kuheshimu utu wa wahindi wamesema hawatafuta.
==

View attachment 1645166


KATAMBI atalala mbele na MO-DEWJI, yani hapa lazma atatapika fedha anazodhulumu wafanyakazi.
Mo Dewji atapewa masharti ya kupunguza ama kuondosha kabisa wafanayakazi wa kihindi-from india, na kuweka wazawa.
Mo-amekuwa akipata work permit za wafanyikazi wake kimagumashi sana kupitia wakili wake aitwaye MWAMBENE.
work permit zake zote zitakuwa rejected.
 
Watanzania asilimia kubwa kwa umbea, majungu na roho mbaya ndio kwao!! Miaka mitatu ya nyuma nilifanikiwa kuanzisha mradi fulani ambao ulinilazimu kuanza na watumishi kama ishirini, kati ya hao, tisa walikuwa wana elimu ya chuo kikuu,pamoja na kujitahidi kuingia gharama kubwa za kutengeneza mazingira mazuri ya kazi ili kuleta ufanisi wa kazi,naweza kusema sikujua kama nimefanya kosa kubwa!!
Kazi zilikuwa hazifanyiki ni uvivu, majungu, wizi, kukosa heshima kwa wateja, kudharau wateja na kujifanya wakubwa, matumizi mabaya ya rasilimali za ofisi!! Kiukweli kichwa kiliniuma Sana, nilikuwa simalizi masaa mawili bila kupokea simu za wafanyakazi!!wanakupigia kushitakiana tu, wengine wanakusalimia tu hana la maana, wengine kujifanya wema kumbe majizi!!
Mama yangu mdogo alinipeleka kwa rafiki yake ambae ni muhindi ana mradi kama wangu, kwa lengo la kujifunza!! Niligundua kuwa ili mradi wako ufanikiwe usicheke na kima!! Uwe na roho ngumu hasa!! Toka kipindi icho nilibadilika nilifukuza wafanyakazi wengi, nikaleta vijana saba tu kutoka Uganda!! Hakika hapo ndio nilianza kuona utendaji ulio nyooka,mauzo yakapanda kwa kiwango kizuri, simu za usumbufu za wafanyakazi zikaisha!! Waganda wanapiga kazi uwezi kukuta wanabishana asubuhi masuala ya mipira na uzinzi!! Mtanzania anataka alipwe pesa nyingi wakati anacho deliver ni zero!!! Yaani ili afanye kazi vizuri mpaka uweke sheria kali kama za jela!! Kwangu simlaumu MO, maana hata mimi niliona bila kuwa mafia wabongo wanakufilisi uku unajiona na wanabaki wakikucheka!!!
 
Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji.

Hatua hiyo imekuja baada ya kupata taarifa za manyanyaso kwa wafanyakazi hao ikiwemo kulazimishwa kulazimisha kujaza kesi za uwongo na kukamatwa.

Katika taarifa yao Ubalozi wamesema walipokuwa wakipata malalamiko na kuwasiliana na uongozi wa MeTL wamekuwa wakipata majibu yasiyo na staha.

Katika taarifa yao waliyoandika Facebook wamesema kumekuwa na vishawishi wafute ‘post’ hiyo lakini kwa kuheshimu utu wa wahindi wamesema hawatafuta.
==

View attachment 1645166


Expats si ndio ?. Ha ha ha ha haaaaa. Yaani mtu akae jobless India wakati kuna pa kuponea kwa Mo. Advisory imefeli. Wakigomea hizo kazi mje mnijulishe.
 
Huwa anawalazimisha? Yeye katoa ofa, unaikubali kisha unaanza kunung'unika. Wabongo buana.
Hakuna mahala nimeandika anawalazimisha, lkn niunasikini wa watz kukubali mishahara yakijinga nikipumbavu. Pia Seeikali unashindwa kuweka mazingira wezeshi kwa wananchi wake,halafu pia imejaza kodi kila mahala mtu ameajiriwa private sector mshahara zaidi ya asilimia 40 unakatwa.
 
Huwa anawalazimisha? Yeye katoa ofa, unaikubali kisha unaanza kunung'unika. Wabongo buana.
Ndio wabongo hao!! Hawajui muajiri nae ana taratibu zake za uendeshaji!! Hajui kuna gharama za uendeshaji, kodi za serikali kuu, kodi za manispaa, kodi za mamlaka za serikali sijui fire, osha, tfda, wcf, na makodi na michango chungu mzima, bado mikopo kwenye mabenki yeye madam ana degree yake!!anataka ndoto zake zitimie ndani ya muda mfupi kupitia kwenye mradi wako!!
 
Hawa wahindi hapo METL wanajionaga keki sana kwanza ndio watesi wakubwa wa wazawa hapo metl kama ushawahi fanya kazi kwa mo utaelewa kwamba hawa watu sio kabisa karma ipo kwa jinsi walivyokuwa wanawadharau wabongo nadhani ni sawa sawa tuu kama mbwai mbwai
 
".....gari linateremka kwenye mteremko nawe(waziri) unajiselfie, kisha unatuma picha kwenye mtandao na kuandika...unavyoniona hivi ndio ninatoka...." JPM
 
Watanzania asilimia kubwa kwa umbea, majungu na roho mbaya ndio kwao!! Miaka mitatu ya nyuma nilifanikiwa kuanzisha mradi fulani ambao ulinilazimu kuanza na watumishi kama ishirini, kati ya hao, tisa walikuwa wana elimu ya chuo kikuu,pamoja na kujitahidi kuingia gharama kubwa za kutengeneza mazingira mazuri ya kazi ili kuleta ufanisi wa kazi,naweza kusema sikujua kama nimefanya kosa kubwa!!
Kazi zilikuwa hazifanyiki ni uvivu, majungu, wizi, kukosa heshima kwa wateja, kudharau wateja na kujifanya wakubwa, matumizi mabaya ya rasilimali za ofisi!! Kiukweli kichwa kiliniuma Sana, nilikuwa simalizi masaa mawili bila kupokea simu za wafanyakazi!!wanakupigia kushitakiana tu, wengine wanakusalimia tu hana la maana, wengine kujifanya wema kumbe majizi!!
Mama yangu mdogo alinipeleka kwa rafiki yake ambae ni muhindi ana mradi kama wangu, kwa lengo la kujifunza!! Niligundua kuwa ili mradi wako ufanikiwe usicheke na kima!! Uwe na roho ngumu hasa!! Toka kipindi icho nilibadilika nilifukuza wafanyakazi wengi, nikaleta vijana saba tu kutoka Uganda!! Hakika hapo ndio nilianza kuona utendaji ulio nyooka,mauzo yakapanda kwa kiwango kizuri, simu za usumbufu za wafanyakazi zikaisha!! Waganda wanapiga kazi uwezi kukuta wanabishana asubuhi masuala ya mipira na uzinzi!! Mtanzania anataka alipwe pesa nyingi wakati anacho deliver ni zero!!! Yaani ili afanye kazi vizuri mpaka uweke sheria kali kama za jela!! Kwangu simlaumu MO, maana hata mimi niliona bila kuwa mafia wabongo wanakufilisi uku unajiona na wanabaki wakikucheka!!!
Umetoa elimu kubwa sana mkuu. Ili ufanikiwe katika mradi wako ni lazima uwe mtu mwenye principle zako, usiweke urafiki kwenye kazi. watanzania wengi kwenye utendaji hatujitambui na tuna ubabaishaji, unakuta mtu anauza au anataoa huduma fulani alafu anamdharau mteja wakati pesa anayopata kutoka kwa wateja ndio inamsaidia yeye mwenyewe.
 
Back
Top Bottom