Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yaani kunawahindi wameajiriwa kama matechnician Tz, hivi kweli technician labda wa mechanical lazima awe muhindi?.
Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji...
Kama wadosi ambao ndio ndugu zao wa nasaba wanafanyiwa hivyo, vipi sisi oili chafu?Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji...
Uo umbea na unoko ndo mwajiri anautaka na ndo kitu kinakufanya ww uwajibike to the maximumNimefanya nao kazi/nafanya nao kazi Kwahio hakuna jipya zaidi yakuwa wambea na wanoko waonekane wema kwa maboss wao.
Sijawahi shabikia ccm na ujinga wao tafuta comments zangu au thread baadhi, lkn kwahili lakukataa kuwapa vibali vipya naliunga mkono.Hahaha wakondoka mkabaki peke yenu mtaanza kuwatafuta na kuwalinda.
Mlisema hamtaki hata harufu ya Chadema, leo covid-19 wanalindwa kwa nguvu zote.
Hawa wahindi mtawatafuta na mtawalinda, hiyo ndo ccm tunayoifahamu.
Kwahio sio taaluma tena?.Uo umbea na unoko ndo mwajiri anautaka na ndo kitu kinakufanya ww uwajibike to the maximum
Wanavyonyanyaswa wanaweza kukuwekea huko sumu ukunywe ukufe 😊Na sisi watumiaji wa bidhaa za Mo tunakenua meno tu, kibarua aliyechoka na manyanyaso ndio akutengenezee juisi unywe?
Ndio maana nimeandika vibali vinavyoisha kuanzia December hii, wewe inawezekana huwaoni hao wahindi au hufanyi nao kazi(HAMKUTANI KTK MAJUKUM YAO).Tangu lini Magufuli akadhibiti wahindi au watu weupe, yeye anakomaa na wakenya au mtu yeyote mweusi
Ila MO bana anawapa watu mkataba wa miaka 55, anasema mwenyewe anawapa Job security, halafu mtu Mwenye degree ya chemistry, ambae anafanya kazi kama qc, au production chemistry anawalipa 360K, mpaka 400K. Inauma sana kwa walioajiriwa kwa MO.Kama MO mnyonyaji nendeni kwengineko ambako hamnyonywi...Mbona ni simple Logic tu.
Hata EPZ pale kuna kiwanda cha majinzi kazi zipo.
Sa hivi wamejaa wachinaHawa wahindi wanaoajiriwa Tz huwa sielewi nikwanini wamejazana Tz huku, kuna watz kibao wenye sifa. Nampongeza Magufuli kwa kuanza kukataa ku renew vibali vyao vya kazi mara wamalizapo mikataba yao, nahili limeanza December hii.
ingekuwa mambele raia wamgeboycott bidhaa zakeNa sisi watumiaji wa bidhaa za Mo tunakenua meno tu, kibarua aliyechoka na manyanyaso ndio akutengenezee juisi unywe?
Tatizo hizo mill 6 kwa mwaka ndio zinaisumbua serikali.Sa hivi wamejaa wachina
Unafikiri hao uhamiaji hawajui? Na siyo huko tu hata viwanda vya Temeke huko wamejaa Wachina na Wahindi kibao...wanafungiwa tu huko.Vingungut maeneo gn mkuu,nikaripot Kwa uhamiaj donge nono wana promotion nowadays.
hiv mim ndio hata kwa bure hunnywesh sijuui haya maeneergy sijui ma cola.in short kama maj sawaNa sisi watumiaji wa bidhaa za Mo tunakenua meno tu, kibarua aliyechoka na manyanyaso ndio akutengenezee juisi unywe?
Hahahahah jamaa muuaji, Job security kwa 400k kwa mwezi? Maisha ya Dar yalivyo magumu utakuta hio 400 ni bila any other benefits kama bima,house allowance na Transport.Ila MO bana anawapa watu mkataba wa miaka 55, anasema mwenyewe anawapa Job security, halafu mtu Mwenye degree ya chemistry, ambae anafanya kazi kama qc, au production chemistry anawalipa 360K, mpaka 400K. Inauma sana kwa walioajiriwa kwa MO.
Bidhaa za MO ni substandard compared na za Azam Bahkressa Group.hiv mim ndio hata kwa bure hunnywesh sijuui haya maeneergy sijui ma cola.in short kama maj sawa
At last India wamesituka.Ubalozi wa India nchini Tanzania umewatahadharisha raia wake wote kutokubali kuajiriwa na kampuni ya MeTL ya Mo Dewji...